Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ujenzi wa viwanda vya kuongeza thamani minofu ya samaki na nafaka ukiendelea Mjini Sumbawanga 👇👇

IMG_20210905_113448_163.jpg


IMG_20210905_113646_813.jpg


IMG_20210905_122637_262.jpg


IMG_20210905_123113_904.jpg


IMG_20210905_123249_945.jpg


IMG_20210905_123252_357.jpg
 
Sasa kama familia ya watu 6 inategemea ekari moja mtaacha kuwa na GDP ndogo na umaskini uliotukuka?

Lazima wingi wenu uonekane kwenye tija ya uzalishaji sio katerero tuu
Kwamba kagera hakuna Ardhi ama.

Wingi wa watu wa kagera una tija Sana.

Just imagine kagera waache kuzalisha maharage,ndizi,kahawa, vanilla,Sukari ,samaki si mtakufa nyote hapa bongo.



Watu ni wengi na wanazalisha sana. We huoni ajabu mikoa yote nchini kagera inazalisha asilimia 60 ya kahawa, asilimia 20 ya maharage, asilimia 60 ya ndizi ,asilimia 50 ya Sukari bado na samaki
 
Inaonekana huo mkoa uko predominantly na kilimo zaidi, unfortunately Mazao mengi ya kilimo huwa yanabei ndogo hasa kwa kilimo cha kujikimu matokeo yake ni umaskini.

Maana uje upate gunia 12 za maharage kwenye ekari ni mziki huwezi linganisha na ekari moja ya miti au viazi mviringo.

Tafuteni kitu kingine cha maana mtaishia mkoani kila siku.
Utakuwa na matatizo sio bure.




We unafikiri kagera hakuna Ardhi sio.



Hiz Tani zinatoka wap.

Yaan Hadi BBC wanaenda kagera kutazama uzalishaji wa maharage.



Kwa Tanzania kagera ndo ina hekta nyingi za maharage kulinganisha na mkoa wowote ule
Screenshot%20(20210905-115855)~2.jpg
Screenshot%20(20210905-115826)~2.jpg
Screenshot_20210905-115505.jpg
 


Hiv unaelewa maana ya household


Bakhresa na kagera wap na wap
 
Inaonekana huo mkoa uko predominantly na kilimo zaidi, unfortunately Mazao mengi ya kilimo huwa yanabei ndogo hasa kwa kilimo cha kujikimu matokeo yake ni umaskini.

Maana uje upate gunia 12 za maharage kwenye ekari ni mziki huwezi linganisha na ekari moja ya miti au viazi mviringo.

Tafuteni kitu kingine cha maana mtaishia mkoani kila siku.
Hata hivyo viazi mviringo.


Kagera ni mkoa wa sita na njombe haipo hata top ten.


Huu mkoa unaoongoza kwa kilimo utakubali tu


Screenshot%20(20210905-134552)~2.jpg
Screenshot%20(20210905-134627)~2.jpg
 
Ndani ya meli ya mv Victoria bidhaa zikitoka bukoba kwenda mikoa mbali mbali kupitia mwanza.


Hebu tuendelee kuwalisha watanzania ingawa hamna shukrani pamoja na kejeli mnazozitoa kwa mkoa wa kagera



Magufuli hakuwa mjinga kurudisha meli ya mv Victoria na kujenga mpya ya mv mwanza.
Na reli kuielekeza mwanza
Screenshot%20(20210905-133615).jpg
 
Mnaponzwa na kuzaana hovyo.
Mkoa wa kagera unaoongoza kwa uzalishaji wa madini ya bati nchini. Na ndo mkoa pekee unaotoa madini hayo.



Biashara za magendo zimeshamiri Sana kwenye huh mkoa ndo maana serikali inakosa mapato but hali ya maisha iko vzr
images%20(5).jpg
Screenshot_20210905-140636.jpg
 
Back
Top Bottom