Kahama VS Njombe/Mafinga

Hyo picha ya juu ,ikiwa ni mbeya ,nipo palee
Lake Nyasa hiyo wewe hater πŸ˜†πŸ˜†..

Haters mnayeswa Sana na wivu,mwenzio alisema eti hakuna sehemu ya kwenda vacation au kupumzika weekend wakati Kuna

-Beaches za Matema,
-Kuna kwenda Lake ngozi na kisiba,
-Kuna kwenda Kitulo NP,
-Kuna kwenda kutembea Kawetere/poroto Mountains almaarufu Kona za Mkoa na
-Kuna kwenda kwenye shamba la wanayamapori Ifisi Tena Ni la Serikali.
πŸ‘‡
 

Attachments

  • kisiba-crater-lake.jpg
    30.2 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221106-072925.png
    243.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221106-072948.png
    217.2 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221106-073338.png
    340.3 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221106-072705.png
    269 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221106-072750.png
    272.6 KB · Views: 10
  • IMG_4041.jpg
    49 KB · Views: 8
This is Mbeya Rural πŸ˜†
 

Attachments

  • 20221125_082154.jpg
    581.6 KB · Views: 8
  • 20221125_082151.jpg
    317.4 KB · Views: 9
  • 20221120_183021.jpg
    46.5 KB · Views: 10
  • 20221125_081337.jpg
    108.9 KB · Views: 10
Nyasa .ni mbeya
...
Leta site za mbeya jiji ....ukitaka hivyo mi nitakuletea Serengeti national park na nikasema Mwanza

Ukipata barabara smart kama hii nitag
 
Kwahiyo hapa ni City Centre πŸ€”
 

Attachments

  • 20221125_083948.jpg
    644.1 KB · Views: 10
  • 20221125_083717.jpg
    23 KB · Views: 9
  • 2940500_tzcucom-___CP4r_ptNOB5___-.jpg
    84.3 KB · Views: 7
  • 2940501_jr_sports_tz-___CRcAdcUroHE___-.jpg
    138.1 KB · Views: 6
  • 2940495_grcityhotelmbeya-___CO1rhybhDdm___-.jpg
    55.4 KB · Views: 7
Aisee iringa ni bonge la mji ..mbeya tughorofa twa kuokoteleza
Tungekuwa Ni twa kuokoteza Ungeikuta Iringa kwenye Mikoa top 10 Yenye Magorofa Mengi Tanzania..

Mbeya is big hapo Ni sehemu ndogo tuu ya Sokomatola sipati picha uanzie Meta Hadi Uyole kote huko Ni full Magorofa..

Mitaa classic Mbeya πŸ‘‡
 

Attachments

  • 20221125_080533.jpg
    99.1 KB · Views: 8
  • 20221125_081216.jpg
    507.1 KB · Views: 10
  • 20221125_080530.jpg
    114.7 KB · Views: 10
  • 20221125_080238.jpg
    46.1 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221125-080515.png
    290.9 KB · Views: 8
Kuliko kupanda sgr yenye Mabehewa Kama Bodi za Ngorika Bora nibakie na Mabasi tuu..

Hizi Ni zile chuma jamaa wa kule wanachukia Sana wakiona πŸ€ͺπŸ€ͺ😜😜..

Njia Ni Moja Mbeya πŸ‘‡
 

Attachments

  • 20221127_081750.jpg
    32.3 KB · Views: 9
  • 20221127_081854.jpg
    58.5 KB · Views: 9
  • 20221127_081522.jpg
    107.3 KB · Views: 10
  • 20221127_081539.jpg
    124.5 KB · Views: 10
  • 20221127_081953.jpg
    121.5 KB · Views: 9
  • 20221127_082134.jpg
    111.3 KB · Views: 9
  • 20221127_080334.jpg
    104.5 KB · Views: 10
  • 20221127_080122.jpg
    75.5 KB · Views: 7
  • 20221127_080025.jpg
    44.4 KB · Views: 8
  • 20221127_075956.jpg
    151.5 KB · Views: 7
Tungekuwa Ni twa kuokoteza Ungeikuta Iringa kwenye Mikoa top 10 Yenye Magorofa Mengi Tanzania..

Mbeya is big hapo Ni sehemu ndogo tuu ya Sokomatola sipati picha uanzie Meta Hadi Uyole kote huko Ni full Magorofa..

Mitaa classic Mbeya
hyo ndio mitaa classic mbeya dah ..ni aibu tupu nyahanga kahama ni pazuri kuliko hapo .....nishasema kusini ni iringa tu ,,, pengine ni utopolo tu.... ukiniletea mtaa mkali kuliko gangilonga iringa.nipo pale .....
Ebu angalia mitaa classic ya wenzio

Hizi mitaa hamna vumbi ,ni sauti za ndege tu unazisikia..
Nyamagana area
 
Kuliko kupanda sgr yenye Mabehewa Kama Bodi za Ngorika Bora nibakie na Mabasi tuu..

Hizi Ni zile chuma jamaa wa kule wanachukia Sana wakiona
..

Njia Ni Moja Mbeya
Nashukuru hata pro Samia kama wewe mmeanza kuelewa mama wapi anakosea ......
 
Nashukuru hata pro Samia kama wewe mmeanza kuelewa mama wapi anakosea ......
Anakosea wapi? Huo Ni mpango kazi wa TRC na bajeti Yao, kwa long haul routes zinazobeba watu lazima ziwe na behewa za ngorika..

Watu wanaingia na mbuzi,ndama,kuku,mihigo nk kwenye behewa ndio uwawekee zile Kali? Kuwa serious Basi πŸ€ͺπŸ€ͺ

Zile route fupi fupi zitakuwa na behewa nzuri.

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Komaeni na zenu hizi hapa πŸ‘‡
 
Kweli wew ignorance imo kichwani mwako ...
Hizo behewa ni za masafa marefu yaani speed yake sio kubwa ,,,,na zile design nyingine ni masafa mafupi speed yake kubwa.....hiz zimekuja mapema Kwa ajili ya ruti ya dodoma dar ...zile zingine zitakuja Kwa ajili ya ruti ya mega city na major city ..2027 ..ambayo ndio safari ndefu zaidi itahitaji mabehewa ya speed kubwa
 
Mega City 😁😁 .

Aliyemuelewa huyu mbuzi aniambie πŸ€ͺπŸ€ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…