The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Kahama huko kusini wa kuichallenge ni mbeya tu kwingine subirini sanaEden iliyobakia![]()

Unakera na kajengo Kako haka kamoja daily,huna picha zingine huko?Kahama huko kusini wa kuichallenge ni mbeya tu kwingine subirini sanaView attachment 2353807View attachment 2353808
Tulia dozi iingie ....hicho kidonge hakikutoshiUnakera na kajengo Kako haka kamoja daily,huna picha zingine huko?

Umewahi ona wapi hotel inakuwa Katika ya uswazi na uchafu kama huo?Tulia dozi iingie ....hicho kidonge hakikutoshi![]()
Aliyekuambia Hyo hotel naniUmewahi ona wapi hotel inakuwa Katika ya uswazi na uchafu kama huo?
Umaskini utawaua..Aliyekuambia Hyo hotel nani
Umaskini utawaua..
Kusini kunazidi kunoga![]()


Hadi mtwara ni nyanda za juu 

lack of contents 


Me kila siku nawaambia huyu jamaa hamnazoHadi mtwara ni nyanda za juu
lack of contents
![]()
Wewe ni hamnazo,unaelewa hata maana ya Mtwara corridor? Ulisoma shule wewe kweli?Hadi mtwara ni nyanda za juu
lack of contents
![]()
Hiz ni habari chungu mno Kwa jiji la mbeyaWewe ni hamnazo,unaelewa hata maana ya Mtwara corridor? Ulisoma shule wewe kweli?






Naona jina la kihaya hapo...ni mhaya wa wap huyo jamaa..Kahama huko kusini wa kuichallenge ni mbeya tu kwingine subirini sanaView attachment 2353807View attachment 2353808
Naona jina la kihaya hapo...ni mhaya wa wap huyo jamaa..
Wahaya wanapenda kuwekeza mikoani kuliko kwao...kama yule bijampola



kumbe jamaa ni mhaya .ni mfanyabiashara mkubwa hapa kahama anayopharmacy Moja mega ..inaitwa bakungile pharmacySie tunataka barabara ndio kipaombele sio stand ndio maana VP Jana kawataka TanRods wajenge haraka bypass👇