Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Point dhaifu sana,

Moshi kuna watu wengi? au hautembei Boss
We vipi Moshi ni mji wa Zamani sana ulianza kuwa planned toka Wajarumani.Miji kama Moshi,Tanga Dsm ni mikongwe sana.Haipaswi kushindanishwa na Njombe😂😂
 
Kahama is ahead of Njombe,
Hapa ni Town Council CBD kabla ya kuwa Municipal Counil thamani ya juu ya aridhi ni hivi. Ikijakutoka land valuation nyingine, Kahama itakuwa sehemu moja na Ilemela, Morogoro
1649444810163.png


Outside CBD ya Kahama ni CBD ya Njombe, logically watu wengi Kahama wanaoshi pembezoni mwa mji wanauwezo wa kifedha kumiliki aridhi katikati ya mji wa Njombe bila shida yoyote.


Njombe Town Council CBD / Outsise CBD
1649445092297.png


Outside CBD ya Kahama ni CBD ya Njombe, wacheni kulinganisha dhahabu na parachichi
1649445528008.png

Nadhani hii itakuwa comment yangu ya mwisho kwenye uzi huu, nimejifunza mengi kuhusu Njombe na watu wake. Zaidi nitaendelea kuwa msomaji tu. Asanteni
 
Kahama is ahead of Njombe,
Hapa ni Town Council CBD kabla ya kuwa Municipal Counil thamani ya juu ya aridhi ni hivi. Ikijakutoka land valuation nyingine, Kahama itakuwa sehemu moja na Ilemela, Morogoro
View attachment 2180910

Outside CBD ya Kahama ni CBD ya Njombe, logically watu wengi Kahama wanaoshi pembezoni mwa mji wanauwezo wa kifedha kumiliki aridhi katikati ya mji wa Njombe bila shida yoyote.


Njombe Town Council CBD / Outsise CBD
View attachment 2180921

Outside CBD ya Kahama ni CBD ya Njombe, wacheni kulinganisha dhahabu na parachichi
View attachment 2180923
Nadhani hii itakuwa comment yangu ya mwisho kwenye uzi huu, nimejifunza mengi kuhusu Njombe na watu wake. Zaidi nitaendelea kuwa msomaji tu. Asanteni
Kwa mwenye akili ataona kua CBD ya kahama ina eneo dogo sana ambalo ni planned tofauti na Njombe ambayo ina block nyingi sana na nje na CBD kuna maeneo mengi planned kuliko kahama.Hivyo ili upate eka moja kahama sio kazi rahisi maana utahitaji kuvunja vunja vijumba vya watu tofauti na Njombe ambayo tayari ni planned na pia ukiwa na CBD ndogo ambayo ni planned lazima watu watagombania hapo.Now tell how many Blocks in Kahama CBD viz-a-viz Njombe CBD.
 
Kahama is ahead of Njombe,
Hapa ni Town Council CBD kabla ya kuwa Municipal Counil thamani ya juu ya aridhi ni hivi. Ikijakutoka land valuation nyingine, Kahama itakuwa sehemu moja na Ilemela, Morogoro
View attachment 2180910

Outside CBD ya Kahama ni CBD ya Njombe, logically watu wengi Kahama wanaoshi pembezoni mwa mji wanauwezo wa kifedha kumiliki aridhi katikati ya mji wa Njombe bila shida yoyote.


Njombe Town Council CBD / Outsise CBD
View attachment 2180921

Outside CBD ya Kahama ni CBD ya Njombe, wacheni kulinganisha dhahabu na parachichi
View attachment 2180923
Nadhani hii itakuwa comment yangu ya mwisho kwenye uzi huu, nimejifunza mengi kuhusu Njombe na watu wake. Zaidi nitaendelea kuwa msomaji tu. Asanteni
Watu wanjombe hawana tofauti na waha wa kigoma kwenye ubishi alafu wanatake advantage ya kulinganisha miji yao hafifu na miji mikubwa ili wapate umaarufu.
 
Kama umegundua hapo Mashamba yana value kubwa kuliko viwanja sababu ni moja tu Njombe ni agro-investment zone.Ndio maana ni kawaida kukutana structure za maana nje ya mji kwa sababu watu wanabana ardhi.Ndio maana njombe mjini inaeneo kubwa sana ambalo ndani kuna plantations kama vile avocado,tea,Flower and tree plantation.
Sababu ya mashamba kuwa valued more ni hii hapa 👇

Screenshot_20220408-204320.png
 
Hivi hao waliotengeneza Royal tour Wana akili timamu kweli? Yaani wame concentrate na bidhaa au vivutio ambavyo viko well known wakiacha vipya ambavyo ni best..

Beautiful Southern Highlands 👇

Screenshot_20220415-115743.png


Screenshot_20220415-115754.png


Screenshot_20220415-071648.png


FRMro2nWYAAZvVc.jpeg


IMG_8720.jpg


dodoma_zone__1646673276367424.jpg


Screenshot_20220415-071756.png


Screenshot_20220327-201122.png


Screenshot_20220415-115754.png


20220415_071624.jpg


20220415_115837.jpg
 
Back
Top Bottom