The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Sihitaji makelele huo mradi umeshaondoa mabanda ya nguruwe huko Sasa Ni nyumba Kali 😆😆😆😆Acha Makelele huu mradi ushafanyika na wakafanya aya maeneo kua accessible pia huu mwaka wamekuja na project Mpya Hakuna sehemu mwanza ikakosa Maji, uko Milimani wameshajenga sewage systems ambazo zipo almost maeneo yote. Niletee mkoa ambao unaizidi Mwanza kwa sewage systems au Maji, pia hayo maeneo zmejengwa ngazi kuyafanya maeneo kupitika. Usisahau Mwanza informal settlement yake ni Block na bati za kueleweka sio Tembe na Mabanda ya Ng'ombe ya uko Salanga. Nafkr unawaona ao watoto
View attachment 2439120
Unaweza kuwa unaisha Sae hata Mbeya huijui vizuri umekariri kwamba Mbeya Ni humo along barabara kuu.Naishi hapa sae Mbeya najua tuchowazidi Mwanza ni upikaji wa mdudu hapa Mbeya pazuri,vamponji,mama John,Sae na Moon dust mengineyo tunachangamsha group tu
Tuwekee picha za Igogo ya 2022 Basi tuone inavyopendeza 🤸🤸Unapost Picha za Igogo za 2002 na kubadili angle
View attachment 2439125
Lete picha za forest na IwambiUnaweza kuwa unaisha Sae hata Mbeya huijui vizuri umekariri kwamba Mbeya Ni humo along barabara kuu.
Kama hakipo tunachowazidi Mwanza na wewe unaifahamu Mwanza,umewahi ona Mbeya Imejaa mabanda ya nguruwe Kama yaliyoijaza Mwanza?
Mwanza Ina hata master plan kweli? Jiji zima 3/4 ya watu wanaishi kwenye mabanda afu unaongea Nini wewe jamaa? Au umepagawishwa na skyline ya vigkrofa vya pale Mjini Kati?
Waambie watu wa Mwanza wakuletee mitaa 2 tuu inayofanana na Forest na Iwambi achilia mbali hapo Sae.
Zimejaa humu Sina mda wa kurudiaLete picha za forest na Iwambi
Mbona za mabasi na tule tu gorofa tuwili unarudia😂😂Zimejaa humu Sina mda wa kurudia
Sirudiagi picha unless Kuna ulazima.Mbona za mabasi na tule tu gorofa tuwili unarudia😂😂
Milima hiyo inanyumba Nzuri isipokua mpangilio, huwezi compare na Mapagale ya Uswekeni MbeyaSihitaji makelele huo mradi umeshaondoa mabanda ya nguruwe huko Sasa Ni nyumba Kali 😆😆😆😆
Iyo Forest Mpya na Ya Zamani znazidiwa na Forest ya Morogoro, Forest Mbeya inatupwa kuleeee na Nyakato NationalUnaweza kuwa unaisha Sae hata Mbeya huijui vizuri umekariri kwamba Mbeya Ni humo along barabara kuu.
Kama hakipo tunachowazidi Mwanza na wewe unaifahamu Mwanza,umewahi ona Mbeya Imejaa mabanda ya nguruwe Kama yaliyoijaza Mwanza?
Mwanza Ina hata master plan kweli? Jiji zima 3/4 ya watu wanaishi kwenye mabanda afu unaongea Nini wewe jamaa? Au umepagawishwa na skyline ya vigkrofa vya pale Mjini Kati?
Waambie watu wa Mwanza wakuletee mitaa 2 tuu inayofanana na Forest na Iwambi achilia mbali hapo Sae.
🤣🤣🤣🤣 Hii ndio Forest inayoongelewa na Ndugu yenu yaani ni Igogo pure, means Uswazi Mwanza ni rich area Mbeya city, Forest Mbeya haiwezi kuwa Rich neighbourhood kwa Mwanza ni uswazi iliyochangamkaSirudiagi picha unless Kuna ulazima.
Mbeya Forest 👇
Kwenye mdomo uko vizuri ,ziko wapi picha za Mwanza?🤣🤣🤣🤣 Hii ndio Forest inayoongelewa na Ndugu yenu yaani ni Igogo pure, means Uswazi Mwanza ni rich area Mbeya city, Forest Mbeya haiwezi kuwa Rich neighbourhood kwa Mwanza ni uswazi iliyochangamka
Mdomo mdomo picha ziko wapi?Iyo Forest Mpya na Ya Zamani znazidiwa na Forest ya Morogoro, Forest Mbeya inatupwa kuleeee na Nyakato National
Wewe Ni taahira kwa hiyo hayo mabanda ndio nyumba nzuri?Milima hiyo inanyumba Nzuri isipokua mpangilio, huwezi compare na Mapagale ya Uswekeni Mbeya
Acha uvivu pitia Nyuma 2shapost sanaMdomo mdomo picha ziko wapi?
HakikaaaWewe Ni taahira kwa hiyo hayo mabanda ndio nyumba nzuri?
Usikute na wewe unaishi kwenye hayo mauchafu.
Ndio maana huna akili kumbeHakikaaa