Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Sasa kufuata njia ya watembea kwa miguu ndo akili!, Barabara yenyewe iko kusini na inaenda makete ulitegemea huyo injinia aumize kichwa chake kwa Barabara ya makete?!
Ahahahaaaa,
 
Habari njema hii apa
Screenshot_20220810-111951_Facebook.jpg
 
Umasikini tu, kwa hizo kona kona safari ni ndefu, haina tofauti na mtu anaesafiri kutoka Dar mpaka Bukoba kwa lori la mizigo.
Hii Barabara imewauma Sana nyie jamaa 😆😆😆😆..

Cheki video uone raha ya ngoma ya super pave👇
 

Attachments

  • BARABARA NYINGINE KALI TANZANIA, NI NJOMBE - MAKETE KM 107.4 ( 360 X 640 ).mp4
    6.2 MB
Sasa kufuata njia ya watembea kwa miguu ndo akili!, Barabara yenyewe iko kusini na inaenda makete ulitegemea huyo injinia aumize kichwa chake kwa Barabara ya makete?!
Kanda ya Ziwa yote huwezi Kuta barabara ya viwango vya super pave,Najua imekuuma Sana 😁😁.

Kitu cha Super pave kama Switzerland 👇
 

Attachments

  • BARABARA NYINGINE KALI TANZANIA, NI NJOMBE - MAKETE KM 107.4 ( 360 X 640 ).mp4
    6.2 MB
  • 20220809_191042.jpg
    20220809_191042.jpg
    234.5 KB · Views: 16
  • 20220809_191036.jpg
    20220809_191036.jpg
    248.6 KB · Views: 14
  • 20220809_191039.jpg
    20220809_191039.jpg
    230 KB · Views: 19
  • 20220809_191045.jpg
    20220809_191045.jpg
    373.1 KB · Views: 16
Kwetu kuna miradi mikubwa ya Matilioni ya shilingi ya Kitaifa na Kimataifa sio huto tumiradi twa jero jero
Aahahahaa, halafu ujenzi wa hayo Masoko sio hisani kwamba Njombe ni special. Kama umemsikia SSH na Ino Bash wataendelea kujenga masoko ya kisasa kwenye kila Halmashauri ili kuchochea ukusanyaji wa mapato.

Tuweke kumbukumbu vizuri, mzigo utakaoshushwa Kahama (Soko Kuu) huo wa kwenu mtauita uchafu.
 
Aahahahaa, halafu ujenzi wa hayo Masoko sio hisani kwamba Njombe ni special. Kama umemsikia SSH na Ino Bash wataendelea kujenga masoko ya kisasa kwenye kila Halmashauri ili kuchochea ukusanyaji wa mapato.

Tuweke kumbukumbu vizuri, mzigo utakaoshushwa Kahama (Soko Kuu) huo wa kwenu mtauita uchafu.
Pole mkuu endelea kujifariji,ila maumivu yakizidi usisite kuhama huko machimboni 😆😆.

Kazi yangu ni kutoa dozi,hakuna siku Kahama itakuja kupata Hospital ya Rufaa,kali na yenye hadhi kama hii ya Njombe..🔥🔥

Pigo takatifu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220810-214410.png
    Screenshot_20220810-214410.png
    162.8 KB · Views: 13
  • 20220809_191206.jpg
    20220809_191206.jpg
    209.7 KB · Views: 15
  • 20220810_084954.jpg
    20220810_084954.jpg
    44.6 KB · Views: 16
  • 20220809_073330.jpg
    20220809_073330.jpg
    54.2 KB · Views: 13
  • 20220809_073335.jpg
    20220809_073335.jpg
    65.7 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220726-152310.png
    Screenshot_20220726-152310.png
    174.7 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220809-201129.png
    Screenshot_20220809-201129.png
    212.9 KB · Views: 12
bado sana njombe...
Rais hajakataa bali Amesema hicho sio kipaombele kwa sasa kwa sababu pesa za kukata maeneo mapya na kupandisha hadhi hazipo..

Ila angekuwa Mwendazake kwa mihemko ile angeshatamka ila wanamama wanajua bajeti..

Matokeo yake inayoitwa Manispaa ni mavumbi tupu 😀😀

Alikataa Chato,alikataa kugawanya Tabora na Morogoro,amekataa kupandisha hadhi Mbalizi nk sembuse Njombe.
 
Aaahaaa, atakuja na per capital income hapa, niliishamwambia Kahama ni rahisi kuwa Jiji kabla ya Njombe akalilia humu.
😆😆😆😆 Yaani Kahama na mavumbi hayo,huduma mbovu na kila kitu hakuna ndio iwe Jiji? Acha dharau kwa neno Jiji..

Naendelea kuwapa dozi, TACTIC kuleta barabara na viwanda zaidi Njombe 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220811-082935.png
    Screenshot_20220811-082935.png
    135.8 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220811-083044.png
    Screenshot_20220811-083044.png
    44.3 KB · Views: 16
Back
Top Bottom