Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Unaonesha kotaz au magorofa? Arusha hakuna kitu kijana zaidi ya maslum tu katikati ya mji, arusha size yake ni Mbeya au Tanga.
Unaonesha kotaz au magorofa? Arusha hakuna kitu kijana zaidi ya maslum tu katikati ya mji, arusha size yake ni Mbeya au Tanga.
Hili ni likijiji likubwa hamna kitu tembea uone, karubu sana jiji la Mwanza the great.
Ata Ilemela kimuonekano huwezi ifananisha na mbeya ata kidogo ilemela ni level nyingine.Huko tushavuka miaka ya 90, kwa sasa hiyo ni ilemela tu.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mwambie aongeze na mikoa mingine tena ndo aje ashindanishe na jiji la Mwanza.Umehamia arusha tena😀😀😀
Anyways huku nako bado wanatusalimia
Mkubwa mkubwa tu
Usiumize kichwa na data hizo za dodoma kuongoza kuongoza ikifatiwa na mbeya.Acha uzwawa ww 😀😀😀
Hiyo ni halmshaur moja tu
Mbona umeicrop ilemela???
Kwani Opportunity Cost anasemaje?Ubishi baada ya DAR nani anafuata umeisha rasmi leo.
1. DAR
2. Mwanza
View attachment 1977718
"Mwanza ni Mkoa wa pili nchini kuchangia fedha nyingi katika pato la Taifa, mwaka 2019 makusanyo ya mapato yalikuwa Trilioni 10.2 na hivyo kuchangia Pato la Taifa kwa 7.35% na mwaka 2020 yalikuwa Trilioni 10.9 hivyo kuchangia Pato la Taifa kwa 7.38.8% "
"Katika kipindi cha miezi 6, Serikali imeleta Mwanza shilingi Bilioni 344 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya wananchi ikiwemo Bilioni 219.1 ya kutekeleza miradi ya ujenzi ambapo Bilioni 44.7 zitatumika katika ujenzi wa Stendi ya Nyamhongolo na Nyegezi"
"Serikali imeleta shilingi Bilioni 18 kwa ajili ya ujenzi wa MV Mwanza yenye uwezo wa kubeba abiria 1,200 na tani 400 za mizigo, kazi imefikia asilimia 89, Ujenzi wa meli unatarajiwa kukamilika Mei, 2022 kwa gharama ya shilingi Bilioni 89.154, Serikali imeleta Mwanza Bilioni 15.2, Bilioni 8.3 kwa ajili ya kujenga Hospitali 3 za Wilaya, kumalizia Hospitali 2 za Wilaya, kujenga Vituo vya Afya 5 na Zahanati 21,kukarabati na kujenga vituo vya huduma 48 pia zimeletwa Bilioni 6.4 za kununulia dawa"
"Serikali imeleta shilingi Bilioni 174 kwa ajili ya ujenzi wa Daraja la Kigongo – Busisi lenye urefu wa kilometa 3.2 pamoja na barabara za kuingia darajani zenye urefu wa kilometa 1.66, mradi huu hadi ukikamilika utagharimu shilingi Bilioni 699.278"
"Serikali inaendelea na dhamira yake ya kuliimarisha Jiji la Mwanza ambapo tayari imeshafanya mazungumzo na mwekezaji atajayejenga hotel ya kuelea majini katika Ziwa Victoria itakayosaidia kuvutia watalii na kupendezesha Jiji"——— Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa @gersonmsigwa akiwa Mwanza leo

Sometimes huwa hueleweki,GDP figures ziko humu na ndicho hicho kilichoelezwa na msemaji mkuu wa Serikali..Kwani Opportunity Cost anasemaje?![]()
Kila siku huwa nasema wajinga ndio watafuata cha Kahama,kila Mji una mazingira yake we mapank.TAMISEMI na KAHAMA
View attachment 1976755
HahaaaaSometimes huwa hueleweki,GDP figures ziko humu na ndicho hicho kilichoelezwa na msemaji mkuu wa Serikali..
Hata huyo msemaji wa serikali kazingua,huwezi sema eti Mkoa wa Mwanza unachangia mapato kwa 7% bali unachangia uchumi kwa 7% na sio mapato,huu ni upotoshaji.
Alichosema ni kipo hapo kwa mujibu wa NBS ko hiyo hakuna jipya,sasa hayo ni mapato? 👇
View attachment 1977753
View attachment 1977754
Umevimbiwa Michembe unakuja kujamba jamba hovyo,jipya gani umeliona hapo?Hahaaaa
Mzeee wa muhaho
Kila siku unakuja na jipya
Ndugu..utaongea maneno mengi sana ya muwamba ngoma lakini ukweli ni kwamba ukiachana na Dar es Salaam niHiyo ndio barabara kali za Jiji uchwara
Sikuwekei road za Mbeya City utajinyonga,,nakuwekea barabara za Manispaa ya Sumbawanga alafu linganisha na huo uchafu umepost hapo juu..
Kusini kumesahaulika,,ukipata barabara kali kama hizi Jiji uchwara la Mwanza na poverty zone yote nitag
View attachment 1943001
View attachment 1943002
View attachment 1943003
View attachment 1943004
View attachment 1943005
View attachment 1943006
View attachment 1943007
View attachment 1943008
View attachment 1943009
View attachment 1943010
Mwanza-Arusha kisha anza sasa kulinganisha maeneo mengineKwetu hatuna shida ndogo ndogo kama zinazowakabili nyie,pili Kusini kila kitu ni uhakika kwa hiyo hakuna sababu za viongozi kuhangaika na Kusini,huko kwenu ni Kanda kama maji tuu ni mziki mnene sasa lini uliwahi ona hata kwenye TV Kusini maji yanasumbua?..Ndugu..utaongea maneno mengi sana ya muwamba ngoma lakini ukweli ni kwamba ukiachana na Dar es Salaam niMwanza-Arusha kisha anza sasa kulinganisha maeneo mengine
Kuna nini cha ajabu Arusha au kutegemea utalii ndo umeona dili? Kama mji unategemea chanzo kimoja cha mapato kamwe hiyo Arusha usije kuilinganisha na Mwanza, Chuki zako dhidi ya kanda ya ziwa haiwezi kubadilisha chochote waliotangulia wameshatangulia tu.....Kwetu hatuna shida ndogo ndogo kama zinazowakabili nyie,pili Kusini kila kitu ni uhakika kwa hiyo hakuna sababu za viongozi kuhangaika na Kusini,huko kwenu ni Kanda kama maji tuu ni mziki mnene sasa lini uliwahi ona hata kwenye TV Kusini maji yanasumbua?..
Serikali isipoleta tunachomba chini na kwenye moto yapo ya kutosha sasa sehemu kama hii utalinganisha vipi na huko semi arid? Zebaki na radio zitawamaliza nyie watu wa Lake zone.
Baada ya Dar ni Arusha,Mwanza ni Kambi kubwa ya maskini hamna kitu huko.
Prof.Adolf Mkenda, asema udumavu kwa watoto unaongoza katika mikoa inayozalisha chakula kwa wingi na hii yote inatokana na ukosefu wa elimu katika mikoa hiyo.Kwetu hatuna shida ndogo ndogo kama zinazowakabili nyie,pili Kusini kila kitu ni uhakika kwa hiyo hakuna sababu za viongozi kuhangaika na Kusini,huko kwenu ni Kanda kama maji tuu ni mziki mnene sasa lini uliwahi ona hata kwenye TV Kusini maji yanasumbua?..
Serikali isipoleta tunachomba chini na kwenye moto yapo ya kutosha sasa sehemu kama hii utalinganisha vipi na huko semi arid? Zebaki na radio zitawamaliza nyie watu wa Lake zone.
Baada ya Dar ni Arusha,Mwanza ni Kambi kubwa ya maskini hamna kitu huko.
Kwa hiyo KGM na Njm ni ndugu eti? 😛😛😛😛Prof.Adolf Mkenda, asema udumavu kwa watoto unaongoza katika mikoa inayozalisha chakula kwa wingi na hii yote inatokana na ukosefu wa elimu katika mikoa hiyo.
Mikoa hiyo ni Njombe 53.6%, Rukwa 49.9%, Iringa 47.1%, Songwe 43.3%, Kigoma 42.3% na Ruvuma 41%.
Onyesha aliposema maana naona wewe ndio unajisemesha 😃😃😃😃Prof.Adolf Mkenda, asema udumavu kwa watoto unaongoza katika mikoa inayozalisha chakula kwa wingi na hii yote inatokana na ukosefu wa elimu katika mikoa hiyo.
Mikoa hiyo ni Njombe 53.6%, Rukwa 49.9%, Iringa 47.1%, Songwe 43.3%, Kigoma 42.3% na Ruvuma 41%.