Kahama VS Njombe/Mafinga

Yaan mkoa uongoze kwa mvua kwa mvua Tanzania halafu uwe na udongo mweupe hivyo



We kwa akili yako mtu ambaye sio mhamiaji na wale wachoma Mikaa wa mistuni anaweza kukaa kwenye nyumba Kama hiyo?
 
Yaan mkoa uongoze kwa mvua kwa mvua Tanzania halafu uwe na udongo mweupe hivyo



We kwa akili yako mtu ambaye sio mhamiaji na wale wachoma Mikaa wa mistuni anaweza kukaa kwenye nyumba Kama hiyo?
Kumbe hata mkoa wako huujui vizuri hio no Ngara usiruke ruke
 
Kumbe hata mkoa wako huujui vizuri hio no Ngara usiruke ruke
Kwamba hujui kuwa ngara Kuna wahamiaji kutoka Burundi na Rwanda wanaokaa mistuni huko kuchoma Mikaa?

Wilaya Kama biharamulo iko tupu Ina wahamiaji kutoka mikoa mbali mbali na nchi za Rwanda Burundi walioanzisha vijiji vipya vya muda huko mistuni.
Au hata habari hukusoma vzr
 
Jamaa anaokoteza vipicha vya wakimbizi huko maporini eti ndo Bukoba sasa ni lini mkimbizi akajenga nyumba bora
 
Wanaongelea Bukoba wewe unasema Ngara, wamepiga kwenye mshono. Nisawa tuongelee Kahama halafu nilete habari za Kishapu.
Hapa tunamaanisha mkoa mzima wa njombe na kagera elewa Hilo
 
Yan yeye anaangalia bukoba tu wakati wenzie tunamaanisha mkoa mzima kwa masifa waliyo nayo umasikini utawatesa sana
Mkoa mzima ndo hamsogelei hata kidogo maana huko Njombe hamna vijiji vya kulinganisha na Bukoba. Tatizo mkipata pesa mnavikimbia tofauti na huku ambapo hata mtu awe Marekani atakuja ajenge kijijini kwao
 
Mkoa mzima ndo hamsogelei hata kidogo maana huko Njombe hamna vijiji vya kulinganisha na Bukoba. Tatizo mkipata pesa mnavikimbia tofauti na huku ambapo hata mtu awe Marekani atakuja ajenge kijijini kwao
Kwa hiyo Bukoba ni Kijiji kikubwa cha kushindana na vijiji vya Njombe
 
Washamba wengine hao
huko mavumbini movie manaangalia kwenye vibanda umiza
, hayo Mambo huku town yashapitwa na wakati. Hivi nyie wachimba viazi mnaifahamu thrii ji!
 
Kwa hiyo Bukoba ni Kijiji kikubwa cha kushindana na vijiji vya Njombe
Elewa basi Bukoba namaanisha vijiji vyote vya Wahaya sijasema Bukoba mjini labda niseme Kagera ndo utaelewa. Vijiji vyenu bado sana na kwa sababu mnakimbilia mjini mnaviacha vikiwa hoi
 
Mimi kwetu ni bukoba vijijin sehemu moja inaitwa bugabo kata rubafu (mpakani mwa TANZANIA na Uganda) kwa ufupi maisha ya uko ni mazuri sana,kuliko ata Morogoro mjini
watu wanajenga nyumba vizuri bodaboda zipo adi saa 6 usku
 
Najua huwezi linganisha bukoba na mji wowote kusini.


But hapa natangaza utalii.


Among the best hotels in bukoba BCD stella hotel
 
Mnaona mandhari ya bukoba na hali ya hewa.
Bukoba sio baridi Sana Wala sio joto sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…