Busan
JF-Expert Member
- Aug 19, 2022
- 644
- 736
Hata sihangaiki na mtu usie jielewa unafanya vitu kwa MapenziUkisikia maumivu ujue ๐๐๐๐
Hata sihangaiki na mtu usie jielewa unafanya vitu kwa MapenziUkisikia maumivu ujue ๐๐๐๐
Utajibeba ila ndio hivyo endelea kuugulia maumivu taratibu.Hata sihangaiki na mtu usie jielewa unafanya vitu kwa Mapenzi
Kanda ya ziwa never sleep...Utajibeba ila ndio hivyo endelea kuugulia maumivu taratibu.
๐๐๐๐ Ndio apartments za Mwanza hizo au siyo?Kanda ya ziwa never sleep...
urbanization Iko speed ,mbeya huwezi pata mitaa ya hvi ..ukifika uyole ni vijumba vya tofali za choma twingi plus vumbi ndo hovyo
View attachment 2350502View attachment 2350503View attachment 2350505View attachment 2350506View attachment 2350507View attachment 2350513
Unajua maana ya apartment au unalopokwa tuNdio apartments za Mwanza hizo au siyo?
Jibu swali ndio apartments zenu hizo? Nikuonueshe apartments?Unajua maana ya apartment au unalopokwa tu
Onesha apartment za mbeyaJibu swali ndio apartments zenu hizo? Nikuonueshe apartments?
๐ฅณ๐ฅณUtajibeba ila ndio hivyo endelea kuugulia maumivu taratibu.
Mbeya Nako hakuna ,ni vi apartments uchwa kama vya huko Mwanza..Onesha apartment za mbeya
Ushamba tu umekujaa .. mwanza hatubebwi na serikali... private sector ndo kwake ..Mbeya Nako hakuna ,ni vi apartments uchwa kama vya huko Mwanza..
Mwanza kidogo iko moja ya NHC



Sasa huu ndo unalinganisha na kaitaba kweli?cc Istanbul![]()


Hatua moja huanzisha Nyingine.Sasa huu ndo unalinganisha na kaitaba kweli?
Kaitaba inakizi vigezo vya fifa...na kumewekwa taa...na sasa wanaongeza majukwaa..
Niletee picha watu wakicheza mpira saa tatu hapo sokoine
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kweli wa jamaa ni mshamba sana na chawa mmoja hiv...Mkoa wa Kagera ni hopeless Sana,akina Istanbul and co walituambia kwamba kwao kila huduma zipo kumbe hawana hata hospital..
Mkamshukuru Sana Rais Samia kuwajengea hospital za Wilaya japo za viwango vya chini![]()
Sema mimi napenda sana mkoa wa kagera uendelee kuwa termed maskini...tena kwenye list uwe wa mwisho kabisa...Story 1970s unaleta Njombe imezaliwa2012 inazidi kuifunika mikoa mikongwe.Ninachokiona ni neglect na uzubavu tu ndio source
Nasubiri picha ya mechi za usiku hapo sokoineHatua moja huanzisha Nyingine.


๐๐๐๐ Misenyi na Muleba hakuna hospital with all noises you are making here ๐๐Kweli wa jamaa ni mshamba sana na chawa mmoja hiv...
Kagera toka zamani kuna hospital ya serikali moja tu ambayo nayo ni ya rufaa ..
Lakin kagera ina hospital 20 za watu binafsi na mashirika...
Wilaya ya muleba ina hospital tatu...na zote zina college za uuguzi
1. Rubya hospital
2.Kagondo hospital
3.ndolage hospital.
So serikali ndo inajenga hospital yake ya wilaya ...
Wilaya ya bukoba ina hospital tatu pia...
1. Izimbya hospital
2. Ndolage town hospital
3.cosad town hospital
So serikali ndo inajenga hospital zake za wilaya sasa hiv ya Bukoba district hospital na Bukoba munisipal hospital maarufu kama nshambya..
Wilaya ya misenyi ina hospitali nne...
1. Mugana hospital na hii ina college kubwa ya uuguzi.
2. Kajunguti hospital
3.bunazi hospital
4. Kagera sugar hospital
So serikali ndo inajenga hospital yake ya wilaya sasa..
Wilaya ya karagwe ina hospital 2..
1.nyakahanga hospital
2.kayanga hospital
So serikali ndo inajenga hospital yake hiv..
Wilaya ya kyerwa, biharamulo na ngara zote zina hospital mbili mbili na sasa huko serikali ndo inajenga hospital zake sasa...
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hiki kikomenti kinanuka ulanzi mkali uliochacha na ngwengwe. Bora uendelee kupost mabus๐๐๐๐ Misenyi na Muleba hakuna hospital with all noises you are making here ๐๐
Kwa kipi kinachopatikana Uyole...?!Uyole peke yake ni sawa na Ka Iringa koote..
Unauliza Vumbi Tanzania?![]()
Una Uhakika...?!Ingekuwa talk buildings ndio Jiji basi Hapa Tzn majiji yalitakiwa kuwa yafuatayo,
Dar,
Arusha,
Dom,
Iringa,
Morogoro.
Maana Hata Mwanza majengo marefu hayazidi 10.