Kahama VS Njombe/Mafinga

Wameshindwa kina Shinyanga na migodi zaidi ya 3 sembuse hako kamoja?

Geita iko wapi? Mtaipata ila sio ndani ya miaka 3,the moment mnaifikia hiyo Mbeya itakuwa imeshawapita zamani Sana..

Mbeya tutawapita bila hata Migodi bali kwa barabara tuu.
Daraja la busisi a.k.a booster ya uchumi mwanza ni kama vumbi la congo kwa mwanaume lofa kama wewe, pili sgr ni kama kilainishi cha uchumi mwanza, meli za mizigo na abiria ndani ya ziwa victoria ni kama mwanamke mrembo kwa rijali kama mimi, miundombinu ya barabara, masoko, mastendi kila mahali hakika hivi vitu vikija kukamilika uchumi wa nyanda za juu kusini ikiwemo mbeya zikipangwa 7 ndio zitalingana na mwanza, sisi wana Mwanza tutakuwa tunalamba tu asaliπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Nimeshakwambia kwamba wakati wa capital investment kama sasa ndio GDP hukua zaidi ila baada ya hapo ukuaji huwa mdogo..

As we speak vyote hivyo viko Mwanza ndio hiyo 11 wakati Mbeya bado so tukija kuviweka tutawapita kama mshale 😝😝..

Barabara zinatosha kabisa kuwita..

TANZAM Road to dual carriage.
Barabara ya Chunya,
Barabra ya Kufika Njombe via Makete,

Hizo tuu zinatosha kuwafikia sijagusa mambo mengine.
 
Habari njema Kwa Mbeya na Singida'πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221019-130258.png
    127.6 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221019-130423.png
    56.8 KB · Views: 11
Hii kitu ikija kukamilika...mbeya na mwanza itakuwa mbingu na ardhi
 
Kwa hiyo kinachokufanya uweweseke ni nini hasa? Hako ka station au hiyo train ilivyokuwa elevated ya hizo barabara?

Endelea kufurahia makaratasi
Hyo hapo ni paracatemol ..
amodiaquine ni hii mbona malaria utapona tu
...najua huna Twitter,,nenda play store andika Twitter then install jiunge (utani pm nikuelekeze
) njoo ukclick hii link uone dozi yako safi

 
Reli hakuna kitu itabadili kwenye maisha maana haijawahi kuwa na impacts yeyote kwenye maisha ya watu..

Labda mtakachofaidi ni kusafiri na kuwahi maeneo mnakoenda kupiga picha ila hakuna cha maana tangible kitaonekana kwenye maisha yenu..

Maisha yanabadilishwa na viwanda,Viwanda 2 vya wenyeji wa Mbeya.

1.Kiwanda cha Spirit-BlueMaster Limited,
2.Kiwanda Cha Pareto(Viwatilifu) πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221019-194226.png
    225.5 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221019-194122.png
    133.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221019-193616.png
    147.7 KB · Views: 11
Unaweweseka Sana na reli 😁😁😁😁..

Mbeya tuna reli Bora kabisa miaka mingi,Cha kufahamu ni kwamba reli haitabadili chochote in terms of your poverty..

The only thing we want in Mbeya City ni barabara tuu ndio zitabadili maisha ya watu πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221019-194435.png
    279 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221019-194417.png
    52 KB · Views: 7
Kwa hiyo kinachokufanya uweweseke ni nini hasa? Hako ka station au hiyo train ilivyokuwa elevated ya hizo barabara/ Viaduct?

Endelea kufurahia makaratasi πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa huyu kunguni anabisha nn wakat watu wameishaanza ujenzi wa hyo flyover ya reli wapo mkuyuni mwanza πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Sasa huyu kunguni anabisha nn wakat watu wameishaanza ujenzi wa hyo flyover ya reli wapo mkuyuni mwanza πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Kunguni gani anaebisha kwamba hakuna Ujenzi?

Swali ni hili,kinachowababaisha na kuwaonyesha ushamba ni hiyi viaduct au kuna kingine?

Hiyo kitu mtafaidika kwa kupigia picha ila sgr kama sgr haitaleta significant yeyote kwenye uchumi wa mtu mmja mmja,impacts yake ni ndogo Sana kulinganisha na barabara..
 
Wakati pimbi wa Mwanza wakishangilia reli ya sgr ,Mbeya ni mwendo wa Viwanda tuu,baadae wakiongoza kwa umaskini utaskia ooh tumeonewa πŸ˜†πŸ˜†..

Msije kupita kimya kimya πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221020-115758.png
    153.2 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221020-115341.png
    157.6 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221020-115235.png
    140.9 KB · Views: 12
  • Screenshot_20221020-115150.png
    158.9 KB · Views: 14
  • Screenshot_20221020-115045.png
    157.8 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221020-114832.png
    160.2 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221020-114547.png
    153.2 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221020-114534.png
    145.7 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221020-114317.png
    112.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221020-120053.png
    132.7 KB · Views: 8
Mkinga kutoka Njombe πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221020-114153.png
    117.8 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221020-114129.png
    120.1 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221020-113935.png
    125 KB · Views: 12
  • Screenshot_20221020-113826.png
    93.7 KB · Views: 13
  • Screenshot_20221020-113820.png
    111.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221020-113806.png
    97.5 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221020-113757.png
    113.7 KB · Views: 9
Some time ushamba unarudisha nyuma vitu vingi na kujiona hivyo vitu Ni vya Kwan kufanyika TAZARA ni yakitambo Ina fly over za kutosha na mahandaki ya kutosha na ndio reli yenye mizigo mingi Sana sema haitumiki ipasavyo imepita sehemu zenye bidhaa. Za kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…