Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Pesa zipo ila tuu hatuna shobo za kijinga na ushamba,hao akina fally ipupa tunawaona congo mara kwa mara maana sisi tuko border,nyie washamba ndio mnaona ni big deal
Tekno akifanya yake mjini, wasanii kama hawa hawaji vijijini make vijijini hakuna hela, nyie huko kijijini komaeni na show za amber lulu na na Giggy Money
Screenshot_2021-10-14-17-09-05-83.jpg
 
Acha uongo wewe, CCM imewajengea vidispensary , vishule, vibarabara, umeme afu unakuja hapa unajifaragua eti hamuishi kwa kudra za ccm, sio kama kwamba hampati kabisa hapana bali nyie ni wa mwisho kabisa make hata kwa umuhimu pia ni wa mwisho.

Akili gani tena hizi? Kwani hivyo Vitus vya Afya vinajengwa kwa pesa za ccm?
Halafu sisi umuhimu hatupewi na wajinga kama wewe, na hao ccm wako
Sisi umuhimu tunajipa wenyewe.
 
Akili gani tena hizi? Kwani hivyo Vitus vya Afya vinajengwa kwa pesa za ccm?
Halafu sisi umuhimu hatupewi na wajinga kama wewe, na hao ccm wako
Sisi umuhimu tunajipa wenyewe.
Naona unazidi kujikoroga mwenyewe , Kama hivyo vituo vya afya hajengwi kwa pesa za ccm basi tueleze ni wapi huko wanakoishi kwa kutegemea pesa za ccm? Kumbuka ulisema nyie hamtegemei kudra za ccm
 
Sisi tunakusanya fedha kila pande ya dunia ndani na nje wewe inafutahia wanaokuja kuchekua fedha na kwenda kula raha Paris.Kwangu lilomuhimu ni lile linarudisha pesa.Issue ya wasanii wa nje ni hasara kwa Taifa tu.Jiulize wanarekani wakati wa fiesta walikomba USD ngapi TZ na nchi ilipata nini?
Show za kibabe in town, hizi kusini mnaziona kwenye magazeti tu hizi ni za pwani na kanda ya ziwa tu.View attachment 1974099
 
Sisi tunakusanya fedha kila pande ya dunia ndani na nje wewe inafutahia wanaokuja kuchekua fedha na kwenda kula raha Paris.Kwangu lilomuhimu ni lile linarudisha pesa.Issue ya wasanii wa nje ni hasara kwa Taifa tu.Jiulize wanarekani wakati wa fiesta walikomba USD ngapi TZ na nchi ilipata nini?
Dah hizi akili zilizozoea show za Gigy money ni shida kwelikweli, kwa taarifa yako huyo msanii kuja tu kufanya shughuli hapa bongo tayari serikali inapiga pesa,

Pili, huyo msanii analetwa na kulipwa na kampuni binafsi kibiashara ili kukuza na kutangaza brand yao,

Tatu, katika tamasha kubwa la msanii mkubwa watu huwa wengi na hutumia bidhaa mbalimbali kwa kiwango cha juu sana, mfano bia hunywewa kwa kiasi kikubwa sana na hapo serikali inapiga pesa make kila chupa ya bia ina pesa ya serikali.

Nne, hawa wasanii huwa wanapost kwenye account zao za mitandao ya kijamii kuhusu shughuli zao mbalimbali, mfano Jay Z alipokuja bongo alipost kuhusu uzuri wa bongo, hata alipohojiwa na wanahabari wa huko kwao alizungumzia pia sifa nzuri za Tanzania, hivyo basi aliitangaza Tanzania na pengine Kuna watu walikuja TZ kupitia yeye.

Tano, wananchi kupata burudani, namaanisha burudani kama burudani yaani, sio hizo burudani zenu za huko kusini za akina Amber Lulu. Mtu kuburudika ni faida sio hasara, na ukizingatia watu wa huku tuna hela sio kama nyie huko na ndo maana hawaji huko.

Kwa hiyo hapo serikali kwa niaba ya nchi inapata, wafanyabiashara wanapata, msanii anapata, host anapata, Mwananchi anapata.
 
Kagera ndio mlisambaza ukimwi kwa wenzenu ikiwemo huku kwetu
Makao makuu ya UKIMWI ni Makete, Wahaya walishaelimika suala la UKIMWI sio tatizo tena, elimu duni njombe ususani makete ndo tatizo kuu la kushindwa kupambana na UKIMWI.
 
Back
Top Bottom