Yaan huo mtaa mmoja ndo ugeneralize bukoba ndogo
Manispaa ya bukoba ina area ya 89 kilometres za mraba...moja ya manispaa kubwa nchi halafu unasemaje...
Tena vijanja bado viko kibao...na juzi kati wametangaza viwanja kibao....manispaa ya bukoba ina viwanja zaidi ya 10000 na vyote vimepimwa vinasubiri watu...
View attachment 2368636
Eti Lindi inaizidi Kagera Kwa maendeleo
Takwimu za 2012 Lindi ilikuwa ya 4 Kwa umaskini nchini ...Leo 2022 ni ya 4 Kwa utajiri
Kwa uwekezaji gani uliofanyika Lindi ndani ya miaka kumi..ungeniambia Dom ningeelewa lakin Lindi?
Anyway huko Kagera watu wanapiga KAZI sana na wanazalisha chakula mno.....hizo takwimu peleka huko...watu wa Kagera wenyew wanashangaa mkoa wao kuitwa maskini...
Eti Lindi inaizidi Kagera Kwa maendeleo
Takwimu za 2012 Lindi ilikuwa ya 4 Kwa umaskini nchini ...Leo 2022 ni ya 4 Kwa utajiri
Kwa uwekezaji gani uliofanyika Lindi ndani ya miaka kumi..ungeniambia Dom ningeelewa lakin Lindi?
Anyway huko Kagera watu wanapiga KAZI sana na wanazalisha chakula mno.....hizo takwimu peleka huko...watu wa Kagera wenyew wanashangaa mkoa wao kuitwa maskini...
Nshawaambie nyie huko ndo maskini msijifiche kwenye per capital angalia mfano hapo chiniHuko Ni kukalili Sasa tulikwambia umejifungia Sana ukanda mmoja mambo yalisha badilika watu wanatumia fursa ya rasilimali zilizopo na Lindi Ni ya 9 mzee
Hakuna siku ujinga utakuisha.Nshawaambie nyie huko ndo maskini msijifiche kwenye per capital angalia mfano hapo chini View attachment 2369070
Fikeni hapa kwanza ndio mje kujitutumuaπMambo ambayo hutaki kuona...
Bukoba Municipality....the most developed municipality in Lake zone...View attachment 2368436View attachment 2368437View attachment 2368438View attachment 2368439View attachment 2368440View attachment 2368441View attachment 2368444View attachment 2368446View attachment 2368448View attachment 2368450
Sumbawanga inazidi kukimbizaπUmaskini wa serikali ya Kagera..sio Kwa watu wa Kagera...
Mkoa unaolisha Tanzania mzima Kwa ndizi na maharage..ndo uwe maskiniView attachment 2368500View attachment 2368501
Bado Sana..Maana halisi ya mji...sio hiyo vishopping center vya huko kusini
Wakishakua na stendi na soko wanajiona mji
Bukoba inakosa stendi na soko...lakin maendeleo mengine ya kijamii hakuna manispaa ya kuisogelea tz hiiView attachment 2368650View attachment 2368651
Tokeni Misituni na kwenye Giza mnakoishi kama wachawi njooni mjini..Coming up in bukoba View attachment 2368508View attachment 2368509
Usilinganishe huu uchafu..na bukoba...Fikeni hapa kwanza ndio mje kujitutumua
Huo mji unafanana kambi ya wakimbizi..Sumbawanga inazidi kukimbiza
Naona Dawa imekuingia sawasawaHakuna siku ujinga utakuisha.
Tutolee uchafu huoBado Sana..
Sumbawanga MC
ππππHuo mji unafanana kambi ya wakimbizi..
Kasarani Bukoba
Kaitaba Stadium bukoba
KatoroWewe unakera, yaani unapiga picha popote unatupia bila kueleza ni wapi.