Unaweza ukawa mke wangu pia maana una maneno ya kikeMkeo ndio dogo.Nani ambae hajaishi? Afu kama uliishi Njombe enzi hizo unajidanganya Rudi kaishi upya afu ulinganisho na huko uswahilini..
Ilemela ni Mkoani eti???Hujakosea ila difference ni mil.600 tuu..
Tupo top 15.Kwa taarifa yako mwaka huu tunawapita kimapato kama unabisha tukutane mwezi wa 4 kwenye bajeti ya Tamisemi .
Yaani unashangilia kupitiwa mil.600 na Manispaa yenye wakaazi zaidi ya 300,000? Unashangilia wakati Ilemelea MC imezidi Njombe TC mil.300 tuu wakati Ina wakaazi zaidi ya 500,000?
NYie ni maskini wa mwisho aisee ni vile tuu unajifariji hapa.
Wewe hata ku reason hujui? Kwa hiyo Njombe TC ni Mkoa?Ilemela ni Mkoani eti???
Vizuri kwa kipi we choko,Picha na Takwimu zinajieleza unaleta feelings za nyege badala ya supportive evidences?Unaweza ukawa mke wangu pia maana una maneno ya kike
Nimekwambia nimeishi kote njombe na kahama ila kahama ipo vizuri zaid huo ni mtizamo wangu mimi sijakuzuia ww uwe na mtizamo wako tofauti Sasa taarabu za nini? We endelea kuamini unavyo amini ila watu walioishi hizo sehem kibiashara ukweli wanaujua
Unajifanya hii table Hapa chini huioni πππNchi ina Halmashauri 184, katika hizo 184 ikiwepo na Kahama ndio wanaongoza kwa kukusanya mapato. Wanjombe, Kahama washindani wake ni hao 1-9. Nyie pambaneni na akina Namtumbo hukoo
View attachment 2099575
Wewe hata ku reason hujui? Kwa hiyo Njombe TC ni Mkoa?
Ilemela ni Manispaa ila inazidiwa na Njombe TC.
Kahama ndio poa kwa kutafuta pesaKaribuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Kwamba huko Kahama ndiko pesa zilipotelea unatakiwa kuzitafita? ππππKahama ndio poa kwa kutafuta pesa
Afu hiyo nafasi mko ni ya Geita na Chalinze DC,ko usijifariji mkuu ndio kwanza ni miezi 6 tuu hadi June 31 utajua hujui.wee jamaa mimi nimeweka combined list ya CC/ MC/ TC na DC wewe unaweka list ya TC tu????? Kwenye hilo group la TC ambalo Njombe ni mwanachama wa kudumu hakuna hata mmoja aliyefikia Kahama kwa makusanyo
Sumbawanga TownKutoka mkoa was mwisho kwa GDP
View attachment 2099419View attachment 2099420View attachment 2099421View attachment 2099422
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Na kazi imeanza tayari wafanyabiashara wamesha ambiwa wajiandae kupisha ujenzi wa soko kuu wanataka wajenge la gorofa ambalo litakuwa kubwa ukanda huu
Na kazi imeanza tayari wafanyabiashara wamesha ambiwa wajiandae kupisha ujenzi wa soko kuu wanataka wajenge la gorofa ambalo litakuwa kubwa ukanda huu
Ila Makambako mnatuaibisha Sana yaani Mji mzima mnakusanya vimapato kiduchu kama Ludewa DC?Na kazi imeanza tayari wafanyabiashara wamesha ambiwa wajiandae kupisha ujenzi wa soko kuu wanataka wajenge la gorofa ambalo litakuwa kubwa ukanda huu
Haya masoko hadi sasa hayana tija toka yaanze kujengwa Nchini..View attachment 2104026
Wafanyabiashara makambako waliambiwa habari za kupisha ujenzi wa soko kubwa ukanda wa nyanda za juu kusini ambalo soon linaanza kujeView attachment 2104028