Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mbeya taa za barabaran zipo mafiati tu wakat mwanza sehemu zote za pembezoni kuna taa za barabaran kuanzia usagara,buhongwa,mkolani,nyegezi zipo 3,iseni, mkuyuni,kisesa,igoma,national,buzuruga,kona ya mwaloni,kona ya bwiru,kona ya sabasaba,buswelu 😄😄😄😄😄
Acha kukurupuka,hujamuelewa huyo jamaa ,anazungumzia taa za kuongozea magari yaani traffic lights na sio taa za Barabara kwa maana ya street lights.
 
Hata wenyeji wake hawaelewi ni wapi...wanaangalia lilipo soko na stendi ndo wanapaita mjini
Sawa vipi waliwahi kosa Huduma ipi kwa msingi wa kutokujua CBD iliko?

Huoni kwamba Mbeya imechukua direction ya Miji ya kisasa ambayo Huduma hazirundikani eneo moja mnaloita CBD?
 
Acha kukurupuka,hujamuelewa huyo jamaa ,anazungumzia taa za kuongozea magari yaani traffic lights na sio taa za Barabara kwa maana ya street lights.
Kwan yeye intelligent anasema street lights au anasema traffic lights... Kila eneo mwanza Kuna crossing lights,anzia Usagara Hadi mjini ...na traffic lights zipo nyakato, buzuruga,nela,Kona ya bwiru, pasiansi,nata , Nyerere road,na junction ya pamba na Nyerere...
 
Cbd ni central business district, kama hizo mwenge sijui kijitonyama mara wapi ni districts basi zinastahili kuwa ata cbd 50 dar, je kwa mwanza tuseme nyegezi, kirumba, buzuruga na buhongwa ni cbd kwasababu pamechangamka kibiashara.
Hapo eweka kirefu Cha CBD ,maana yake Ni ipi?
 
Sawa vipi waliwahi kosa Huduma ipi kwa msingi wa kutokujua CBD iliko?

Huoni kwamba Mbeya imechukua direction ya Miji ya kisasa ambayo Huduma hazirundikani eneo moja mnaloita CBD?
Huduma Gani unazozisema ..majiji yote duniani Yana financial district...new York Manhattan,London central London, mwanza nyamagana,dar ilala ,wew unasema jiji Gani la kisasa
 
Kwan yeye intelligent anasema street lights au anasema traffic lights... Kila eneo mwanza Kuna crossing lights,anzia Usagara Hadi mjini ...na traffic lights zipo nyakato, buzuruga,nela,Kona ya bwiru, pasiansi,nata , Nyerere road,na junction ya pamba na Nyerere...
Sidhani Kama Ni Mambo ya kujivunia Sana japo Yana umuhimu wake..

Mbeya kwa sehemu kubwa inatumia njia kubwa Moja ya Tanzam ukisema ufunge hizo taa sio tuu utaleta jam Bali utasababisha usumbufu usio na msingi hasa kwa magari ya Transit ndio maana hata hawahangaiki na hayo ma traffic lights..

Mwisho baada ya Upanuzi wa Barabara zitafungwa Baadhi ya maeneo hasa Meta,Uyole na Kabwe ukiacha hapo Mafiat
 
Huduma Gani unazozisema ..majiji yote duniani Yana financial district...new York Manhattan,London central London, mwanza nyamagana,dar ilala ,wew unasema jiji Gani la kisasa
Ndio mtizamo wa zamani huo wa kuwa na CBD.Nakuuliza wewe Sasa kwa kutokuwa na CBD wamekosa huduama ipi? Au hujui hata maana ya hiyo CBD?
 
Ndio mtizamo wa zamani huo wa kuwa na CBD.Nakuuliza wewe Sasa kwa kutokuwa na CBD wamekosa huduama ipi? Au hujui hata maana ya hiyo CBD?
Mji kukosa CBD maana yake uko disorganized na inappropriate.. majiji yenye organized plan ..Yana CBD , industrial park, settlement areas, city parks and recreation center...
 
Mji kukosa CBD maana yake uko disorganized na inappropriate.. majiji yenye organized plan ..Yana CBD , industrial park, settlement areas, city parks and recreation center...
Kwa hiyo kutokuwa na cbd ndio disorganised au ? 😁😁😁😁.

Kati ya Mwanza na Mbeya wapi Ni slums City? 😆😆😆😆.

Bullet train yenu hii hapa 👇
 
Nyumba za kawaida zipi? Harafu hiyo picha ni ya zamani Sana Wala hapako hivyo Sasa hivi kwa taarifa yako..

Mbeya imekosa photographer wanaoipenda Mbeya ndio maana wanashindwa kufanya updates ya Mara kwa Mara,wenye drone Ni Kama hawapo maana ndio wangepiga picha nzuri hasa za Mbeya neibourhoods.
Kwanini hao photographer unadhani hawana muda na kutafuta picha mbeya? Au huo mji haupendezi? Au hakuna mahali pakuwavutia? Au hakuna mtu anayeipenda? Au wanaona aibu kupiga picha mbeya yao wataumbuka? Au ni mji wa ovyo ndio maana watu hawana muda?
 
Kwanini hao photographer unadhani hawana muda na kutafuta picha mbeya? Au huo mji haupendezi? Au hakuna mahali pakuwavutia? Au hakuna mtu anayeipenda? Au wanaona aibu kupiga picha mbeya yao wataumbuka? Au ni mji wa ovyo ndio maana watu hawana muda?
Ni hobby tuu,waliopo wako busy na masuala ya kitalii..

Hizi picha hapa chini nilipiga Ituka na Iwambi Kama zingechukuliwa kwa drone ungeona bonge la neighborhood.

Na hapo nilipiga za underconstruction maana finished watu wamefunga ma CCTV camera utakamatwa 👇
IMG_20221016_091344_198.jpg
IMG_20221016_094147_661.jpg
IMG_20221016_092022_850.jpg
IMG_20221016_091130_006.jpg
IMG_20221016_084618_956.jpg
IMG_20221016_092457_871.jpg
IMG_20221016_070348_536.jpg
IMG_20221016_084536_472.jpg
IMG_20221016_093237_374.jpg
IMG_20221016_092917_149.jpg
 
Kwanini hao photographer unadhani hawana muda na kutafuta picha mbeya? Au huo mji haupendezi? Au hakuna mahali pakuwavutia? Au hakuna mtu anayeipenda? Au wanaona aibu kupiga picha mbeya yao wataumbuka? Au ni mji wa ovyo ndio maana watu hawana muda?
rafiki angu kitombile.hiv mji kama haupendezi ,unapigaje picha
 
rafiki angu kitombile.hiv mji kama haupendezi ,unapigaje picha
Haupendezi au siyo? 😂😂😂😂.

Karibia ntakuwa Wade Maya mwenyewe nisajili blog yangu ili niwe nawapa vitu vikali kutoka Mbeya.

Bado tuko Ituka kule wanakaa kina General Mboma 👇
IMG_20221016_094325_055.jpg
IMG_20221016_094123_550.jpg
IMG_20221016_093934_293.jpg
IMG_20221016_094341_195.jpg
IMG_20221016_094630_257.jpg
IMG_20221016_094955_670.jpg
IMG_20221016_095545_078.jpg
IMG_20221016_095459_095.jpg
IMG_20221016_095815_873.jpg
IMG_20221016_095728_560.jpg
 
Mji kukosa CBD maana yake uko disorganized na inappropriate.. majiji yenye organized plan ..Yana CBD , industrial park, settlement areas, city parks and recreation center...
Ili jiji likamilike haya ni mambo ya muhimu si kujaza tu maghorofa mjini, na mwanza imetimiza haya, na sio park tu ina national park katikati ya jiji😍😍😍😍
 
Back
Top Bottom