Kahama VS Njombe/Mafinga

Naam kagera ipo top Five kwa idadi ya majengo


Sasa hayp majengo sio kwamba yapo kwenye mji mdogo kama Bukoba...la asha yapo huko vijijini na majumba na majumba...

 
Kuna baadhi ya mikoa ardhi ilindwe sana, mikoa inayozalisha chakula kwa wingi tusiache watu wajenge hovyo ili tusije kosa vyakula baadae
 
Naam kagera ipo top Five kwa idadi ya majengo


Sasa hayp majengo sio kwamba yapo kwenye mji mdogo kama Bukoba...la asha yapo huko vijijini na majumba na majumba...

View attachment 2404708
Majengo yanaendana na idadi ya watu Sasa unatakaje Majengo yawe mengi kuliko watu Ili iwaje?

Mkoa wa Kigoma ndio una top ten ya idadi ya watu yet una majengo machache,huko kuna shida sana ya makazi bila shaka.
 
Shule za msingi za Dar ni kama minada, watoto wanarundikwa tu. Kukuta shule ina wanafunzi 1500, 2,000/- kawaida tu
Dar with all the resources wanashindwa kweli kujenga madarasa ya Maghorofa Ili ku accommodate watoto?

Nilishasema siwesi ishi sehemu yenye watu wamerundika hovyo kama huko kwenu,mara nyingi huduma huwa no horrible.
 
Yan hii mikoa inazidi Dar kwa idadi ya shule za msingi...


Kagera elimu inazidi kukomaa siku hadi siku...nadhani na takwimu za wajinga kwa mkoa wa kagera itakuja kusoma sifuri one dayView attachment 2404706View attachment 2404707
Lakini Mnaweza kuwa na shule nyingi kwa sababu mna eneo la kutosha kujenga shule ila wenzio wakawa na shule chache ila vyumba vingi vya madarasa hasa majengo yakiwa ya ghorofa.
 
Sasa mbona kutoka ngara kwenda bukoba ni km 300 na kutoka nyakanazi hadi Bukoba ni km 350...na ni mkoa mmoja...

Na hamtaki ziundiwe mkoa wake
Hapo kuna tatizo tena sio dogo..

Mkoa wa Chato si utachukua baadhi ya maeneo ikiwemo Nyakanazi au?

Pia how is terrain? Na Mwisho kama hakuna vigezo maalumu.vinavyotumiwa na Serikali kugawa maeneo basi hiyo ni shida..

Kama RCC ya Mkoa wa Kagera haijapendekeza kugawa Mkoa ujue hakuna shida maana sio tuu idadi ya watu na geografia vinahusika bali uwezo wa KiMapato wa Mkoa wenu..

Itakuwa ni aibu kugawa Mkoa afu mapato mnapata bil.3 kwa mwaka
 
Tayari kamati za ushauri za mikoa ya geita na mwanza zisharidhia kuundwa mkoa Mpya wa chato ,..Kwa mwanza kutoa wilaya ya buchosa kwenda geita ,na geita kuitoa wilaya ya chato na bukombe kwenda chato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iringa ndio mkoa uko vizuri hata city centre ya Iringa kwa maoni yangu ni nzuri na iko organized tofauti na Mbeya.
Hongereni wana Iringa
Yap...hata mimi huko kusini...mji ninaoukubali ni iringa...ingawa vijijini huko kilolo, sijui iringa vijijini na mufindi ni majanga...kuna umaskini uliotukuka...kidogo mafinga...


IRINGA NI BORA KULIKO MBEYA...unaonekana mji kweli
 
Wameshindwa kujenga madarasa ya Maghorofa?
Sawa ni Dar...ndo kuna uchumi..


Lakin kuna sekta nyingine kama elimu ...mikoa mingine inaipita Dar mbali sana...wengi kwao dar...lakin wanasoma mikoani...

Dar inashida nyingi zaidi za kijamii kuliko mikoa mingi nchini..na kuna umaskini kwa walio wengi
 
Chato inaingilianaje na Ngara na Biharamulo?
Chato zamani ilikua kagera husisahau hilo...

Chato ilikuwa sehemu ya wilaya ya biharamulo kabla mkoa wa geita haujaundwa...

Ngara ni karibu na biharamulo...ambazo zote ziko mbali na Bukoba na ni lazima uvuke msitu wa burigi chato ndo uikute muleba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…