Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Aliyeita mbeya jiji na green city ,kitu chake kipo motoni Tayari kinamsubiriHapo majumba mengi ni yatope yaani hawa wana Mbeya huwa wanajitapa ujinga! Huu mji hadi SIngida haina huo ujinga!


Aliyeita mbeya jiji na green city ,kitu chake kipo motoni Tayari kinamsubiriHapo majumba mengi ni yatope yaani hawa wana Mbeya huwa wanajitapa ujinga! Huu mji hadi SIngida haina huo ujinga!


Watu wa mbeya hawaipendi iringa Kwa sababu inawazidi vingi ...na soon iringa inahamia central zone....Hapo majumba mengi ni yatope yaani hawa wana Mbeya huwa wanajitapa ujinga! Huu mji hadi SIngida haina huo ujinga!
Iringa wako mbali sana kwa kila kitu! Ila hawa wanyaki kazi kujimwambafai! Dunia imebadilika sana yaani hata Kahama haiwezi kuwa na huo ujinga! Yaani hata hapo Mbalizi ni majumba ya tope kila kona!Watu wa mbeya hawaipendi iringa Kwa sababu inawazidi vingi ...na soon iringa inahamia central zone....
Iringa is far better than trash city mbeyaView attachment 2442038View attachment 2442039View attachment 2442040View attachment 2442041
Tumekubali maghorofa hawana lakin hata ujenzi wa nyumba Kali umewashinda ...kahama mji wa kitajiri huu huwezi linganisha na hicho Kijiji ..huku mijengo ni high roof.but modern msauzi ,,gari za kutosha ,huduma everywhere...Iringa wako mbali sana kwa kila kitu! Ila hawa wanyaki kazi kujimwambafai! Dunia imebadilika sana yaani hata Kahama haiwezi kuwa na huo ujinga! Yaani hata hapo Mbalizi ni majumba ya tope kila kona!
KCB wamefungua branch kahama...Iringa wako mbali sana kwa kila kitu! Ila hawa wanyaki kazi kujimwambafai! Dunia imebadilika sana yaani hata Kahama haiwezi kuwa na huo ujinga! Yaani hata hapo Mbalizi ni majumba ya tope kila kona!

Kwa hiyo hizo picha ndio sehemu wanaishi ma bwanyenye wa Mwanza?Kila siku nakuambia hujawahi kuwa na logic hata siku moja ..
Mbeya trash city kama Ina ubavu. Leta picha za juu za mitaa yenu tuone hayo mabanda ya kuku ....na hayo madongo hapo ...
Rock city is here. 👇👇👇🔥🔥😁
Hiyo mitaa unavyoitaja utazani pa maana ..kumbe hovyo tu ...leta picha hapa kama wew mwamba ....Kwa hiyo hizo picha ndio sehemu wanaishi ma bwanyenye wa Mwanza?
Sasa hapo Kuna Nini Cha kuizidi Forest mpya, uzunguni,Ituka,Iwambi,Tazara, Isyesye au Veta Ikulu?
Video![]()
Kwa hiyo hizo picha ndio sehemu wanaishi ma bwanyenye wa Mwanza?
Sasa hapo Kuna Nini Cha kuizidi Forest mpya, uzunguni,Ituka,Iwambi,Tazara, Isyesye au Veta Ikulu?
Video![]()





sasa hii ndo mtaa wenu wa mabwanyenye 

...sasa hapa na Usagara,au kisesa si wapi pakali..mbona kisesa ni classic kuliko huu utopolo 

Imepenya kunako🤣🤣Mwanza yote si Ni takataka?
Acha kupanua Domo kubwa onyesha Barabara za mitaani huko Mwanza is Slum.
Mhh! Ngoja nichekee tumboni😇😇Mbeya ni kilio tu ..
Mji mzima ni tahadhari View attachment 2442019View attachment 2442023View attachment 2442024
Ujenzi holela kwa Mbeya Ni wa kutafutiza huwezi linganisha na Mwanza.Mbeya ni kilio tu ..
Mji mzima ni tahadhari View attachment 2442019View attachment 2442023View attachment 2442024
Hizo slums haziwezi kulingana na Yale mabanda ya nguruwe kule Mwanza 😂😂Mshukuru serikali kujenga hospital ya rufaa hapo other wise hii viewingetisha...View attachment 2442032
Unaonesha jinsi ulivyo mpumbavu.Equity wako Mbeya Miaka mingi Sana hata Absa wapo kitambo sana..KCB wamefungua branch kahama...
Tayari equity,DTB ,bank of Africa wamefungua matawi ...hii maana. Yake kwenye huduma za kifedha KAHAMA is far better than mbeyaView attachment 2442054View attachment 2442055
Iwambi unaijua au unaisikia? Wewe kima si umesema uko Nsalaga na yule mapank ,nenda Iwambi ukikuta hizo nyumba za kuokoteza uniite nikulipie lodge Wiki zima.😁😁
UlLeo nimefanikiwa kufika nsalaga aka Mbweni ya mbeya ,au nyasaka ya mbeya au muriet ya mbeya ,au kisasa ya mbeya
View attachment 2442015View attachment 2442017
Ulinganishe kisesa au usagara na nsalanga? 😄😄😄sasa hii ndo mtaa wenu wa mabwanyenye
...sasa hapa na Usagara,au kisesa si wapi pakali..mbona kisesa ni classic kuliko huu utopolo
Hiki ndicho kinapatikana kwenye video yako ...the new forest .View attachment 2442071View attachment 2442072
Hapo hata lwanhima mwanza ni pazur sana 😄😄😄Kwa hiyo hizo picha ndio sehemu wanaishi ma bwanyenye wa Mwanza?
Sasa hapo Kuna Nini Cha kuizidi Forest mpya, uzunguni,Ituka,Iwambi,Tazara, Isyesye au Veta Ikulu?
Video 👇
View attachment 2442067
Uchafuzi wa mazingira ndo huu ...sasa...
Aliyemuelewa huyu mbuzi anitag 🔨🔨.Uchafuzi wa mazingira ndo huu ...sasa...
Hiv watu wanaishije huko...