Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Vitu vikali kutoka Swax 👇👇

IMG_20210808_092118_309.jpg


IMG_20210808_091739_355.jpg


IMG_20210808_091817_579.jpg
 
Kanda kuu ndio inayotoa watu wenye akili nyingi. Siyo mijitu inakimbilia kujinyonga kama like li chifu la wahehe. Yanajua kuvuta bangi tu.
Mngekuwa na akili nyingi msinge tiwa finger na wazungu mama nyie 🖕🖕🖕🖕
 
Kijana hao matajiri wa njombe ndo wakina Fred vunjabei ama?

Hiv Mulishawahi ingiza top ten Billionaire yeyote kutoka njombe.


Kagera kulikiwepo All Mfuruki na mshumbusi kabla hawajafariki.


Bila Shaka sura sio ngeni.


Hebu nitajie millionaires yeyote kutoka kusini alieshaingia top ten ya matajiri bongoView attachment 1884714
Nikukumbushe tu vifaa vya umeme vya KODTEC vinazalishwa na Kampuni ya mtanzania toka makete Nyanda za Juu kusini huenda East Africa nzima hakuna mtu amepata hiyo fursa China.Kampuni kubwa ya kusafirisha mizigo toka China na Asia ya GNM ni ya watu toka Nyanda za Juu kusini.Ukifika Dar es Salaam ulizia peacock hotel ya nani?,Landmark hotels wote hao ni from southern Highland,na tumekuja hadi bukoba tumechukua Kampuni moja wapo,tunameli inawaletea mizigo toka Mwanza kuja huko bukoba.😂😂😂
 
Data zenyew unazichanganya.


Mkoa wa kagera unaangushwa na wilaya za biharamulo na ngara .Hiz wilaya zipo chini katika makusanyo na hakuna uwekezaji mkubwa Kule na pia wako mbali na bukoba.
Ndo maana soon wanapewa mkoa wao.

Population ya kagera nadhani ni kubwa mno kuliko Pato la mkoa ndo maana wanataka wazitoe wilaya za ngara na biharamulo ziende chato .
 
Hadi sasa kwenye vyuo na taasisi za elimu ya Juu Mbeya 7,Mwanza 0.

Hospital kila sehemu zipo K's Hospital & Mbeya Zonal Referral Hospital

View attachment 1885117

View attachment 1885118

View attachment 1885119


Mpaka sasa Taasisi za elimu ya juu Mwanza 16 na Mbeya 7. Tukikwambia huijui Mwanza mpaka unataka kulia


IFM
CBE
DIT
TIA
RUCO
SAUT
CUHAS
IRDP
BOT Training institute
Mzumbe
CCOHAS
TIHAS
Open University of Tanzania
Chuo cha Mali asili Pasiansi
Chuo Cha Uvuvi Nyegezi
Nyegezi Social Training Institute

Au tuongeze na Veta na TTC???

Bado FM radio station za Mwanza Jiji tu


Kwa Neema Fm
Living water FM
HHC Fm
Jembe Fm
Passion Fm
Saut Fm
Lake Fm
RFA
Kiss Fm
City Fm
The base Fm
Sayuni Fm
Metro Fm
Mkombozi Fm
Iqra Fm
Afya Radio

hizi Ni radio nilizoziacha Mwanza Jiji miaka mitatu iliyopita, naimani zatakuwa zimeongezeka hata tano nyingine
 
Nikukumbushe tu vifaa vya umeme vya KODTEC vinazalishwa na Kampuni ya mtanzania toka makete Nyanda za Juu kusini huenda East Africa nzima hakuna mtu amepata hiyo fursa China.Kampuni kubwa ya kusafirisha mizigo toka China na Asia ya GNM ni ya watu toka Nyanda za Juu kusini.Ukifika Dar es Salaam ulizia peacock hotel ya nani?,Landmark hotels wote hao ni from southern Highland,na tumekuja hadi bukoba tumechukua Kampuni moja wapo,tunameli inawaletea mizigo toka Mwanza kuja huko bukoba.
Kwa hiyo huo ndo utajiri
Kuwa na hotel?
Kufanya uchuuzi kutoka China?
Nimesema taja mtu yoyote kutoka kusini alieshaingia top ten ya matajiri bongo hii.
Nyie umiliki wenu ni vitu vya kawaida mno na minor.


Mimi nikitaja hotel za wahaya dar si utakimbia.
VIP nikitaja shule Kama Tusiime,St Mary's,babro Johnson,St Mathews,baobab,St Anne Maria.
VIP wahaya wanaomiliki vyuo vikuu Kama kairuki
VIP wahaya wanaomiliki hospital Kama cosad na kairuki
VIP nikitaja makampuni ya usambazi umeme Kama IPTL
VIP makampuni ya technology Kama biotech Kule masaki.
VIP wenye ranchi zao huko kagera
Ushawahi kusikia abayo companies
Ushawahi kusikia mesuma companie
VIP mukwano companies.



Nenda mwanza uone wahaya walivyojazana huko
VIP unajua kampuni la utalii la bukoba tours,kiroyera


Inshort wahaya ni moja ya watu wanaomiliki asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hii na jpm alitambua hilo
 
Kwa hiyo huo ndo utajiri
Kuwa na hotel?
Kufanya uchuuzi kutoka China?
Nimesema taja mtu yoyote kutoka kusini alieshaingia top ten ya matajiri bongo hii.
Nyie umiliki wenu ni vitu vya kawaida mno na minor.


Mimi nikitaja hotel za wahaya dar si utakimbia.
VIP nikitaja shule Kama Tusiime,St Mary's,babro Johnson,St Mathews,baobab,St Anne Maria.
VIP wahaya wanaomiliki vyuo vikuu Kama kairuki
VIP wahaya wanaomiliki hospital Kama cosad na kairuki
VIP nikitaja makampuni ya usambazi umeme Kama IPTL
VIP makampuni ya technology Kama biotech Kule masaki.
VIP wenye ranchi zao huko kagera
Ushawahi kusikia abayo companies
Ushawahi kusikia mesuma companie
VIP mukwano companies.



Nenda mwanza uone wahaya walivyojazana huko
VIP unajua kampuni la utalii la bukoba tours,kiroyera


Inshort wahaya ni moja ya watu wanaomiliki asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hii na jpm alitambua hilo
Labda migahawa hotel zote kubwa zinajulikana mlichobaki nacho ni mabibo beer"windhock" ya Namibia😂😂😂
 
Kahama yenyewe tu, Kuna Fm radio kama nne au tano zinazotangaza kutoka Kahama


Kahama Fm
Divine Fm
Huheso Fm
Gold Fm
 
Kahama yenyewe tu, Kuna Fm radio kama nne au tano zinazotangaza kutoka Kahama


Kahama Fm
Divine Fm
Huheso Fm
Gold Fm
Bukoba/kagera Kuna radio zifuatazo 12 .


Kuongezea na Radio mbiu

Hiz hapo chini
Screenshot_20210808-170018.jpg
Screenshot_20210808-170007.jpg
Screenshot_20210808-165951.jpg
 
Labda migahawa hotel zote kubwa zinajulikana mlichobaki nacho ni mabibo beer"windhock" ya Namibia
Kijana hebu niletee mtu yeyete nyanda za juu kusini na kusini kote mwenye utajiri hata robo ya huyu muhaya.

Kwa wahaya kumiliki hotel sio utajiri hata kidogo ndo maana wanasema wahaya wanasifa . ushawahi ona maskini ana sifa
Screenshot_20210808-192342.jpg
Screenshot_20210808-192641.jpg
Screenshot_20210808-192612.jpg
images.jpg
 
Hzo hospital nyanda za juu kusin zipo za kutosha ndoo maana mnatoka hko mnaenda kutibiwa nyanda za juu kusini mfano ikonda
 
Back
Top Bottom