instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
Ahadi wakati ujenzi unaanza mwezi wa Tisa na contractor tayari kapatikana..hizo ni ahadi tu...
Meanwhile Bukoba airport...one of the busiest local air routes in TZ...
Air Tanzania inakuja mara mbili kwa siku...
Precious air mara mbili kwa siku...
Auric mara mbili kwa siku..
Wakati jiji la mbeya ndege sio kila siku mlivyokuwa maskini.
View attachment 2330518View attachment 2330519View attachment 2330520View attachment 2330521View attachment 2330522
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Unarudia rudia tumajengo twa mwaka Jana,unakera..Bahaya cooperative building Bukoba...View attachment 2330542View attachment 2330543
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mtakula majengo 👇
Mkitajwa wa mwisho kwenye uchumi mnalalamika..
New plaza in Bukoba....Unarudia rudia tumajengo twa mwaka Jana,unakera..
Huko kwenu hakuna new development?
Sasa mnafanyia nini hizo pesa kama hamjengi kwenu vitu vinavyoonekanaMkitajwa wa mwisho kwenye uchumi mnalalamika..
Kwetu Njombe tunafukuzia pesa tuu![]()

Ulisikia Bukoba kuna njaaMtakula majengo![]()

Meli mpya 3 za mizigo na abiria ndani Ziwa Tanganyika mbioni kujengwa
Lake zone meli zipo Nyingi sanaMeli mpya 3 za mizigo na abiria ndani Ziwa Tanganyika mbioni kujengwa..👇
Sawa sisi tunapata ambazo hazikuwepo hivyo tutasidi kuwakimbiza kwenye masuala ya Uchumi.Lake zone meli zipo Nyingi sana
Imagination 🤣🤣, kwa upande wa Meli pumzika 2Sawa sisi tunapata ambazo hazikuwepo hivyo tutasidi kuwakimbiza kwenye masuala ya Uchumi.
😁😁😁Imagination 🤣🤣, kwa upande wa Meli pumzika 2
Imagination kivipi?Imagination 🤣🤣, kwa upande wa Meli pumzika 2