Mwajombe jr
Member
- May 20, 2021
- 84
- 57
Watuliee dawaa iwaingiee Mambo mazuri yanakujaa makambako ya Sasa kila sector kumekucha ni shidaaaMall hiyo inaendelea kupanda ndani njombe region
View attachment 2273480
Watuliee dawaa iwaingiee Mambo mazuri yanakujaa makambako ya Sasa kila sector kumekucha ni shidaaaMall hiyo inaendelea kupanda ndani njombe region
View attachment 2273480
Hospital na manispaa ... hatubishani na halmashauri za miji ..ebu pandeni hadhi kwanzaWatuliee dawaa iwaingiee Mambo mazuri yanakujaa makambako ya Sasa kila sector kumekucha ni shidaaa
Hospital na manispaa ... hatubishani na halmashauri za miji ..ebu pandeni hadhi kwanzaView attachment 2273533View attachment 2273534
Mwaache kabisa masihara na gold belt regions .Kahama hii ... uchumi unaendeleaView attachment 2273555
Mkishaitwa manispaa ndo unitag tuje tubishane kwa sasa watafute kina mafinga,na manyoni ndo ubishane naoView attachment 2273554
Hospitali ya rufaa ya mkoa iyooo swala la kuitwaa manispaa ni maswala ya mudaa tuuu soon tutaitwaa Mambo mazuri hayaitaji haraka ndo ka Lindi ni manispaa ilaa Hamna kitu kulee mjii umepoaa biashara hamna
Mbona kahama yenyewe Haina jipya mzee kimiundombinu mme choka mnajidai mme vaa miwani ya mbao yani nyie mmesha zimwa Kama mshumaa mzee saiz Ni mkoa wa njombe miradi Kama yoteMkishaitwa manispaa ndo unitag tuje tubishane kwa sasa watafute kina mafinga,na manyoni ndo ubishane naoView attachment 2273615View attachment 2273616
Mbona kahama yenyewe Haina jipya mzee kimiundombinu mme choka mnajidai mme vaa miwani ya mbao yani nyie mmesha zimwa Kama mshumaa mzee saiz Ni mkoa wa njombe miradi Kama yote
Naona umeishiwa sasa hadi unapost mabusNjombe to Arusha royar tour a k.a sukari ya njombe
View attachment 2274035
Fact: Maendeleo ni finyu kulinganisha na uzalishaji.Nikukumbushe mtu Njombe baraba za lami hazipo uzunguni kama ulivyosema Kuna Barabara inaenda Kambarage kule raia wa kawaida tu,Barabara kutoka NBC mgendela Hadi milima motel/KKT ni CBD,Barbara ya Posta Nako ni CBD,Barabara ya Chaugingi joshoni Hadi kiswele ni mitaa ya watu wa kawaida,pia bara ya Nazareth Centre nayo Kuna wakazi wa kawaida,huko ulikosema kwa wakinga nikukumbushe tu Barbara ya Njombe- makete ni lami,Barbara ya Njombe-Ludewa Zege inaendelea kujengwa na kilomita 50 almost done,sijataka kukuandikia Barbara unganishi CBD ambazo ni lami.Kahama ni manispaa iliyo na miundo mbinu ya Ovyo kuliko zote. Nazungumzia mitaa na vitongoji. Siongelei barabara kuu sijui Ludewa Makete etc.
We ndo umeishiwa njombe haijawai kuishiwa miradi mzeeNaona umeishiwa sasa hadi unapost mabus
Huwezi kuweka Kahama katikati ya miji midogo ....Miradi maji hiyo Soma hapo Kama utiona kahama yako hyo na mama Alisha sain miradi ya kihistoria
View attachment 2274214