Inafahamika kusini aka matakoni mwa Tanzania ndo inashika mkia, watumishi wa Umma wakipangiwa kusini wanalaza nyasi, hawataki shida. Wanaojikaza kwenda walishawahi kuombewa posho za mazingira magumu ya kazisijui iliishia wapi, nami nasema wapewe tu kuwafuta machozi.
Inafahamika kusini aka matakoni mwa Tanzania ndo inashika mkia, watumishi wa Umma wakipangiwa kusini wanalaza nyasi, hawataki shida. Wanaojikaza kwenda walishawahi kuombewa posho za mazingira magumu ya kazisijui iliishia wapi, nami nasema wapewe tu kuwafuta machozi.
MbonaWe mbwa, usilinganishe kwimba na ujinga wa huko kusini.
Mbona unaongea matusi mkuuWe mbwa, usilinganishe kwimba na ujinga wa huko kusini.
Inafahamika kusini aka matakoni mwa Tanzania ndo inashika mkia, watumishi wa Umma wakipangiwa kusini wanalaza nyasi, hawataki shida. Wanaojikaza kwenda walishawahi kuombewa posho za mazingira magumu ya kazisijui iliishia wapi, nami nasema wapewe tu kuwafuta machozi.
MbonaWe mbwa, usilinganishe kwimba na ujinga wa huko kusini.
Mbona unaongea matusi mkuuWe mbwa, usilinganishe kwimba na ujinga wa huko kusini.
Ndio wapi huko sijawahi sikia mji Kama huo mkuu.Achana nao hao malofa usiangaike kuharibu bundle lako, ata mji wote wa njombe na sumbawanga haiwezi kufikia Buzuruga.
Hao wasukuma unaowaona huko vijijini kwenu ni kama tone la maji tu kutoka kwenye bahari, wamekuja huko kukodi na kununua ardhi yenu, mmewauzia ardhi afu nyie mmgeuka kuwa manamba wao na wanawalimisha kwelikweli. Kule katavi na rukwa wafipa wanalimishwa palizi heka 1 kwa buku dala.Kwa hiyo wasukuma waliojazana na kuhamia Mbeya,Iringa Rukwa na Sasa wanakuja kuomba vibaura wanataka shida hao.Maisha ya vijijini Lake zone yameachwa mbali sana na southern Highland Zone mkuu.
Mbona
Mbona unaongea matusi mkuu
Ndio wapi huko sijawahi sikia mji Kama huo mkuu.
Wasukuma wanazaana sana. Ni wengi na bado wanazaana kwa wingi.Hao wasukuma unaowaona huko vijijini kwenu ni kama tone la maji tu kutoka kwenye bahari, wamekuja huko kukodi na kununua ardhi yenu, mmewauzia ardhi afu nyie mmgeuka kuwa manamba wao na wanawalimisha kwelikweli. Kule katavi na rukwa wafipa wanalimishwa palizi heka 1 kwa buku dala.
Huwezi jua maeneo kama Buzuruga make njombe unatumia muda mwingi kuota Moto na kutoleana funza mwilini.
Wanatekeleza agizo la Mungu, wapo wengine wanatekeleza agizo la Mzungu.Wasukuma wanazaana sana. Ni wengi na bado wanazaana kwa wingi.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Unakakuta kabinti ka kisukuma kazuri kana mwonekano wa kishamba ,moyoni unaamini nikikapata haka huenda nitachana nyavu. Siku ya siku unakujagundua ni mzazi tayari. Hongera zao.Wanatekeleza agizo la Mungu, wapo wengine wanatekeleza agizo la Mzungu.
Hilo suali lipo hadi uzaramono na kwinginekoUnakakuta kabinti ka kisukuma kazuri kana mwonekano wa kishamba ,moyoni unaamini nikikapata haka huenda nitachana nyavu. Siku ya siku unakujagundua ni mzazi tayari. Hongera zao.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ni kweli karibu makabila yote, ila nadhani usukumani ni zaidi, hadi mjini unakuta mabinti wabichi tayari wanalea!.,, nimeona wangoni, wakwere, watu wa tanga, wanyamwezi, waha , wafipa, wasingida, wambulu, wazaramo,, kiufupi nimekaa mikoa mingi.Hilo suali lipo hadi uzaramono na kwingineko
mkuu usije ukadhani nawananga wasukuma,, maana siku hizi siasa zimeharibu sana hali ya hewa.Hilo suali lipo hadi uzaramono na kwingineko
Kwa hiyo mzee ukaamua kuingia Google Earth na kuisearch bukoba mjini.
Kanjombe bana! Kamejipanga barabarani tu linear settlement, kanapigwa fimbo na kisesa
Yaan unalinganisha Rwamishenye na njombe
Kama umefika bukoba utakuwa unapafahamu Rwamishenye. Sasa jamaa kaingia Google Earth kaona bukoba ilivyojengeka Kule city center kaamua alete Rwamishenye km Kama tano kutoka mjiniKanjombe bana! Kamejipanga barabarani tu linear settlement, kanapigwa fimbo na kisesa
Hata hivyo ni Rwamishenye hiyo 5km kutoka bukoba town center.
Mbona hutaki kuonesha bukoba downtown unakimbilia Rwamishenye km zaidi ya tano kutoka downtown
Hebu tofautisha hata quality ya mapaa ya makazi .
Ona bukoba ilivyopanuka na kujengeka na kutapakaa.