Kahama VS Njombe/Mafinga

Iringa Per Capita GDP 4,000 VS Kagera Per Capita GDP 1,1000 😂😂😁😁.

Umaskini wa kutopea huko Katerero Region sidhani kama mna jipya hapa Tzn👇👇

View attachment 1914407
Yaani Njombe per capita income ni mil.3.1 kagera 1.1 kwa mwaka 2020 mwaka 2016 Njombe.ilikua mil.2.01 kagera 1.1 2020 Njombe ni 3.1 kagera 1.1 halafu wanakuja eti Njombe ishindane na Kagera.Miaka mitano ijayo kwa uwekezaji wa Njombe tutakua 1 au 2 hao Kanda ya Ziwa watafute majirani Njombe haina mshindani huko😀😀😀😀
 
mbona nyingi unarudiarudia hizo hizo hahaha Yan kwa mkoa was njombe mkalale tu mmesha pigwa gap la kuzi happy nilikupa hotel sita tu
 
mbona nyingi unarudiarudia hizo hizo hahaha Yan kwa mkoa was njombe mkalale tu mmesha pigwa gap la kuzi happy nilikupa hotel sita tu alafu nyingi Zina view ya kizaman Sana inatakiwa mje mjifunze mkoa wa njombe
 
Kumbe tunabishana na mtu ambaye ni fresh from University,Prof.Bonaventura Rutimwa kateuliwa msaidizi wa Makamu Mkuu wa chuo juzi tu baada ya Mgaya.Mgaya Yunus ni Mbena lakini Baba yake ni mzamiaji wa Tanga.Sina mentality ya kuangalia hao maprofesa kwa Sababu moja ya Ndugu yangu ni Profesa Udsm lakini hana impact yoyte kwenye Kijiji chetu pia kwenye ukoo haina impact.Sisi vijana tumeweza kufanya vitu tofauti na wazee wanashangaa hatuna Phd lakini tunafanya tofauti.Njombe ni mchanganyiko wa Biashara na usomi ndio maana Kuna maendeleo ya kasi.Wako Maprofesa Nyanda juu wengi wakiongozwa na Ruvuma,Mbeya,Iringa nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…