Nafikiaga bukoba Coop pale, napamanya sana bk hadi karagwe na kyerwaKama umefika bukoba utakuwa unapafahamu Rwamishenye. Sasa jamaa kaingia Google Earth kaona bukoba ilivyojengeka Kule city center kaamua alete Rwamishenye km Kama tano kutoka mjini
Mkuu huo mtaa wa Barongo uko kila mahali😀😀😀😀😀yaani piacha sita ni za sehemu moja tu umecheza na Angle tu😂😂😂Mbona hutaki kuonesha bukoba downtown unakimbilia Rwamishenye km zaidi ya tano kutoka downtown
Nadhani ulipoona bukoba ilivyojengeka downtown ukaogopa ukaamua ukimbilie rwami sehemu yenye machinga mjini bukobaView attachment 1893558View attachment 1893559View attachment 1893562View attachment 1893563View attachment 1893565View attachment 1893566View attachment 1893567View attachment 1893568View attachment 1893569View attachment 1893570
Hii njombe ina nyumba za chini Kama mwananyamala.
Hapo ni mjini na naona barabara hazina lami.
Hizo kutu ndio quality ya makazi😂😂😂😂those are old and non repaired roofsHebu tofautisha hata quality ya mapaa ya makazi .
Yaan mji wenu unamabati Yana kutu
Look at these streets in bukoba.View attachment 1893579View attachment 1893580View attachment 1893581View attachment 1893583
Vumbi tupu. Hakunaga hata lami.
Mji wenu umechoka Sana.Hizo kutu ndio quality ya makazithose are old and non repaired roofs
Mara yako ya mwisho kufika Nyanda za Juu kusini ilikua liniMji wenu umechoka Sana.
Please linganisha njombe na kahama yenu sio bukoba
Nyie vijijini huko bukoba Kuna nyumba Bora kuliko hapo mjini njombe
Huwezi maliza dunia yote kutafuta maarifa na data .Uzuri kwa Sasa Technolojia imekua hivyo kila kitu kipo kiganjani mwako, viko vitu utahitaji kufika site lakini viko vingine unavipata kwa Techlojia tu.Huwezi Linganisha ulipokulia na sehemu ambayo hujawahi fika then ukasema huku ni bora zaidi. Ni vyema ukafika kila sehemu zote then uje utupe hizo comparison
Hapo ni mjini na naona barabara hazina lami.
Na nyingine zimewekwa lami juzi juzi.
Mji una nyumba za chini Kama mwananyamalaslums tupu
Kijana acha kulinganisha njombe na bukoba linganisha na kahama yenu Kama Uzi ulivyo
Bukoba sio level zenu
sio kila kitu kimewekwa kwenye technolojiaHuwezi maliza dunia yote kutafuta maarifa na data .Uzuri kwa Sasa Technolojia imekua hivyo kila kitu kipo kiganjani mwako, viko vitu utahitaji kufika site lakini viko vingine unavipata kwa Techlojia tu.
Ukome usie jua quality ya mji na mtawanyiko wa mji.Kahama ni mtawanyiko wa mji Njombe ni quality town well organised,Mungu akaupatia mazingira asili ya kujisafisha wenyewe.Mkome kulinganisha Manspaa ya Kahama na hicho kijiji chenu sijui ki Njombe
Kahama level yake ni wakina Iringa town, moshi, n.kMkome kulinganisha Manspaa ya Kahama na hicho kijiji chenu sijui ki Njombe
Hivi hizi report zilizojaa bias dhidi ya Mwanza huwa mnazitoa wapi, na kama Mwanza ni mji maskini basi hii Tanzania ni tajiri sana.shikamoo kanda ya ziwa
View attachment 1894630