Wivu 😆😆😆😆..Hakuna Mradi wa kusema huu ni WA Rais na ule wa nani sijui, Mwendazake alikuwa anazindua vituo vya afya vyenye thamani ya mil.500 sembuse VETA yenye zaidi ya Bil.2?Samia atakuwa amemind sana aisee, ndo maana alikuwa haji, shughuli ya kuzindua chuo cha ufundi stadi nayo ni ya Rais!! Hata hivyo ndo tumiradi tulitopo hamna namna.
Unaweza Kuta ratiba yake ilibadilika maana juzi Kassim alikuja Mbeya 8/8 akazindua programme ya ajira kwa vijana via sekta ya kilimo akasepa..Alafu hichi chuo mwaka jana nilienda ubaruku kule nikaambiwa mzinduzi ni kassim majaliwa sa sijui imekuaje
Mbona eais wa WB alizindua chuo cha ufundi vhato,...na hayati akafungua chuo vha ufundi namtumbo kuleSamia atakuwa amemind sana aisee, ndo maana alikuwa haji, shughuli ya kuzindua chuo cha ufundi stadi nayo ni ya Rais!! Hata hivyo ndo tumiradi tulitopo hamna namna.
Naongezea ataenda kukagua ujenzi wa Hospital ya Mkoa..Moja ya miradi inayotarajiwa kuzinduliwa mkoa wa njombe mambo ni 🔥
View attachment 2318633View attachment 2318635View attachment 2318637
Wenda itakua mkuuUnaweza Kuta ratiba yake ilibadilika maana juzi Kassim alikuja Mbeya 8/8 akazindua programme ya ajira kwa vijana via sekta ya kilimo akasepa..
jifunze kiswahili fasaha hakuna neno wenda kwenye kamusi ya kiswahili. Hilo neno wenda umelitolea wapi? kwenye kichwa chako maji?Wenda itakua mkuu
Sawa mwalimu wa secondary.jifunze kiswahili fasaha hakuna neno wenda kwenye kamusi ya kiswahili. Hilo neno wenda umelitolea wapi? kwenye kichwa chako maji?
Washukuru nane nane, mpaka mwaka umeisha ndio wamekumbukwa😁😁😁😁😁Endeleeni kujifariji
Ulitegemea azindue nini Sasa wakati ndo tumiradi tulitopoWivu..Hakuna Mradi wa kusema huu ni WA Rais na ule wa nani sijui, Mwendazake alikuwa anazindua vituo vya afya vyenye thamani ya mil.500 sembuse VETA yenye zaidi ya Bil.2?
Nataka unionyeshe shughuli ya barabara iliyozunduliwa na Rais huko kwa maskini wenu..
Kusini Kumetengwa![]()
![]()


ila kelele zenu humu nyie watengwa ni ishara ya kipofu kaona mwezi.Isaka road .kahamaView attachment 2319183View attachment 2319184View attachment 2319185Hayo mavumbi hapo ni shambani au mjini? 😆😆😆😆
Wivu utakuua wewe Mzee..😆😆😆😆Ulitegemea azindue nini Sasa wakati ndo tumiradi tulitopoila kelele zenu humu nyie watengwa ni ishara ya kipofu kaona mwezi.
Nyie si mlisema mbeya na kusini inajengwa na wenyeji sio serikaliWivu utakuua wewe Mzee..
Kusini kumetengwa![]()


