The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Travel partnersKumekucha Rukwa![]()



devastating blow to southern Highlands
Nyegezi loading.........



Yaani mbeya wivu umewajaa na maumivu ni mazito mno .. assume we ni Simba,man u ,shabiki wa odinga ,na hater wa mwanza .wiki hii una Hali mbaya mno .Nyegezi loading.........![]()



Mali ya stamico na mzungu,nyie mtaishia kupiga picha tuu na kusimuliana vijiweni 😬😬😬😬.Mbeya vs ilemela municipal
Mbeya mshakaa chini dadek zenu
View attachment 2325801View attachment 2325802
Fikeni hapa kwanza Harafu ndio mje kupiga kelele👇
Aliyetoa Maoni ni mshamba mmja wa huko Mwanza ukute hata Tanzania hajazunguka popote zaidi ya kuishia Nyegezi ndio maana anaongea ujinga.
Tumeelewana kwanza? Bus terminal Tanzania zipo sita tu, hivi karibuni tunaongeza na Nyegezi Bus terminal







Tuanze kwa kujiliza ni maana ya stendi kuu/Bus terminalTumeelewana kwanza? Bus terminal Tanzania zipo sita tu, hivi karibuni tunaongeza na Nyegezi Bus terminal
Mabasi ya watu na hamna bus terminal?![]()
Ndio ujiulize wew sio sisiTuanze kwa kujiliza ni maana ya stendi kuu/Bus terminal
Mmeisha ambiwa kuna bus terminal na parking za.mabasi, sasa tujiulize nini tena?Tuanze kwa kujiliza ni maana ya stendi kuu/Bus terminal



Mkuu nafanya shughuli zangu huku Southern Highland ila kiukweli stand ya Nanenane Mbeya ni uchafu unaozidi kulichafua jiji la Mbeya. Sijui shida ni nini
😁😁 😁Mkuu nafanya shughuli zangu huku Southern Highland ila kiukweli stand ya Nanenane Mbeya ni uchafu unaozidi kulichafua jiji la Mbeya. Sijui shida ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app
@The Sunk Cost Fallacy ,kuanzia leo nisikuone unachangia mada humu ......hii ni igalilimi kahama dadek zakoUkileta jengo la ghorofa 4 hapo Kahama naacha kuchangia hii mada.


