Kahama VS Njombe/Mafinga

....mpaka 2046 mwanza si ishakuwa nchi nyingine kabisa ....
Unapofanya future projection lazima uzingatie vitu vitatu.. sustainability, strategies na potentiality..ukitaka kuelewa hayo maneno nenda shule ukasome kwanza....
Kaangalie leading exporter wa mazao haya ndo uje usemee mwanza na kilimo wapi na wapi

pamba,dengu,choroko ,
Unasema geita ukitoa GGM inabaki na nini inanbaki na hvi

Wilaya zote Zina migodi ya dhahabu
kilimo Cha mpunga na matunda
Uvuvi wa samaki
Misitu
Utalii wa hifadhi za taifa
Transportation corridor ya maziwa makuu
biashara mji wa katoro toka Uganda


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hii ndio Mbeya usiyopenda kuionesha πŸ˜†πŸ˜†..

Sweet home Green City πŸ‘‡
 

Attachments

  • mbeya-13-950x534.jpg
    38.6 KB · Views: 9
  • mbeya-16-950x534.jpg
    32.6 KB · Views: 9
  • 800px-Mbeya_Tanzania.jpg
    79.9 KB · Views: 8
  • Mbeya city.jpg
    30.3 KB · Views: 8
  • 1686207111210218141315019345917_13.jpg
    86.8 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221009-100546.png
    253.7 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221009-100557.png
    204.6 KB · Views: 8
Serikali itakapopiga Marufuku matumizi ya mkaa wa Kuni na kutumia madini haya ya makaa ya Mawe kuwa nishati yanatosha kubadili GDP ya Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini on the spot kabla ya kugusa untapped iddle resources zingine πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221009-103414.png
    96.7 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221009-103649.png
    139.5 KB · Views: 7
Another Commercial town in the Making..

Ifakara πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221008-153645.png
    183.2 KB · Views: 8
Mlowo pande za Songwe kunafunguliwa fursa πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221009-093127.png
    125.7 KB · Views: 8
hakuna kitu kama hicho tena Mwanza kabla ya kugawanywa na kutoa Geita iliongoza kwa kila kitu wingi wa watu...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
😬😬😬😬 Kagera πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221008-152850.png
    118.6 KB · Views: 9
Hii itaenda ku push GDP ya Mikoa ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini..

Mbeya,Njombe,Ruvuma na Rukwa..

Serikali na STAMICO harakisheni hili.jambo πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221007-125401.png
    226.6 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221007-125421.png
    44.9 KB · Views: 8
Serikali inatarajia kujenga maghaala 62 ya Kuhifadhia nafaka yaani Sillos na kati ya hayo 31 yatajengwa Mkoa wa Ruvuma pekee..

Ruvuma iko top 10 ya Mikoa Yenye GDP kubwa sio kwa bahati mbaya..

Sio maneno yangu bali ni ya Bashe πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220929-221857.png
    46.9 KB · Views: 10
Daraja la kigongo busisi likiisha na kuanza kazi mwanza itakuwa kiuchumi sana zaid ya asilimia 30 malori mengi sana yatapita mwanza hapo bado sijazungumzia reli ikiisha na meli ya mv mwanza hapa kazi tu yan kiukweli geographical location ya mwanza inaibeba sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…