Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Nakuona mshamba Sana.


Hizo barabara unaona za maana
Tutakapotoa Takwimu za umaskini msije sema mumeonewa,ndio utaelewa kama barabara na mall kipi cha maana..

Kusini kusehaulika,kumetengwa ,kuna mavumbi Rais ana aleji 😃😃😆😆😆😀😀
 
Tutakapotoa Takwimu za umaskini msije sema mumeonewa,ndio utaelewa kama barabara na mall kipi cha maana..

Kusini kusehaulika,kumetengwa ,kuna mavumbi Rais ana aleji
Kuna mavumbi kwa uongo.

Hadi ofisi ya mkuu wa mkoa

. ipo siku mtakuta nyoka ofisini kwa vichaka hiv
JamiiForums-575084762.jpg
 
Kuna mavumbi kwa uongo.

Hadi ofisi ya mkuu wa mkoa

. ipo siku mtakuta nyoka ofisini kwa vichaka hivView attachment 1950351
Mbona wewe ulipost ofisi ya Madini ,Manispaa ya Bukoba nk? Kwani shida iko wapi?

Nyoka waache kuingia huko kwenu kwenye migomba ndio waje kuingia hapa ofisini?

Mzee acha kuweweseka,mapank kakimbia jukwaa baada ya kuishiwa ,,🏃🏃
 
Mbona wewe ulipost ofisi ya Madini ,Manispaa ya Bukoba nk? Kwani shida iko wapi?

Nyoka waache kuingia huko kwenu kwenye migomba ndio waje kuingia hapa ofisini?

Mzee acha kuweweseka,mapank kakimbia jukwaa baada ya kuishiwa ,,
Mimi nikianza kupost ofisi za serikali za mkoa utakimbia.

Husisahau bukoba ni makao makuu ya mkoa
 
Alafu pamepauka hivo na watu wake watakuwa wamepauka
Aisee anayejenga barabara za vijijini bukoba ni nani .Anapaswa kuongezwa Sana.

Juzi nilipita huko google Earth.
Naona lami ipo kibengwe km 30 kutoka mjini kuelekea bugabo

Na maruku inapita ntungamo kabisa
 
Aisee anayejenga barabara za vijijini bukoba ni nani .Anapaswa kuongezwa Sana.

Juzi nilipita huko google Earth.
Naona lami ipo kibengwe km 30 kutoka mjini kuelekea bugabo

Na maruku inapita ntungamo kabisa
Ni mkandarasi wa hapa Bukoba nadhani kutoka kyaka, kuna project nyingi zinaendelea za ujenzi wa Barabara za lami vijiji na mjini
 
Back
Top Bottom