Kahama VS Njombe/Mafinga

ukisema kijiji cha Mbeya kina CBD nne basi Mwanza itakuwa na Cbd sita na kwenye hizo cbd sita za mwanza cbd ya mbeya haiwezi kuzidi hizo ata miaka 10 ijayo.
Hata mkiwa nazo 100 ila inajulikana moja tuu ya hapo Mjini..

Mbeya ofisi ziko city centre kama posta na biashara ziko Mwanjelwa kama Kariakoo Dar.
 
Tayari umeshajengwa so upo kwenye GDP ya Sasa ya Mwanza ukianza uzalishaji utaongezea ila investment ya kwanza ndio huwa kubwa..

Hapo bado Mgodi wa Niobium
huo mgodi ukianza kufanya kazi mjukuu wako atakuwa tayari ni mifupa chini ya ardhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…