Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Miti ya uoto wa asili hiyo wewe ,imejaa mjini huoni hata barabara zetu zilivyojaa miti kama Ulaya?Tofautisha vichaka na mashamba, Bukoba tunapost mazingira ya vijijini(migomba) na mjini sasa ww unaleta nyumba zimezungukwa na vichaka et ni mjini sijui huko vijijini, labda ndo maana hamjaweka vijiji vyenu tukaviona


