Kahama VS Njombe/Mafinga

Hadithiii
 
Kuanzia mwez wa pili ila safar hii yatapungua mfano zao la mbao njombe dc wameshusha ushuru wao wafanyabiashara wamehamia huko pia nakufunguliwa Bara bara Ya makete nayo imeathiri wanafuata mzigo hukohuko tofauti na mwanzo
 
Kuanzia mwez wa pili ila safar hii yatapungua mfano zao la mbao njombe dc wameshusha ushuru wao wafanyabiashara wamehamia huko pia nakufunguliwa Bara bara Ya makete nayo imeathiri wanafuata mzigo hukohuko tofauti na mwanzo
Okay hapa sasa umeeleza ukweli maana hata mimi ndugu yangu alikuwa anafuata Mbao Mbeya sasa anafuata Makete au Njombe DC moja kwa Moja hadi Mpanda..

Ndio maana Makete ilipata mapato bil.4 mwaka Jana seems mwaka huu watapata zaidi..

Njombe Mjini imeshawakata hiyo,hawataweza fikia Bil.8
 
Inategemea na interests zako sasa kama wataka mining nenda kahama ila kama wataka kilimo hasa cha miti na parachichi nenda Mafinga
 
Mnapokuwa na undiversified economy hayo ndio matatizo yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tactic kujenga km 22 za lami Sumbawanga πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221105-110953.png
    183.5 KB · Views: 24
Sumbawanga inazidi kukua huku Bukoba ikichakaa πŸ‘‡
 

Attachments

  • IMG_20221031_185430_969.jpg
    786.1 KB · Views: 21
  • IMG_20221031_185432_338.jpg
    824 KB · Views: 15
  • IMG_20221029_130807_516.jpg
    977.7 KB · Views: 18
  • IMG_20221029_131232_705.jpg
    1.2 MB · Views: 16
  • IMG_20221029_114338_783.jpg
    1.6 MB · Views: 18
  • IMG_20221029_114339_336.jpg
    1.5 MB · Views: 20
  • IMG_20221011_174138_663.jpg
    1.4 MB · Views: 23
Kisiba Crater Lake Rungwe Mbeya πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221106-073338.png
    340.3 KB · Views: 18
  • kisiba-crater-lake.jpg
    30.2 KB · Views: 21
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…