Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

NSSF kahama
images (50).jpg
 
Njombe , nzima ukiniletea kiwanja kikali kama the magic KAHAMA ,,naacha kutumia Jamii forum ..
images (48).jpg
images (47).jpg
 
Hahahaha Yan we jamaa ukiingia kwenye huo ulingo utafeli mzee vigorofa vyenu vinahesabika
Tulia nikuonyeshe ,,,kuwa unachopost ni garbage... KAHAMA ni level nyingine kabisa ..tena utulie kabisa
 
KAHAMA,,,mitaani huku ,,, huwezi fananisha na ramadhan yenu
IMG_20220626_205547.jpg
 
Niletee uwekezaji ,wa shopping centre .kama supermarket hapo njombe
images (51).jpg
 
Njombe kuna shida mahali.

Barabara za mitaa nyingi ni vumbi
Mji mzima vumbi.

Kuna upendeleo wa ujenzi wa barabara za mitaa (zinajengwa kule wafanyakazi wa halmashauri wanaishi)
Tanesco uzunguni barabara mbovu sana.

Halmashauri
Njombe kuna mapungufu mengi. Waliohukumiwa sijui kama ni wao tu. Kama ni ubadhirifu sijui rushwa basi umefikia kiwango cha kutisha..

Mji hauna
maji safi, maji ya mgao (inakuwaje?)


Mkoa una uzalishaji wa mazao ya biashara na chakula lakini maendeleo hayafanani na uzalishaji.. Wakinga wanajenga magorofa Dar kwao hata barabara za shida..

Picha za mashamba ya chai parachichi miti etc ni nadhifu lakini maendeleo kwa wananchi zero..

Kahama wako vizuri. Bishara umeuboresha mji. Wakazi wanajielewa..
Mji msafi na watu wake wasafi.
Mambo yashabadilika saiv lami za mitaani kila Kona zinapigwaa na maendeleoo Yana hatua zake mfano mjii wa makambako magegere lami za mitaani zimepigwaa za kutosha wakimalizaa ukoo wanaelekeaa kata ya kivavi ni swala la mipango tuuu
 
Back
Top Bottom