Kahama VS Njombe/Mafinga

Picha nyingi leta data za GDP uone umaskini ulivo waandama
Hizo ni takwimu za serikali... Serikali ya Kagera ndo maskini..haina vyanzo vya mapato vya kutosha...


Lakin watu binafsi Wana maendeleo yao na sio maskini...

Ndo maana Air Tanzania inafurahia sana hii route ya bukoba...

Sasa Kuna Dar bukoba
Na kuna Dar mwanza bukoba
Na kuna mwanza bukoba...


Bado precision na auric Wana Safari zao kila siku
 
Hapa ni kigoma...imagine huu mkoa uko poà kuliko Kagera Kwa takwimu za serikali
View attachment 2368503
Yaani umechagua makazi ya wakimbizi ndio unakuja kujengwa hoja yako mfu? 😁😁😁😁..

Hakuna sehemu ambako hakuna maskini ila kwa Kagera ni wengi zaidi ya Kigoma..

Pia kila Mkoa una watu wenye makazi mazuri so usijitoe ufahamu na Kujifanya hukusoma hesabu za wastani.
 
Njombe tunaanza kupokea rasmi Watalii wa kigeni 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220926-120749.png
    165.7 KB · Views: 15
Ila haka Kamji kenu ni kadogo aisee..
Yaan huo mtaa mmoja ndo ugeneralize bukoba ndogo

Manispaa ya bukoba ina area ya 89 kilometres za mraba...moja ya manispaa kubwa nchi halafu unasemaje...

Tena vijanja bado viko kibao...na juzi kati wametangaza viwanja kibao....manispaa ya bukoba ina viwanja zaidi ya 10000 na vyote vimepimwa vinasubiri watu...
 
Chuo cha billion 22 ujenzi unaendelea....

Chuo kikubwa cha funding stadi nchini...kitakuwa na uwanja wa Mpira wake pia...so bukoba itakuwa na viwanja bora viwili vya Mpira vyenye nyasi bandia Kaitaba na hicho cha chuo....
 
Maana halisi ya mji...sio hiyo vishopping center vya huko kusini

Wakishakua na stendi na soko wanajiona mji


Bukoba inakosa stendi na soko...lakin maendeleo mengine ya kijamii hakuna manispaa ya kuisogelea tz hii
 
Achana mareport ya kisenge yaliyokaa kikanda na yasiyokuwa na uhalisia hata kidogo, tupigeni kazi maendeleo yanaonekana kwa macho na sio kwenye makaratasi
Eti Lindi inaizidi Kagera Kwa maendeleo


Takwimu za 2012 Lindi ilikuwa ya 4 Kwa umaskini nchini ...Leo 2022 ni ya 4 Kwa utajiri

Kwa uwekezaji gani uliofanyika Lindi ndani ya miaka kumi..ungeniambia Dom ningeelewa lakin Lindi?


Anyway huko Kagera watu wanapiga KAZI sana na wanazalisha chakula mno.....hizo takwimu peleka huko...watu wa Kagera wenyew wanashangaa mkoa wao kuitwa maskini...
 
Maskini wa kusini na population ya kijiji nimekuwekea per capital hapo chini ili uache kujifariji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…