Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Jamaa anachekesha sana
Yaani hapa kwenye huu uzi na sisi tunaonekana machizi aisee kwa sababu tunadeal na chizi😀😀😀😀😀😀Jamaa anachekesha sana
Mlivyowashamba mnadhani kuwa na 5 star status ni ukubwa wa jengo au?
Wewe ndio unataka kutufafanulia 5 star eti????? 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀Mlivyowashamba mnadhani kuwa na 5 star status ni ukubwa wa jengo au?
Kwa huku lake zone hizo ni private owned marine vessel Войдите на Facebook yaani huyo mwamba anazo kama 15, mpaka tanker za mafuta kutoka kisumu kupeleka Jinja na Mwanza SouthWakati mnanuna na kujichekesha kama mnapapaswa,Mambo yanazidi kunoga huku Nyanda za Juu Kusini 👇
Huwa hamkosi Excuses 😁😁Kwa huku lake zone hizo ni private owned marine vessel Войдите на Facebook yaani huyo mwamba anazo kama 15, mpaka tanker za mafuta kutoka kisumu kupeleka Jinja na Mwanza South
Huyu mwingine anazo zinafanya safari Lake victoria na ndio katengeneza na hizo huko kwenu songoro marine boatyard
Hao ni baadhi ya private marine transport hatujagusa TEMESA na MSCL
Kamanga Ferry Limited | World Traders Directory mwingine huyo, ukizidi kubisha tutaongeza na kampuni yetu ya ndege za kibiasharaHuwa hamkosi Excuses 😁😁
Kama Ile 5 star .hii ni niniMlivyowashamba mnadhani kuwa na 5 star status ni ukubwa wa jengo au?

Kwa kweli mbey ni mji mbovu .yaan ukiwa happo sokoine unaona machaka jirani tu duhcc Istanbul![]()


Iringa pako vizuri kuliko Mbeya ule Mji...Umewwahi ona Iringa inatajwa kwa lipi hasa? Hiyo ni Manispaa njaa tuu hamna kitu kashindaneni na Kilolo.
Iringa ni best Town hapo kusini..mbeya huwezi pata street yenye skyscraper kama hii .

Hizi huwezi pata Mbeya...Iringa ni best Town hapo kusini..mbeya huwezi pata street yenye skyscraper kama hii .View attachment 2349270View attachment 2349271View attachment 2349272
Fallacy huwa namuona akiruka ruka na mapicha ya kuokota okota... ni Makelele tu lakini uwezo wake upo chini sana...