Mbona husemi shida za mbeya? Au kwenyewe hazipo?!Hiyo Mwanza unayoizungumzia ni jiji la Mwanza lakini sio Kama Dar Mwanza ni mkoa mkubwa kuna wilaya nyingine Kama sengerema,kwimba,Misungwi huko maisha ya shida.Ukitaka nilinganishe mbeya na Mwanza kwa maendeleo ya mkoa nje na majiji mbeya inaiacha mwanza.Hata kwa per capital income Kuna Gap kubwa sana.
Maendeleo msiwe mnaangalia mijini tu. Angalia vijijini pia.Yaaa Kanda ya ziwa mwanza ndo ikoo vizuri kila sector at least bukoba vijijini ikoo poa nayooo ilaa sehemu nyingi bado Kuna changamoto nyingi tuuu japo kwa sahivi kila sehemu au kila mjii unajitaidi kimaendeleoo na kila mjii unafulsa nyingi tuu ni wemwenyewe kuwa mbunifu,
Kanda kuu kwa umaskini Tzn
ATCL wanafanya biashara nzuri kanda ya ziwa, SGR inajengwa kwenda Kanda ya ziwa.Vyovyote unavyofikiri, ukweli unabaki pale pale kwamba hiyo ni Kanda kuu
unaziua hesabu kweli mkuu 3.2 ni mara kumi ya Laki tisa kweli.Halafu swala la population sio kigezo cha maendeleo kanda ya ziwa inapopulation kubwa ambayo haizalishi ni tegemezi ndio sababu ya umasikini kukithiri lake zone.Njombe 80% ya working class inazalisha na almost twenty percent ya wazee nao wanajitgemea kiuchumi.Eti wanajenga nyumba halafu hawaishi huko.
Hiv unajua kagera ni mkoa wa tatu nchi kwa population na population density.
Kagera population ni 3.2 million Mara ya 10 ya njombe yenye watu laki 9
Nyuma ya dar na mwanza tu
Kagera Ina population density ya 124 people per square nyuma ya dar, mwanza na Kilimanjaro tu.
Kijana kajenge kwenu? Hio ndo nguvu ya pesa Mambo ya kumiliki nyumba kariakoo tu huku kwenu Kuna matope huo ni upumbavu wa wakinga
Ndo maana route ya ndege ya bukoba haikosi wateja watu wanarudi vijijini kwao Mara kwa Mara.
View attachment 1883500View attachment 1883501View attachment 1883502View attachment 1883503View attachment 1883504View attachment 1883505View attachment 1883506View attachment 1883507View attachment 1883508
Yaaa jiji la mwanza center ndo kila kitu ukuu pembezoni Hamna kitu bado ni changamoto, sema selikali inakazi kubwa Sana inatakiwa kuhakikisha barabara zinazounganisha wiliya na wilaya zinapigwa lamiHiyo Mwanza unayoizungumzia ni jiji la Mwanza lakini sio Kama Dar Mwanza ni mkoa mkubwa kuna wilaya nyingine Kama sengerema,kwimba,Misungwi huko maisha ya shida.Ukitaka nilinganishe mbeya na Mwanza kwa maendeleo ya mkoa nje na majiji mbeya inaiacha mwanza.Hata kwa per capital income Kuna Gap kubwa sana.
Nyumba unazoita za maana zimejengwa na wasomi walioko mjini hawaishi huko wala hawafanyi uwekezaji kubadili maisha ya waliowaa huko pengine ni kwa sababu hakuna tija.
Sasa hata ujenge bangalow la kufikia huko katerere kwenu la mamilioni na mimi niwe na pagala hata hapo Katoro au Rujewa maeneo ya Mjini,pagale langu ni more valuable kuliko hilo bangalow lako la kupigia picha.
Nyumba zetu za kufikia Vijijini kwetu zipo ila sie sio watu wa sifa za kijinga na kupoteza rasilimali kwa kujenga majumba ya gharama Vijijini.Kwanza Ili iwe nini labda?
Hebu angalia chimbuko la post yangu.unaziua hesabu kweli mkuu 3.2 ni mara kumi ya Laki tisa kweli.Halafu swala la population sio kigezo cha maendeleo kanda ya ziwa inapopulation kubwa ambayo haizalishi ni tegemezi ndio sababu ya umasikini kukithiri lake zone.Njombe 80% ya working class inazalisha na almost twenty percent ya wazee nao wanajitgemea kiuchumi.
Unasema baada ya dar na Kilimanjaro vijijini kunafata njombe????
Kijana Mimi naposema mkatembelee vijijini huko bukoba mkaone elimu mijengo na majengo muwe mnaelewa
Hiyo Kilimanjaro ukichunguza unaweza inazidiwa na kagera kwa makazi Bora vijijini maana ni sehemu ya wachaga yenye nyumba Bora lakin kwa kagera sio wahaya au wanyambo wa karagwe Wana nyumba nzr
Baadhi ya vijiji huko bukobaView attachment 1883728View attachment 1883729View attachment 1883730View attachment 1883732
Yes hapo ni nyakanazi mkoani kagera.
Kijana una uhakika nyumba zilizopo vijijini kagera kunaishi popo?Je kuna tija au ni majengo ya kuishi popo? Kuna biashara yoyote? Kama hakuna ni baseless. Kujenga nyumba kubwa na nzuri zikiwa hazina watu ina maana gani?
ππππ Sizitaki mbichi hizi,kama sio mkeka onyesha asphalt highway ya huko kwenu kama hata mnayo.We pimbi, Kuna mkeka gani kwenda huko polini ikonda, kwa huko ikonda ndo mnaona ni bonge la hospitali lakini kwa huku hako ni kakituo ka Afya tu.
Kibuyu kitupu hiki?Mgawane fito na nani nyie mapimbi?! Nchi hi Ni yenu? Nyie ndo mliikomboa kutoka kwa mkoloni?! Kipindi tunakomboa nchi nyie si mlikuwa busy kutoleana funza kwenye hizo kwato zenu! Tena mshukuru sana tunawabebabeba tu ingawa hamjawahi kuchangia msaada wowote katika nchi, ebu waulize mtwara walipo jaribu kuzuia gesi kilichowatokea!Au walipojaribu kuleta fyoko kuhusu korosho, Tutapiga hadi shangazi zenu.
Hiyo hospital ni nzuri kwa kiwango cha huko polini kwenu, hata muhimbili ni nzuri kiwango cha TZ lakin kwa kiwango cha America ni upuuzi mtupuSizitaki mbichi hizi,kama sio mkeka onyesha asphalt highway ya huko kwenu kama hata mnayo.
Onyesha hospital kama hiyo huko kwenu mwanangwa na Hungumalwa kama ipo.Kigeu geu.Aliyekuwa anasifia hiyo hospital baada ya kufika ni mimi au wewe?
Give credit where necessarily
Onyesha hospital acha kulia Lia kama ke,weka mziki acha manenoHiyo hospital ni nzuri kwa kiwango cha huko polini kwenu, hata muhimbili ni nzuri kiwango cha TZ lakin kwa kiwango cha America ni upuuzi mtupu
Hayo majumba ni ya minority walioko mjini,hao madungayembe wengine wako hoiKijana una uhakika nyumba zilizopo vijijini kagera kunaishi popo?
Hiv hiyo population ya 3.1 million ya kagera wanaishi wap Kama sio kwenye hayo majumba?
Population density ya kagera ambayo ni 124 per square metres inaishi wap Kama sio hayo majumba.
Ungekuwa rate ya Rural urban migration ni ndogo husingekuwa unaongea haya.
Bukoba asilimia 97 huishi vijijini kwenye hayo majumba.na hii ni asili ya wahaya kujipenda .
We kweli kichwa nazi, yaani unazungumzia upumbavu wenu wa kuamini risasi kuwa maji!Kibuyu kitupu hiki?
Wapi uliwahi soma sukuma resistance? How about Ngoni and Mkwawa(Hehe)
Uwage na akili,tutagawana fito mtakula hayo mawe huko.
Nataka nione sukuma resistance sio kuongea Sana kama yatima hapa.Nyerere mwenyewe tulimpa maarifa wenyewe na tukamlea.We kweli kichwa nazi, yaani unazungumzia upumbavu wenu wa kuamini risasi kuwa maji!Ila kweli nyie ni mandezi sana, Risasi kugeuka maji, mliuawa kiboya sana kwa ujinga wenu, huyo mkwawa naye baada tu ya kuiona Germany Rolling machine akajinyonga bila hata kuguswa, kama sio undezi nini!! Ebu chekishia mwana wa kanda ya ziwa, mwana wa Tanganyika, Mwana wa Afrika Julius K. Nyerere pasipo hata kumwaga damu, yaani kwa akili kubwa tu akaing'arisha December Tanganyika ikawa huru.
Onyesha kwanza tv station iliyoko kusini nikushushie hospitali za maana achana na hizo dispensary zenu za huko poriniOnyesha hospital acha kulia Lia kama ke,weka mziki acha maneno