Kahama VS Njombe/Mafinga

Sijajua Mkuu, Ila bado Ngara itanufaika tu, Kahama watafaidika na shughuli za plant, na kuongeza malori mjini
 
Naona macho yako yanaona kinyume we hizo slum unaona ni mpangalio mzuri wa makazi, slum tupu hapo hakuna well organized neighbourhood
Onyesha slums sio kuruka ruka Kama ndorobo au Leta picha ya ramani ya Mwanza tuone ilivyopangwa..

Mbeya Hakuna slums viwanja vinapimwa kila sehemu ya Jiji πŸ‘‡
 

Attachments

  • halmashauri_ya_jiji_la_mbeya__1670046715080400.mp4
    21.3 MB
Njombe Town πŸ‘‡
 

Attachments

  • IMG_0959.JPG
    44.3 KB · Views: 9
  • 02.JPG
    40 KB · Views: 10
  • 06.JPG
    45.5 KB · Views: 10
  • 3-62-592x424.jpg
    40.5 KB · Views: 10
Wanapita kimya kimya πŸ˜‚πŸ˜‚

NjombeπŸ‘‡
 

Attachments

  • thumb_513_1130x480_0_0_auto.jpg
    102.5 KB · Views: 9
  • mqdefault.jpg
    14 KB · Views: 9
  • maxresdefault.jpg
    263.1 KB · Views: 9
  • FB_IMG_16692867678300939.jpg
    30 KB · Views: 8
  • 1670051239855.jpg
    41.8 KB · Views: 9
Kwanini nyumba nyingi Mbeya ni za udongo hususan Mbalizi
Kwani udongo una shida gani? Kwak hujui kwamba udongo wa Mbeya ukichoma tofali za kawaida zinapukutika na kuwa weak tofauti na ilijenga bila kuzichoma?

Ni aidha ujenge kwa block au kwa udongo bila kuchoma..

Mwisho umewahi kuona Zina shida yeyote?
 
Kwani udongo una shida gani? Kwak hujui kwamba udongo wa Mbeya ukichoma tofali za kawaida zinapukutika na kuwa weak tofauti na ilijenga bila kuzichoma?

Ni aidha ujenge kwa block au kwa udongo bila kuchoma..

Mwisho umewahi kuona Zina shida yeyote?
Nilichokuwa nataka kujua sababu ya kujenga Kwa udongo tupu badala ya saruji
 
Jamaa wa Kahama wameshapoteana hawana Cha ku post kila wakiweka huwa Ni mavumbi tuu πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Karibu Njombe πŸ‘‡
 

Attachments

  • 1670050829560.jpg
    60.1 KB · Views: 10
  • 1670050953839.jpg
    39.3 KB · Views: 10
  • 1670051073698.jpg
    18.8 KB · Views: 10
  • 1670051025544.jpg
    60.5 KB · Views: 10
  • 1670051239855.jpg
    41.8 KB · Views: 9
  • 1670051054700.jpg
    19.7 KB · Views: 10
  • 20221203_080259.jpg
    36 KB · Views: 9
Kijana wa Mbeya mkoa wa Mwanza itakutoa roho !Hakuna sehemu hapo mbeya utakutana na vitu vya maana namna hii! Hapo ni kilometa 12 kutokea mjini lakini angali mandhari yake!

Kwani udongo una shida gani? Kwak hujui kwamba udongo wa Mbeya ukichoma tofali za kawaida zinapukutika na kuwa weak tofauti na ilijenga bila kuzichoma?
Ni aidha ujenge kwa block au kwa udongo bila kuchoma..

Mwisho umewahi kuona Zina shida yeyote?
 
Kijana wa Mbeya mkoa wa Mwanza itakutoa roho !Hakuna sehemu hapo mbeya utakutana na vitu vya maana namna hii! Hapo ni kilometa 12 kutokea mjini lakini angali mandhari yake!

View attachment 2434402
Nikiwaambia Mwanza Ni Uswazi City huwa hamuelewi.

Nifundisheni kuchora chora picha nizungushie uswazi nauona nyuma ya huto tugorofa twa stand πŸ˜†πŸ˜†

Anyway naona unahemka sana,km 10 kutoka Katikati ya Jiji na hapa Ni Iwambi πŸ‘‡
 

Attachments

  • IMG_20221016_100741_608.jpg
    1.7 MB · Views: 8
  • IMG_20221016_100912_032.jpg
    1.7 MB · Views: 10
  • IMG_20221016_084604_934.jpg
    2.2 MB · Views: 8
Wakati Kahama inazidi kupauka kwa mavumbi,Njombe tunatandaza lami kila mtaa πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221203-101812.png
    173.6 KB · Views: 8
  • halmashauri_ya_mji_njombe_1670051953307544.jpg
    50.8 KB · Views: 9
  • halmashauri_ya_mji_njombe_1670051953307556.jpg
    57.3 KB · Views: 10
  • halmashauri_ya_mji_njombe_1670051953307802.jpg
    56 KB · Views: 9
  • halmashauri_ya_mji_njombe_1670051953307462.jpg
    38.6 KB · Views: 9
  • halmashauri_ya_mji_njombe_1670051953306135.jpg
    48.7 KB · Views: 10
  • halmashauri_ya_mji_njombe_1670051953307543.jpg
    51.3 KB · Views: 10
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…