Lete Hotel unayoisemea wewe ili tucompareAseeasee hivi sijategemea kuwa na mjadala kama huo. Kulingana na huyo niliyem quote amesema kusini. Kwamba kusini kukosekane hotel kama hiyo?
Wakuu hebu tembeeni bhana hotel ya kawaida sana hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichogundua jamaa angu unaongea kwa Mapenzi sana , asa kati ya Songwe na Mwanza wapi zinatua ndege za kimataifaUsirudiw tena kulinganisha international airport na uwanja wa Mkoa π¬π¬
Songwe is under constructionNilichogundua jamaa angu unaongea kwa Mapenzi sana , asa kati ya Songwe na Mwanza wapi zinatua ndege za kimataifa
Unajikosha tuu hapa kwa wivu,kwanza hiyo video ni ya long Wala haija cover Mbeya bali imepigwa hapo Mwanjelwa hadi hapo junction ya Mafiat tuu..
Kama unaona mwisho wa Mji nionyeshe Meta ilipo na unionyeshe forest au Uyole au Uhindini..
Mbeya sio kama tumijo uchwa ulitotutaja hapo twa Morogoro,Iringa na huo uchafu wa Kahama kwamba imerundikana eneo moja.
Jumlisha hao wote Kwa pamoja ndio unaweza pata Mbeya moja..
Kahama ligi yenu ni Njombe,huko kwa Mbeya ni mbali Sana..Ukikuta jengo kama hili hapa Kahama nzima hadi Bukoba nahama jukwaa
Hili eneo Haliwezi fikia hata BuzurugaKwa.mujibu wa ujinga wako hiyo ndio Mbeya yote si ndio? Kama ndivyo nionyeshe haya majengo hapa chini kwenye hiyo video uchwara yakoπ
Tatizo lenu mumezoea kuishi kwenye miji iloyorundikana pale CBD lakini Miji iliyotawanyika kama Mbeya,Dodoma lazima mshangae..Actually Mbeya ni mji wa kawaida sana huwezi fananisha na Mwanza zamani nilikua nasikia Mbeya kuzuri nikawa na hamu ya kufika, siku nafika Mbeya nilishangaa sana kuona mji mbovu
Weka picha za hapo Buzuruga pako acha porojo..Hili eneo Haliwezi fikia hata Buzuruga
Huoni aibu kutetea mbeya .jiji chafu vijengo vya kuokoteleza hapo uhindiniTatizo lenu mumezoea kuishi kwenye miji iloyorundikana pale CBD lakini Miji iliyotawanyika kama Mbeya,Dodoma lazima mshangae..
Mwisho Mbeya ya Leo Sio ya Jana au juzi,saizi Jiji ni kubwa na ni huge construction site kuanzia Uyole hadi Mbalizi kote huko Nyumba mpya zinasimama kila kukicha za serikali na za private sector..
Kila baada ya Mwaka uwe unakuja maana Mbeya Kwa sasa inabadilika na inakua vizuri sana tofauti na miaka 5 ya mwanzo ilipotangazwa kuwa Jiji..
Tanzania hakuna Jiji tamu kama Mbeya ,hayo mengine ni wivu.Huoni aibu kutetea mbeya .jiji chafu vijengo vya kuokoteleza hapo uhindini
Level yenu ni ilemela tu .,Tanzania hakuna Jiji tamu kama Mbeya ,hayo mengine ni wivu.
Hii ni aibu kuitwa Jiji la pili Tzn π¬π¬..Ilemela ndo size yenu.....mbeya aisee bado sana.....
Hii ni mitaa ya ilemela.. buzuruga,kiseke,Ghana ,na makongoro .....sasa CBD nzima huwezi pata miundombinu na mwonekano safi kama huu ...View attachment 2335799View attachment 2335800View attachment 2335801View attachment 2335803View attachment 2335804
TIA ipo Mbeya Kitambo sana,nyie ndio mnaanza Leo π€£π€£Mambo sasa Ni hukuView attachment 2335807
Sie tutakuwa tuna host maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Kilimo sio hayo ya magulio ya wauza dagaa π€£π€£π€£π€£Haters wa Kanda ya ziwa ....this is loading speedy ...kaeni tayari Kwa maumivu View attachment 2335806
Unatia aibu,Fikeni hapa kwanza ndio uje tujadili πLevel yenu ni ilemela tu .,View attachment 2335786
Hii ni aibu kuitwa Jiji la pili Tzn..
Angalia mandhari ya Jiji yanavyotakiwa kufanania,full jacaranda trees