Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Baada ya pwani na kanda ya ziwa inafuata kaskazini, kusini ni ya Mwisho kabisa huko mkiani, Leo tena Rais yuko kanda ya ziwa kwa mara nyingine, yaani yeye anarudiarudia pwani na kanda ya ziwa tu , ila kwa Sasa itabidi aende kaskazini make ndo kanda inayofuatia kwa umuhimu katika nchi hii baada ya Pwani na Lake zone, Kusini nyie ni wa mwisho mkiani kabisa,ila tulieni ipo siku atakuja japo kuwazuga kidogo make nyie mmetengwa.View attachment 1973820
Umuhimu 😂😂..Ni hivi hizo ni sehemu zenye maskini wengi Sana na zinatakiwa kuwa uplifted kimaisha ndio maana wanajaribu kuwavuta mfike hapa 👇

Screenshot_20211012-195233.png
 
Mwisho wa siku hii ndio kahama yenyewe
Tuweni serious sometimes,
Honestly this settlement haina hadhi ya manispaa..
Poor,disorganized, dirty


Hamna kitu hapo yaani utafikiri Kambi ya wakimbizi,typical maisha ya kifukara ya migodini.
 
Jana ndani Rocky City, Kanda ya ziwa mwamba Fally Ipupa kapiga show ya kukata na mundu, na hii ni baada ya kupiga show nyingine ndani ya Dar, wasanii wakubwa kama hawa wanaenda sehemu zenye pesa tu, miji iliyoendelea. Kwa hapa bongo hawa wasanii huwa wanakuja Rocky City na Dar tu, kusini...
Screenshot_2021-10-14-14-43-15-96.jpg
Screenshot_2021-10-14-14-46-13-24.jpg
Screenshot_2021-10-14-14-47-47-77.jpg
Screenshot_2021-10-14-14-48-16-57.jpg
 
Mtamlaumu Rais bure lakini nyie ni watengwa kwa kila kitu sababu hamna umuhimu na huko kwenu hakuna hela.
Screenshot_2021-10-14-14-47-25-85.jpg
 
Pesa zipo ila tuu hatuna shobo za kijinga na ushamba,hao akina fally ipupa tunawaona congo mara kwa mara maana sisi tuko border,nyie washamba ndio mnaona ni big deal
Labda Congo kariakoo, na hao wa Marekani mnawaonea wapi? Make wenyewe wanagongaga New York, London, Nairobi, Paris, Mwanza, Dar, Cape Town, nk. Hawa wanaenda sehemu za pesa tu. Kusini Level yenu ni Giggy money
 
Back
Top Bottom