Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Shy Town
images (85).jpg
IMG_20220718_224549.jpg
IMG_20220718_224553.jpg
IMG_20220718_224557.jpg
IMG_20220718_224601.jpg
 
Frester ni pride ya bukoba boss si shinyanga mmiliki wake ni mtu wa bukoba.
Bukoba si nyanda za kusini..af usinibishie mimi nipo kahama hapa ...hub ya fresters....we wa Wanging'ombe tulia dozi iingie
 

Wa kusini nawaongezea dozi nyingine ..kama ni wivu mlie kabisa...

mtasubiri sana kupata miradi kama hii huko nyanda za juu
 
Sumbawanga 👇
 

Attachments

  • IMG_20220630_142806_333.jpg
    IMG_20220630_142806_333.jpg
    1.6 MB · Views: 14
  • IMG_20220630_142805_925.jpg
    IMG_20220630_142805_925.jpg
    1.7 MB · Views: 12
Songea Municipal 👇
 

Attachments

  • BUSTANI.jpg
    BUSTANI.jpg
    72.1 KB · Views: 16
  • thumb_920_1130x480_0_0_auto.jpg
    thumb_920_1130x480_0_0_auto.jpg
    92.7 KB · Views: 13
  • 3-31.jpg
    3-31.jpg
    89.4 KB · Views: 15
  • thumb_1011_800x420_0_0_auto.jpg
    thumb_1011_800x420_0_0_auto.jpg
    45 KB · Views: 12
Kasumulu Town in Kyela..

Tanzania x Malawi Border 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220413-160521_1.jpg
    Screenshot_20220413-160521_1.jpg
    51.1 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220413-161012_1.jpg
    Screenshot_20220413-161012_1.jpg
    76.6 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220413-160418_1.jpg
    Screenshot_20220413-160418_1.jpg
    97.4 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220413-160643_1.jpg
    Screenshot_20220413-160643_1.jpg
    97.4 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220413-160336_1.jpg
    Screenshot_20220413-160336_1.jpg
    94.3 KB · Views: 12
Bukoba si nyanda za kusini..af usinibishie mimi nipo kahama hapa ...hub ya fresters....we wa Wanging'ombe tulia dozi iingie
Ngoja nikutulize na dozi ya Songea street Roads 👇
 

Attachments

  • images - 2022-04-26T160617.525.jpeg
    images - 2022-04-26T160617.525.jpeg
    37.6 KB · Views: 12
  • images - 2022-04-26T160713.084.jpeg
    images - 2022-04-26T160713.084.jpeg
    32.2 KB · Views: 12
Never ....Hamna kitu kama hicho . mbeya sio strategic city ...ko miradi kama hyo mtaisikia tu....bora useme Arusha
Unajiaibisha.

Mbeya sio tuu kwamba ni strategic City bali Mkoa wa Mbeya ni mkoa wa Kiuchumi ulio namba 3 kuchangia Pato la Taifa na namba 2 kwa watu wake kuwa na kipato kikubwa..

Kama huna bando sema nikupe Ili usikilize hii video kutoka Bungeni hapa chini 👇
 

Attachments

  • KASAKA AHOJI BUNGENI NI LINI SERIKALI ITAJENGA STENDI YA KISASA YENYE HADHI YA JIJI LA MBEYA_ ...mp4
    14.5 MB
Nyanda za Juu ni Kutamu Sana na watu Wana pesa aisee..

Mkoa wa Mbeya wavuka malengo ya Makusanyo.Wilaya yenye mapato kiduchu ni 1.6Bln..

Kanda ya Ziwa sasa kumejaa Maskini watupu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-051157.png
    Screenshot_20220719-051157.png
    147.7 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220719-051338.png
    Screenshot_20220719-051338.png
    60.7 KB · Views: 9

Wa kusini nawaongezea dozi nyingine ..kama ni wivu mlie kabisa...

mtasubiri sana kupata miradi kama hii huko nyanda za juu

Serikali inafanya usanifu wa michoro ya stand mpya..

Tulianza kupata stand za maana kabla yenu ndio maana mnachachawa.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-054313.png
    Screenshot_20220719-054313.png
    96 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220719-052804.png
    Screenshot_20220719-052804.png
    136.2 KB · Views: 10
Huwezi Kuta mambo ya maana kama haya ya Kitaifa yakifanyika ile mikoa mnayouana kama kuku..

Asante Sana Viongozi wa dini kwa kuiheshimisha Njombe 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-051849.png
    Screenshot_20220719-051849.png
    68.2 KB · Views: 13
Back
Top Bottom