Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Ukitaka za kila mkoa hesabu hapa chini π πBukoba/kagera Kuna radio zifuatazo 12 .
Kuongezea na Radio mbiu
Hiz hapo chiniView attachment 1885351View attachment 1885352View attachment 1885353
Mbeya ni Jiji kubwa wewe la Uchumi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini,fm radios ziko kama zote,twende KaziππMpaka sasa Taasisi za elimu ya juu Mwanza 16 na Mbeya 7. Tukikwambia huijui Mwanza mpaka unataka kulia
IFM
CBE
DIT
TIA
RUCO
SAUT
CUHAS
IRDP
BOT Training institute
Mzumbe
CCOHAS
TIHAS
Open University of Tanzania
Chuo cha Mali asili Pasiansi
Chuo Cha Uvuvi Nyegezi
Nyegezi Social Training Institute
Au tuongeze na Veta na TTC???
Bado FM radio station za Mwanza Jiji tu
Kwa Neema Fm
Living water FM
HHC Fm
Jembe Fm
Passion Fm
Saut Fm
Lake Fm
RFA
Kiss Fm
City Fm
The base Fm
Sayuni Fm
Metro Fm
Mkombozi Fm
Iqra Fm
Afya Radio
hizi Ni radio nilizoziacha Mwanza Jiji miaka mitatu iliyopita, naimani zatakuwa zimeongezeka hata tano nyingine
Hili ghala watu wa Jiji la Mwanza na lapf wamekula hasara ππππ halijawahi kuwa fully occupied na watu wa huko wanaogopa kwenda kwa sababu ya ushambaWacha nikanyooshe miguu
View attachment 1886997
Lingejengwa Njombe π π π π πHili ghala watu wa Jiji la Mwanza na lapf wamekula hasara ππππ halijawahi kuwa fully occupied na watu wa huko wanaogopa kwenda kwa sababu ya ushamba
Acha kuchafua Uzi kwa hizi takataka zako kutoka vijiji vya ujamaa vilivyoko huko mipakani.Huo mji wako nishaachana nao una mavumbi tu.
Sumbawanga ni sawa na labda mutukula huko mipakani .
Mji wa mutukula wilayani misenyiView attachment 1885273View attachment 1885274View attachment 1885275
Kijana unapost renders!!!Ofisi mpya za Mkuu wa Mkoa wa Mbeya..Mwanza ziko wapi?
View attachment 1886988
View attachment 1886989
View attachment 1886990
View attachment 1886991
Wewe Mzee ujenzi uko hatua za mwisho sina picha current za hatua ya ujenzi ndio maana nimekuletea render.Kijana unapost renders!!!
Mtu ukiliangalia Hilo kanisa lako la njombe linavutia kuliko hii cathedral ya bukoba bangi itakuwa imepanda kichwani kabisaNjombe:ule mnara wa Bukoba na wa Njombe upi unapendezesha mji.Kiuhalisia Mnara Njombe ni super na unavutia kuutazama
View attachment 1887404
Hebu tazama hapa.Njombe:ule mnara wa Bukoba na wa Njombe upi unapendezesha mji.Kiuhalisia Mnara Njombe ni super na unavutia kuutazama
View attachment 1887404
Haka kamji kweli ni ka village town yaani hii picha imekusanya karibu kamji kazima,hakana tofauti na Lindi.Hebu tazama hapa.
Hili kanisa ndo refu kuliko kila kitu .
Bukoba ni Paris nyingineView attachment 1888321View attachment 1888323
Kijana. Hio ni sehemu ya kata ya miembeni.Haka kamji kweli ni ka village town yaani hii picha imekusanya karibu kamji kazima,hakana tofauti na Lindi.
Angalia majengo yake sio marefu isipokuwa kanisa. lakin Yana quality ya hali ya juu.Hebu tazama hapa.
Hili kanisa ndo refu kuliko kila kitu .
Bukoba ni Paris nyingineView attachment 1888321View attachment 1888323
Hako ni ka village town nothing elseAngalia majengo yake sio marefu isipokuwa kanisa. lakin Yana quality ya hali ya juu.