Kahama VS Njombe/Mafinga

Kamwe hawawezi kuwa, ndo maana kwa udumavu wenu mmebaki kuwa wajinga na masikini, duh! Kanda nzima mmedumaa Afya ya mwili na Afya ya akili!! Hapo ukiweka top 7 na mbeya inaingia, ila njombe ndo namba moja kwa udumavu nchini.
Utaendelea kuaibika mkuu πŸ˜„πŸ˜„,Usicheze na watu wa Njombe(Wajinga)..Wahaya sijui wanafanya nini kwenye listi ikiwa kila Habari mbaya wapo,huo utajiri wao unatoka wapi ikiwa mkoa wao ni maskini was kutupwa?

Eti hao ndio wenye utapiamlo 😝😝,Wakinga hoyee πŸ‘‡

 
Masikini ambao wanakula vizuri, lishe Bora na hawadumai ni bora sana kuliko wale masikini wenye lishe duni, hawali wakashiba na wamedumaa akili na afya.
Kwa hiyo kule kwingine namba moja njombe, na huku kwingine namba moja Rukwa
, yaani nyie mnashika namba moja tu
 
Utapoyea,Ukweli kamili huu hapa πŸ‘‡

 
Unascreenshot tweet ya mhaya mmoja hivi afu unakuja nayo hapa kujifariji
, serikali imesema njombe inaongoza nchini kwa udumavu wa akili na afya.
 
Barabara imejengwa na serikali hiyo ambayo nyie huko kwenu hamjawahi kuiongoza wakati sie huku tumeiongoza kwa miaka 30, tuliwaonea huruma tukawajengea hiyo.
Acha kukurupuka wewe,hapo nakufikishia ujumbe kwa njia ya picha,huu sasa ndio udumavu wenyewe yaani unashindwa kuchanganua hiyo barabara na alama ya barabara? πŸ˜„πŸ˜..

Ndio maana mlikuwa hamtumii akili badala yake mkawa mnafanya hivi πŸ‘‡

 

Kwa takwimu gan arusha inaizid mwanza πŸ˜€πŸ˜€
Ukizipata nitag
 
Ok. Sikujua kama ni mwehu,sorry
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…