The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Hata mkiwa nazo 100 ila inajulikana moja tuu ya hapo Mjini..ukisema kijiji cha Mbeya kina CBD nne basi Mwanza itakuwa na Cbd sita na kwenye hizo cbd sita za mwanza cbd ya mbeya haiwezi kuzidi hizo ata miaka 10 ijayo.
huo mgodi ukianza kufanya kazi mjukuu wako atakuwa tayari ni mifupa chini ya ardhiTayari umeshajengwa so upo kwenye GDP ya Sasa ya Mwanza ukianza uzalishaji utaongezea ila investment ya kwanza ndio huwa kubwa..
Hapo bado Mgodi wa Niobium
kumbe huwepo wa soko ni kigezo cha kuwa cbd π π π π πHata mkiwa nazo 100 ila inajulikana moja tuu ya hapo Mjini..
Mbeya ofisi ziko city centre kama posta na biashara ziko Mwanjelwa kama Kariakoo Dar.
huo mgodi wa nyanzaga haujaanza kufanya kazi we tulia tuwanyee mara tatu ya hapa.Tayari umeshajengwa so upo kwenye GDP ya Sasa ya Mwanza ukianza uzalishaji utaongezea ila investment ya kwanza ndio huwa kubwa..
Hapo bado Mgodi wa Niobium
angalia gdp ya Geita ni kama ya mbeyaππππIla Mwanza ni wababe sana,
Ilimegwa kutengeneza mkoa wa Geita, ikamegwa tena kutengeneza mkoa wa Simiyu ila bado GDP wise ni second to dar.
Nipe hiyo link ya GDP kama unayo.angalia gdp ya Geita ni kama ya mbeyaππππ
Airport wanayo .sema jina tu linaitwa songwe ,Kwa sababu ya mto songweNipe hiyo link ya GDP kama unayo.
Halafu mbeya haina Airport, maana Airport Iko Songwe.
Kuna wakati niliona wanaigombania, kumbe ilikuwa ni issue ya Jina.Airport wanayo .sema jina tu linaitwa songwe ,Kwa sababu ya moto songwe
Usifananishe dar na upuuzi...mwanjelwa ipi unayoifananisha na kariakoo.hii auWewe ndio kimba kabisa ,hizo unasosema naokoteza ziko CBD na Nimekwambia Mbeya ni kama.Dar ina CBD nzuri.
Kaka mimi nimesoma nikakaa kimya,Usifananishe dar na upuuzi...mwanjelwa ipi unayoifananisha na kariakoo.hii auView attachment 2401348View attachment 2401349View attachment 2401350
CBD ya mbeya ni ya hovyo inazidiwa na manispaa nyingi tu,Hiz ndio CBD Za mbeya .....nikiwaambia Bora iringa mjini .. Wanasema nadanganya
View attachment 2401353View attachment 2401354View attachment 2401357
sasa hapa panaizidi nini buzuruga au nyegezi?πππUsifananishe dar na upuuzi...mwanjelwa ipi unayoifananisha na kariakoo.hii auView attachment 2401348View attachment 2401349View attachment 2401350
Nice ππUsifananishe dar na upuuzi...mwanjelwa ipi unayoifananisha na kariakoo.hii auView attachment 2401348View attachment 2401349View attachment 2401350
Amazing MbeyaHiz ndio CBD Za mbeya .....nikiwaambia Bora iringa mjini .. Wanasema nadanganya
View attachment 2401353View attachment 2401354View attachment 2401357
Kusini kutamu nyie we acha tuu.πͺπͺ
Na huu mwingine mbioni kuanza Mbeya πhuo mgodi wa nyanzaga haujaanza kufanya kazi we tulia tuwanyee mara tatu ya hapa.