Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hii inshu ya mabus ungetulia tu maana huiwezi.....
IMG_20220714_102625.jpg
IMG_20220714_102700.jpg
IMG_20220714_102937.jpg
IMG_20220714_103025.jpg
IMG_20220714_103307.jpg
IMG_20220714_103151.jpg
IMG_20220714_101412.jpg
 
Ndugu zangu wa nyanda za juu kusini mnaniangusha kweli mmeshindwa battle?? Okay! Ngoja nivalie njuga
 
Hii ligi ya mabus ..umeianzisha na utakimbia..dadek

Eneo pekee tofauti na dar ,safari ya km 200 unatumia classic bus ...
Mwanza _ KAHAMA, Mwanza _musoma ,mwanza tarime ,mwanza bukoba ,bariadi _kahama ...huwezi pata classic bus MBEYA to Iringa tofauti na kuunganisha mabus ya dar ..Mbeya -njombe huwezi pata yutong ...kama ipo niite mbwa nipo KAHAMA hapaView attachment 2289893View attachment 2289894View attachment 2289896View attachment 2289898View attachment 2289899View attachment 2289900
Nikajua umeweka ligi ya mabusi ya maana huko kwenu kumbe unaleta picha za vibasi vya kwenda huko porini kwenu 😆😆
 
Biashara ya Bus ni watu, biashara ya ndege ni watu. Huwezi kujisifu unabishara za bus wakati population tia tia maji. Labda kama hizo bus zinabeba parachichi na mbao tu 😁 😁 😁 😁
 
Bila kusahau nyanda za juu kusini tunakimbiza katika sekta ya kilimo msisahau hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Economy diversification ni muhimu, ili ukitokea ukame nchi isiyumbe. Huku kanda ya ziwa tunaongoza kwa mining industry, fishing, tranportation and logistics, Japo sekta nyingine hatuko nyuma kama kilimo, ufugaji. utalii na huduma za kifedha.
 
Economy diversification ni muhimu, ili ukitokea ukame nchi isiyumbe. Huku kanda ya ziwa tunaongoza kwa mining industry, fishing, tranportation and logistics, Japo sekta nyingine hatuko nyuma kama kilimo, ufugaji. utalii na huduma za kifedha.
Hapo penyewe ngoja sasa tuanze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hyo kigoma ,na rukwa ni nyanda za juu ,anyway vyovyote hata muiweke na Burundi ,
Nimeshangaa sana Nyanda za juu kusini zimefika Kigoma, wanachanganya kanda ya Magharibi (RUKWA/KATAVI/TABORA/KIGOMA) na huko uswekeni.

Kanda ya ziwa (KAGERA/ GEITA/ SHINYANGA/ MWANZA/ SIMIYU/MARA)
Nyanda za juu kusini (RUVUMA/ NJOMBE/ IRINGA/ MBEYA/ SONGWE)

1657788533999.png
 
Back
Top Bottom