The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Neno potential halitafanya Mbeya isiwanyew Mwanza..Uchumi upi ......mikoa potential kiuchumi ni hii
Na ndio maana viongozi wake wanafanya conference kwenye majukwaa makubwaView attachment 2411293
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu . linganisha hiziNeno potential halitafanya Mbeya isiwanyew Mwanza..
Kurundika watu maskini sio kuwa potential
Tuletee picha za uzunguni,iwambi,forest mpya,uyole,Soweto nk maana naona umechagua zile za kwenu nzuri na ukaleta za Mbeya unazopenda kuziona wewe..Ebu . linganisha hiziza mbeya ..mitaa yake ..na
mwanza hapo chini unambie wapi wamerundikana masikiniView attachment 2411336View attachment 2411337View attachment 2411339View attachment 2411341
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo kazi ya kuleta picha za Iwambi , forest Mpya ni kazi yako .sio mim .ila mimi mbeya nayoifahamu imejaa uswazi Tena ule wa kijijini..watu wanaongea kisafwa na kinyakyusa ....Tuletee picha za uzunguni,iwambi,forest mpya,uyole,Soweto nk maana naona umechagua zile za kwenu nzuri na ukaleta za Mbeya unazopenda kuziona wewe..
Mwisho usiache kutuletea na uswazi wa Mwanza.
Hii si ndio uyole unayoitaja hapa ..Tuletee picha za uzunguni,iwambi,forest mpya,uyole,Soweto nk maana naona umechagua zile za kwenu nzuri na ukaleta za Mbeya unazopenda kuziona wewe..
Mwisho usiache kutuletea na uswazi wa Mwanza.
Inafanana na uswazi wa Bugando?
Siwezi kuweka kukufurahisha ,wewe weka unazotaka ila narudia Tena kujaza maskini sio ndio kuwa potential and will not spare you from poverty.Hyo kazi ya kuleta picha za Iwambi , forest Mpya ni kazi yako .sio mim .ila mimi mbeya nayoifahamu imejaa uswazi Tena ule wa kijijini..watu wanaongea kisafwa na kinyakyusa ....
Kingine niletee aerial view ya mitaa ya mbeya ukipata wa kulingana na huu nitagView attachment 2411357
Sent using Jamii Forums mobile app
We bugando unapafahamu au unapasikia tuInafanana na uswazi wa Bugando?
Hii ndio Mwanza tunayoijua sisi sasa ๐We bugando unapafahamu au unapasikia tu
Aya hii ndio bugando nambie Kuna uswazi gani hapa ... kingine
Slum mwanza zipo chache Tena ziko kimjini kama ilivyo tandale ,buza ,....sio kwenu ni vijijini mabanda ...
View attachment 2411362
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Mbeya inafana na Buzuruga ndo ije ishindane na jiji la Mwanza? Huyu sunk huwa anajifurahisha kawa kweli yaani msongamano wa majumba ya tope hapo Mbeya ndo uje ulinganishe na jiji la Mwanza?Ebu . linganisha hiziza mbeya ..mitaa yake ..na
mwanza hapo chini unambie wapi wamerundikana masikiniView attachment 2411336View attachment 2411337View attachment 2411339View attachment 2411341
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo Meya wanazindua Lift ya kwanza mkoani kwenu!Hii ndio Mwanza tunayoijua sisi sasa ๐
HiYo tren nimeona mwenyewe pia wameitupia kwenye page ya TAZARA wakati kipindi Cha nanenane na zipo tatu za aina HiYo wamiliki. Wanatoka south africaMkuu naomba link ya hii habari au ulikutana tuu na Train?
Pengine Ni zile za kitaliiHiYo tren nimeona mwenyewe pia wameitupia kwenye page ya TAZARA wakati kipindi Cha nanenane na zipo tatu za aina HiYo wamiliki. Wanatoka south africa
Hoja yako ni ipi hasa?
Ngoja popoma aje akuletee michoro ya flyover ya mbeya๐๐๐ILEMELA YASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO MRADI WA UBORESHAJI MIFUMO YA USAFIRI
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Eng. Modest Apolinary na Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa Bi Celine Robert wamesaini mkataba wa makubaliano wa uanzishaji wa mradi wa uboreshaji wa mifumo ya usafiri mijini.
Mradi huu ambao unatarajiwa kuanza mara baada ya kukamilika kwa upembuzi yakinifu mwishoni mwa Mwaka 2023 unatarajiwa kutekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela na Jiji la Mwanza
Mradi huu utafadhiliwa na shirika la maendeleo Ufaransa(AFD) ambayo ni sehemu ya miradi inayotekelezwa katika programu ya "GREEN AND SMART CITY SASA"
Akishuhudia utiaji wa saini,ndugu John Cheyo Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI ambae alimwakilisha Katibu Mkuu amewataka wakurugenzi wa Halmashauri za Manispaa ya Ilemela na jiji la Mwanza kuhakikisha wanatoa ushirikiano wa kutosha kwa mtaalam mshauri wa mradi huu.
"Niwatake wakurugenzi kuhakikisha mnatoa ushirikiano wa kutosha pamoja na kuhakikisha mradi utakapokuwa unaanza rasmi mnachagua wataalam sahihi ili mradi ukamilike kwa usahihi na kwa wakati uliokusudiwa"amesema John Cheyo.
Bi Celine Robert ambae ni Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) ameshukuru kwa hatua iliyofikiwa na kusema kuwa lengo hasa la mradi huu ni kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwa kupunguza matumizi ya hewa ukaa kwa kuboresha usafiri mjini.
Ofisi ya Rais - Tamisemi Msemaji Mkuu wa Serikali Ikulu Mawasiliano Mkoa Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii picha ndio uliyobakiza ukiombwa tofauti na hii huna, mara mwanza uswazi leta hizo picha za uswazi tofauti na hii ya milima za mabatini.Hii ndio Mwanza tunayoijua sisi sasa ๐
Umekosa kazi๐๐๐God's Gifts Kama hizi zinaoatikana kwenye mikoa ilibarikiwa tuu..
Non other than Mbeya ๐
Upo sahihi kabisa watu potential wapo mbeya wakipambana na nyumba za udongo katikati ya jiji pia wakiendelea kula vumbi kama nyoka wa jangwani๐ ๐ ๐Neno potential halitafanya Mbeya isiwanyew Mwanza..
Kurundika watu maskini sio kuwa potential