Mgodi wa buzwagi ambao mafinga haupoKahama kuna nini ambacho hakipo kwingine?
Jasho lipi tumetolewa na hilo gulio? 😆😆😆 Yaani hospital tuu ndio mumepata saizi wakati kwa Njombe ziko siku nyingi Tena sio moja,hivi karibuni ndio imeongezewa na ya Mkoa..Watu wa Njombe muone aibu yaani wilaya inaitoa jasho mkoa.
Ukiona hivyo ujue mko nyuma sana, Njombe mnatakiwa mpambanie ligi za mikoa kutangaza kijiji chenu. Hata hivyo hakuna mkoa wa kupambano nao mtakuwa wa mwisho tu, ndio maana mmeng'ang'ana na wilaya.
Watu wa Njombe muone aibu yaani wilaya inaitoa jasho mkoa.
Ukiona hivyo ujue mko nyuma sana, Njombe mnatakiwa mpambanie ligi za mikoa kutangaza kijiji chenu. Hata hivyo hakuna mkoa wa kupambano nao mtakuwa wa mwisho tu, ndio maana mmeng'ang'ana na wilaya.
Fikeni hapa kwanza ndio mje kupiga kelele 👇Visit lake zone . experience the incredible natureView attachment 2289347View attachment 2289348View attachment 2289349
Tunaendelea kuwasaidia usafiri 👇Fresters..mzigo mpya kwa mikoa ya kanda ya ziwaView attachment 2289346
Mbinga, Ruvuma 👇
Sasa uMimi naweka barabara wewe unaweka hospital..
Tuna hospital ya Mkoa nzuri kuliko hiyo yenu..Wapi barabara za Kahama?
Nasikia sasa hivi Njombe mmepunguza masaa ya kufanya kazi, mortuary imeamia huko 😀😀😀😀Fikeni hapa kwanza ndio mje kupiga kelele 👇
Njombe ni kama Europe,tunaishi kwa timing 👇Sasa u
Nasikia sasa hivi Njombe mmepunguza masaa ya kufanya kazi, mortuary imeamia huko 😀😀😀😀
kwa hilo baridi ndio maana mnapenda sana chips kavu 😀 😀 😀Njombe ni kama Europe,tunaishi kwa timing 👇
Hii ligi ya mabus ..umeianzisha na utakimbia..dadekTanzania nzima hakuna ligi ya machuma ya maana kama hii,only in Mbeya![]()
Bukoba hayo ni mabasi ya shuleTanzania nzima hakuna ligi ya machuma ya maana kama hii,only in Mbeya![]()


