The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,799
- 1,681
Huwezi kupata mandhari kama hii huko kusini kwa waliopaukaBukoba port bunena.View attachment 1950562View attachment 1950563


Huwezi kupata mandhari kama hii huko kusini kwa waliopaukaBukoba port bunena.View attachment 1950562View attachment 1950563


Basi anajitahidi Sana.Ni mkandarasi wa hapa Bukoba nadhani kutoka kyaka, kuna project nyingi zinaendelea za ujenzi wa Barabara za lami vijiji na mjini
Kumbe hadi korosho mnaizidi kwa kuchangia pato la taifa eee..just imagine almost 60% ya kahawa yote nchini inatoka kagera.
Halafu anakuja pimbi wa kusini anasema kagera wavivu na maskini.
Kahawa ni zao la tatu nchini kuchangia Pato la taifa baada ya tumbaku na karafuu.
Nimesema ni zao la tatu na Wala sijakosea we manka wa uruKumbe hadi korosho mnaizidi kwa kuchangia pato la taifa eee..
Acha fix dogo..
Tazama hapaKumbe hadi korosho mnaizidi kwa kuchangia pato la taifa eee..
Acha fix dogo..
Umesema inazidiwa na karafuu na tumbaku si ndio?? Yaani korosho kwenye top three haipo si ndio?Nimesema ni zao la tatu na Wala sijakosea we manka wa uru
Tazama hapaView attachment 1950621View attachment 1950622
Unaleta data za 2018.. Huo mwaka aliyenunua Korosho ni tapeli wenu Magufuli..Tazama hapaView attachment 1950623
Point of correction.Umesema inazidiwa na karafuu na tumbaku si ndio?? Yaani korosho kwenye top three haipo si ndio?

Kwan aliyenunua kahawa ni nani we kichaa wa uru.Unaleta data za 2018.. Huo mwaka aliyenunua Korosho ni tapeli wenu Magufuli..
Huwezi linganisha korosho na kahawa..

Correction au sio.. hebu itoe korosho kwenye huo upambavu wako wa kahawa.. Mauzo ya kahawa hayafikii hata robo ya yale ya koroshoPoint of correction.
Mazao matatu makuu ni kahawa,tumbaku na korosho.
Kagera ikizalisha 60% ya kahawa yote nchini.
Umeridhika we manka wa uruView attachment 1950627
Usipanic, punguza uongo kidogo.. Eti kahawa na karafuu inazidi korosho teh teh tehKwan aliyenunua kahawa ni nani we kichaa wa uru.
Si mtu huyo huyo ama?
Hebu meza dawa upunguze ukichaaView attachment 1950631
Unabisha Nini we kichaaUsipanic, punguza uongo kidogo.. Eti kahawa na karafuu inazidi korosho teh teh teh
Kwahiyo unakubali kwamba ulidanganya??
acheni lugha za matusi huo ni utoto wakuuUkitoka kuliwa mtaro unachamba kwanza ndio unakuja kucomment unanuka pumbavu.
Sexer hujamuona?acheni lugha za matusi huo ni utoto wakuu
Beach huwa zina mchanga unakuwa free kujiachia sasa hii beach ya mawe veepe? Hapa si ukijianika unakuwa kama kenge? 🤭🤭
Rumuli kila siku? Tumekuchoka kurudia rudia vipicha vya hako kakanisaMtaa wa rumuli mjini bukobaView attachment 1950541View attachment 1950547
Vichakani ni huko migombani hapo ni mjini Mkuu..Sasa ndo unapost nyumba za vichakani eti ni mjini hapo![]()
Tofautisha vichaka na mashamba, Bukoba tunapost mazingira ya vijijini(migomba) na mjini sasa ww unaleta nyumba zimezungukwa na vichaka et ni mjini sijui huko vijijini, labda ndo maana hamjaweka vijiji vyenu tukavionaVichakani ni huko migombani hapo ni mjini Mkuu..
Mbona mnawewwseka Sana,na nyie mbona mnapost nyumba za vichakani huko kwenye vijiji vyenu mnaita mjini?
Unaweza Jenga ghorofa kubwa kama hilo kichakani? Unataka ugundue nini?