Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

wakati .. KAHAMA , tunamalizia fesability study ya stendi ya kisasa.nyegezi nayo ikimalizikia..musoma na bukoba wakianza process za ujenzi ...
.......hii ni moja ya stendi ya kisasa ya kanda ya ziwaView attachment 2295757View attachment 2295758
Ukweli usemwe tuu hata kama unapinga..

Haya majengo ya hiyo stand ni mabaya hayavutii..

Njombe na Mbeya hatutarajii kujenga mastand mabaya kama hiyo..

Ukiona stand za Iringa, Sumbawanga,Dodoma nk zinavutia.
 
KAHAMA ... transport corridor ya Rwanda.burundi ,DRC ,na Uganda.
IMG_20220718_214730.jpg
IMG_20220718_214817.jpg
IMG_20220718_214843.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220718_214708.jpg
    IMG_20220718_214708.jpg
    103.1 KB · Views: 10
Ukweli usemwe tuu hata kama unapinga..

Haya majengo ya hiyo stand ni mabaya hayavutii..

Njombe na Mbeya hatutarajii kujenga mastand mabaya kama hiyo..

Ukiona stand za Iringa, Sumbawanga,Dodoma nk zinavutia.
Mbeya mjenge nn...no such dream .. mtaendelea kupauka hapo nanenane.
 
Uwekaji .taa za barabarani .. manispaa ya Shinyanga ...
IMG_20220718_215743.jpg
 
Mbeya mjenge nn...no such dream .. mtaendelea kupauka hapo nanenane.
Pole Sana mkuu,Miradi ya Tactic kwa Mbeya inahusisha stand na tayari mchakato uko mwishoni.

Hukusikia hata Bungeni kwamba Serikali imeanza mchakato wa kujenga stand yenye hadhi ya Jiji Mbeya?
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-192137_1.jpg
    Screenshot_20220524-192137_1.jpg
    39.3 KB · Views: 12
  • D_HYimhXUAEbNAz.jpg
    D_HYimhXUAEbNAz.jpg
    114.7 KB · Views: 15
  • thumb_215_1130x480_0_0_auto.jpg
    thumb_215_1130x480_0_0_auto.jpg
    177.3 KB · Views: 13
Pole Sana mkuu,Miradi ya Tactic kwa Mbeya inahusisha stand na tayari mchakato uko mwishoni.

Hukusikia hata Bungeni kwamba Serikali imeanza mchakato wa kujenga stand yenye hadhi ya Jiji Mbeya?
Never ....Hamna kitu kama hicho . mbeya sio strategic city ...ko miradi kama hyo mtaisikia tu....bora useme Arusha
 
Back
Top Bottom