Kahama VS Njombe/Mafinga

Tunaendelea kumhakikishia Chief Hangaya kuchapa Kazi.

Kusini kumetengwa,hapa tunaendelea kufuta vumbi Mjini Sumbawanga 👇









 
Tatu............another bank to open branch soon.........EQUITY BANK in Kahama

 
Tano
Barabara nimeshindwa kuweka, kwa kiasi kikiubwa barabara nyingi zimechimbuliwa zinasukwa upyaaa, ziendane na hadhi ya Manispaaa
 
Sita kuhusu Filling Station mpya mjini sikupata nafasi kupiga picha, ila roughly , nimekutana na na filling station mpya 5 katikati ya mji baadhi zimeanza kazi na nyingine wanamaliizia ujenzi, In short Kahama inapaaa
 
Sita kuhusu Filling Station mpya mjini sikupata nafasi kupiga picha, ila roughly , nimekutana na na filling station mpya 5 katikati ya mji baadhi zimeanza kazi na nyingine wanamaliizia ujenzi, In short Kahama inapaaa
Yes kahama inapaa Sana .

Mji unakua kwa Kasi sana
 
Tunaendelea na ujenzi wa Shule ya Sekondari, private School pande za Sumbawanga town 👇















 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…