Kahama VS Njombe/Mafinga

Ila bado hamuwezi kufikia Bukoba na wala sio leo.
 
Haha yote hi ni shida ya kutosha kutembea hebu fanya ziara siku moja uangalie vijiji vya njombe watalam wamefanya utafiti wakajua mkoa was njombe upo vizur zaidi ya kagera we endelea kunywa ubisi ukimaliza tembelea na ngara
Njombe vijijini hakuna kitu ni shida tupu tunapafahamu sana, vijiji vya Bukoba hampo hata nusu
 
wanakuchosha bure huwezi kutoka misenyi au muleba ukaenda kuishi makete au sijui ludewa utakufa kwa stress
 
Wacha kulinganisha na Kahama Mc, Njombe ni Msalala au Ushetu DC iliyochangamka
 
Yan unavyoipamba njombe


Bado mko nyuma Sana tuseme ukweli
Tuko nyuma kwa mujibu wa wewe lakini kwa mujibu wa ulimwengu tumesogea sana mkuu.Huhitaji Rocket Science kujua hilo ukifika Njombe utaona kwa macho yako mwenyewe bila hata kuambiwa na mtu.Kama unataka kuangalia idadi ya magorofa kweli bao sio mengi sana kwa kuwa ndio kwanza tunaijenga lakini kama unataka kulinganisha mendeleo ya mtu mmoja mmoja kulinganisha na kanda ya ziwa utakubaliana na ulimwengu kua Njombe na Nyanda za juu kusini kupo tofauti.Najua bado umekaririshwa na dhana za kizamani za kusema kusini kusini kusini.Kusini kwa maana ya maendeleo ni kasikazini kwa sasa ikiongozwa Nyanda za juu kusini.Well inawezekana kwenye barabara mmetuzidi kwa kua mlikua na bwana barabara aliyewapendelea hasa kwenye kuunganisha wilaya na mkoa lakini hata njombe barabara za Lami zipo japo bado hazikidhi hitaji la uchumi wa Njombe.
 
😀 😀 😀 😀 Hatujamwita mtu aende kuishi Njombe.Njombe wanaenda watu potential sio watafuta kazi
wanakuchosha bure huwezi kutoka misenyi au muleba ukaenda kuishi makete au sijui ludewa utakufa kwa stress
 
Mnazungumzia mji wa Bukoba au Mkoa mzima wa Kagera maaana huendi tulikua hatuelewani sisi tunauzungumzia mkoa wa Njombe in general.
Duh bora ukazungumzia mji kuliko mkoa maana watu wa vijijini huku Kagera wanaishi maisha mazuri kuliko watu wengi mjini. Ndo maana kuna watu wengi vijijini hawana haja na mjini.
Narudia tena kuhusu vijiji hata huko usijisumbue hamuwezi kuingia hata robo bora tuongelee mjini
Kwa taarifa yako Bukoba kinachotuhumiza vichwa ni kuendeleza zaidi mji wetu lakini hatuna wasiwasi na vijiji vyetu
 
Eti alitupendelea
.


Serikali wanaangalia sehemu potential kwanza . huwezi zungumzia uchumi wa Tanzania Bila kuiangalia Kanda ya ziwa.

Kanda ya ziwa inapakana na nchi kibao na Kuna population kubwa.


Kahawa ni zao la pili nchini katika mazao ya biashara kuingiza kipatoo na 65 % ya kahawa yote nchini.

Bado ndizi 70% ni kutoka mkoa mmoja
Bado vanilla
Bado Sukari.kumbuka kagera sugar ni moja ya viwanda vikubwa nchini kwa uzalishaji
Bado maharage zaidi ya 70% yanatoka kagera
Bado chai na maparachichi yanalimwa kagera.
Bado pamba inalimwa
Bado madini Kama dhahabu na tin

Nk nk


Bado biashara za mipakani
 
Mnazungumzia mji wa Bukoba au Mkoa mzima wa Kagera maaana huendi tulikua hatuelewani sisi tunauzungumzia mkoa wa Njombe in general.
Bora uuzungumzie huo mji wa bukoba. Ambao hata Mimi bado siridhiki na maendeleo ya huo mji aisee.

Lakin vijijini huko ni balaa. Ndo hata mkoa una density kubwa ya watu vijijini kuliko mkoa wowote ule
 
Bado umesahau uvuvi wa dagaa na samaki watu wametajirika sana
 
Bora uuzungumzie huo mji wa bukoba. Ambao hata Mimi bado siridhiki na maendeleo ya huo mji aisee.

Lakin vijijini huko ni balaa. Ndo hata mkoa una density kubwa ya watu vijijini kuliko mkoa wowote ule
Hata mm nimemshsngaa anajitoa mjini anaongelea na vijiji, aisee hapo ndo kachemka vibaya haitokaa itokee vijiji vya huko Njombe vikasogelea vya Bukoba na sababu ni kwamba mnavitelekeza mnakimbilia mjini
 
Nyie jamaa mnaleta masihara sana yaani watu wa kule Ngara ni ule uduni bado mnasema wanaishi maisha mazuri kuweni na huruma aisee
 
Nyie jamaa mnaleta masihara sana yaani watu wa kule Ngara ni ule uduni bado mnasema wanaishi maisha mazuri kuweni na huruma aisee
Wanaongelea Bukoba wewe unasema Ngara, wamepiga kwenye mshono. Nisawa tuongelee Kahama halafu nilete habari za Kishapu.
 

hizi ndio nyumba za watu wenye maisha bora huko Misenyi

NGARA
source:Ngarakwetu.bloguspot
Mkuu wa mkoa wa Kagera Kanal Fabian Massawe amewataka wananchi wa wilaya za Ngara na Biharamulo kujenga nyumba kama hiyo




Mkuu wa mkoa wa Kagera Fabian Massawe,nyuma pembeni ya askari ni Mkuu wa wilaya ya Biharamulo Lichard Mbeho
 
jamani watu wa kagera sio nia yetu kuwadhalilisha lakini ni kuwaonesha tu kuwa majigambo tu bila vitendo ni kazi bure
 
Hata huoni aibu.udongo mweupe bukoba?

Kijana unaenda mitandaoni unaleta nyumba za wakimbizi kutoka Rwanda na Burundi waliojazana biharamulo na ngara.


Bukoba tangu lini ikawa na udongo mweupe



Tulia dawa ikuingie kijana

Kijiji cha ntoma huko bukoba

View attachment 1921242
 
Vitu Kama hivi huwezi vikuta kule mavumbini kusini, vitu vya town hivi.
Huko kusini mnaijua 3D nyie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…