Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Unatapatapa,😄😄😝😝 Kagera 👇Nikuambia leta takwimu za mikoa yote nitakuonesha simiyu ilipo.
Unatapatapa,😄😄😝😝 Kagera 👇Nikuambia leta takwimu za mikoa yote nitakuonesha simiyu ilipo.
🥑🥑🥑🥑🥑Sasa watu tunapowaambia Njombe kwa ukuaji ni level nyingine wawe wanatuelewa.Born 2012 growing at 63% wakati mikoa kongwe Kama kagera ikikua kwa nusu ya Njombe it is massive and phenomenon improvement.Five years to come our GDP will be 4+Go Njombe GoAchaneni na Njombe kabisa nyie sio mkoa wa kulinganisha na wachunga ng'ombe na washamba..
Jitihada za Wananjombe zinatambuliwa kitaifa wewe ni nani hadi upinge?
Ni Njombe Tena 👇
View attachment 1972304
View attachment 1972305
View attachment 1972306
Siku zote ukiona mtu anaongelea ubaya wako tu ujue Kuna good side of you ambayo anashindwa kuiachieve.Ili at least mlingane kiuwezo but huwa sio possible....
Sound tuu hamna kitu 😆😆😂😂 Kagera bwana ona hapa 👇Siku zote ukiona mtu anaongelea ubaya wako tu ujue Kuna good side of you ambayo anashindwa kuiachieve.Ili at least mlingane kiuwezo but huwa sio possible....
Ndo maana ukiangalia makabila successful nchini Kama wahaya,wachaga nk yanapigwa vita na kutukanwa Sana nchini kwa sababu yamepiga hatua kuliko makabila yote katika nchi hii.
Wew kwa akili yako timamu unaweza linganisha usukumani na uhayani si mbingu na Ardhi kabisa hata Kama GDP ya kagera ni ndogo.
Hata Nigeria Wana GDP kubwa lakin Kuna umaskini wa kutupa
Sasa hapa si wanaongelea GDP au Kuna kitu huelewi
Ndio hiyo hiyo GDP 😂😂😂😂Sasa hapa si wanaongelea GDP au Kuna kitu huelewi
Kwamba wahaya na ndugu zao wanategemea migomba na kahawa kuwainua kiuchumi😁😁😁😁
We unamuamini huyo mjinga? Jengo la kwanza kuwa na lift ni toka 2012(Jengo la chama cha walimu) .
Yaan Hilo jengo ndo linaloonekana tuWe unamuamini huyo mjinga? Jengo la kwanza kuwa na lift ni toka 2012(Jengo la chama cha walimu) .
Huyo jamaa ni mshamba tuu kama kenge wengine,jitu hata haijulikani lilowahi fika Mbeya lini linaropoka tuu,linadhani Mbeya ya Sasa ni ya kama zamani.
Kuna majengo mengi tuu yenye rift na miongoni mwayo ni haya hapa
View attachment 1973178
View attachment 1973179
View attachment 1973180
View attachment 1973181
View attachment 1973183
View attachment 1973184
View attachment 1973185
View attachment 1973186




Ndo nchi Yetu hiyo.....Kahama yenyewe sasa
Huu ufukara wa huu mji ni wa aina yake. Fu..ck the Gold View attachment 1973577
View attachment 1973578
View attachment 1973579
View attachment 1973580
View attachment 1973581
, ila kwa Sasa itabidi aende kaskazini make ndo kanda inayofuatia kwa umuhimu katika nchi hii baada ya Pwani na Lake zone, Kusini nyie ni wa mwisho mkiani kabisa
,ila tulieni ipo siku atakuja japo kuwazuga kidogo make nyie mmetengwa.Tarehe 18 atakuwa ziarani kageraBaada ya pwani na kanda ya ziwa inafuata kaskazini, kusini ni ya Mwisho kabisa huko mkiani, Leo tena Rais yuko kanda ya ziwa kwa mara nyingine, yaani yeye anarudiarudia pwani na kanda ya ziwa tu, ila kwa Sasa itabidi aende kaskazini make ndo kanda inayofuatia kwa umuhimu katika nchi hii baada ya Pwani na Lake zone, Kusini nyie ni wa mwisho mkiani kabisa
,ila tulieni ipo siku atakuja japo kuwazuga kidogo make nyie mmetengwa.View attachment 1973820
Baada ya pwani na kanda ya ziwa inafuata kaskazini, kusini ni ya Mwisho kabisa huko mkiani, Leo tena Rais yuko kanda ya ziwa kwa mara nyingine, yaani yeye anarudiarudia pwani na kanda ya ziwa tu, ila kwa Sasa itabidi aende kaskazini make ndo kanda inayofuatia kwa umuhimu katika nchi hii baada ya Pwani na Lake zone, Kusini nyie ni wa mwisho mkiani kabisa
,ila tulieni ipo siku atakuja japo kuwazuga kidogo make nyie mmetengwa.View attachment 1973820
Jiji zima naona gorofa moja tuWe unamuamini huyo mjinga? Jengo la kwanza kuwa na lift ni toka 2012(Jengo la chama cha walimu) .
Huyo jamaa ni mshamba tuu kama kenge wengine,jitu hata haijulikani lilowahi fika Mbeya lini linaropoka tuu,linadhani Mbeya ya Sasa ni ya kama zamani.
Kuna majengo mengi tuu yenye rift na miongoni mwayo ni haya hapa
View attachment 1973178
View attachment 1973179
View attachment 1973180
View attachment 1973181
View attachment 1973183
View attachment 1973184
View attachment 1973185
View attachment 1973186
Endelea kuona moja ,hujakayazwa kama macho yako yanaonaga matako ya Mkeo tuu hayawezi ona kitu kingine hadi yasafishwe.Jiji zima naona gorofa moja tu
Acha uongo wewe, CCM imewajengea vidispensary , vishule, vibarabara, umeme afu unakuja hapa unajifaragua eti hamuishi kwa kudra za ccm, sio kama kwamba hampati kabisa hapana bali nyie ni wa mwisho kabisa make hata kwa umuhimu pia ni wa mwisho.Hata asipokuja hadi amalize awamu, hata watangulizi wake walikuwa hawatembelei wala kuelekeza miradi nyanda za juu kusini but guess what???
Watu wa kusini hatuishi kwa Kudra ccm Mzee. We are hard workers na ndio maana tumepiga hatua kiuchumi na kijamii.
Free your mind and Learn from us.
Huwa nawaambia ni Kamji ka barabara moja nayo imepauka kama Kambi ya wakimbizi ..Kahama yenyewe sasa
Huu ufukara wa huu mji ni wa aina yake. Fu..ck the Gold View attachment 1973577
View attachment 1973578
View attachment 1973579
View attachment 1973580
View attachment 1973581