Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Zaidi ya kuwekeza hapo Mwanza kuna sehemu gani kwingine kuna miundombinu? Miji ya huko ni ya kichovu Sana.Miji ya kanda ziwa ni habari nyingine huwezi linganisha na kusini, hata kama kwa msaada wa serikali, serikali inawekeza zaidi miundombinu kanda ya ziwa kuliko huko kusini kwenu.
Hahaha ulipita barabaran ndo unaanza ku compare hapo umefeli sana kumbuka hii miji mitatatu Ina jiografia tofauti sana mafinga ni rahisisi kuuona mji wote tofauti na miji ya njombe na makambako ko usikae ukaanza kusimulia kwa mtu Alie tembelea hii miji atakucheka unacho kiongea maana njombe ni mji ulio kwenye milima na mabonde na makambako eneo lake kubwa ni tambalaleWiki iliyopita nilitembelea miji hii hapo chini, ila pia nilifika Songea, Mbinga na Ikonda, aisee pale Ikonda kuna hospitali nzuri sana.
Ila jamani ee Njombe na Makambako zinapigwa fimbo na MAFINGAView attachment 1876176View attachment 1876177View attachment 1876179
Na hata suala la miundombinu mingi Kama lami za barabara za mitaa njombe na makambako zpo mbali mno ukilinganisha na mafinga yenye km 10 mji mzimaHahaha ulipita barabaran ndo unaanza ku compare hapo umefeli sana kumbuka hii miji mitatatu Ina jiografia tofauti sana mafinga ni rahisisi kuuona mji wote tofauti na miji ya njombe na makambako ko usikae ukaanza kusimulia kwa mtu Alie tembelea hii miji atakucheka unacho kiongea maana njombe ni mji ulio kwenye milima na mabonde na makambako eneo lake kubwa ni tambalale
HakikaSasa kwa upuuzi wako hukumbuki kipindi Magu anasema alitolea mfano wa jiji la Mwanza ambapo Nyamagana ndo City Council. Lakini umeshindwa kuonyesha Mwanza CC ni Nyamagana lakini umeweza kuonyesha Dar CC ni Ilala
Apoo unafeli Sana makambako na njombe zipo mbali sana angalia hata idadi ya watu nayoo itakupa majibu wapi pakoo vizuli, wee tatizo gorofa la mafinga balabalani palee ndo limekupoteza ilooooWiki iliyopita nilitembelea miji hii hapo chini, ila pia nilifika Songea, Mbinga na Ikonda, aisee pale Ikonda kuna hospitali nzuri sana.
Ila jamani ee Njombe na Makambako zinapigwa fimbo na MAFINGAView attachment 1876176View attachment 1876177View attachment 1876179
Musoma, Geita, Kahama, Bukoba, Bariadi, Shinyanga, Sirari, Tarime, Katoro, Sengerema,nkZaidi ya kuwekeza hapo Mwanza kuna sehemu gani kwingine kuna miundombinu? Miji ya huko ni ya kichovu Sana.
Sasa kuna nini cha maana kwenye hivyo vijiji? Hivi Kahama inaweza lingana kimiundombinu hata na Sumbawanga?Musoma, Geita, Kahama, Bukoba, Bariadi, Shinyanga, Sirari, Tarime, Katoro, Sengerema,nk
Madhara ya chanjoKwamba vijiji
Kijana uliwahi fika bukoba?Sasa kuna nini cha maana kwenye hivyo vijiji? Hivi Kahama inaweza lingana kimiundombinu hata na Sumbawanga?
Afadhari Geita,Shinyanga walipata mradi wa ULGSP,Sasa vijiji vya Bukoba,Bariadi,Tarime,Katoro,Sirari na Sengerema haviwezi hata kusogelea Tunduma kwa kila kitu.
Mwambie kabisa ATCL / Precision air zipo kila siku (Dar-Mwz-Bukoba na Bukoba-Mwanza-Dar) x2Kijana uliwahi fika bukoba?
Maana unaitaja taja tu eti Kijiji?
Huko kusini ukitoa mbeya na iringa hakuna mji unaoweza ufikia bukoba kwa lolote.labda stendi ya mabasi maana ndo ilishindikana.
Nitajie sehemu ya huko bukoba mjini ambayo haina barabara ya lami.
Husisahau bukoba ndo Kuna bandari na busy airport kubwa baada ya mwanza.
Watu wengine bwana wanafikiri mji ukiwa mbali Sana na dar ndo Basi Kijiji.Mwambie kabisa ATCL / Precision air zipo kila siku (Dar-Mwz-Bukoba na Bukoba-Mwanza-Dar) x2
Niko hapa nakitazama hiki Kijiji cha bukobaSasa kuna nini cha maana kwenye hivyo vijiji? Hivi Kahama inaweza lingana kimiundombinu hata na Sumbawanga?
Afadhari Geita,Shinyanga walipata mradi wa ULGSP,Sasa vijiji vya Bukoba,Bariadi,Tarime,Katoro,Sirari na Sengerema haviwezi hata kusogelea Tunduma kwa kila kitu.
Miji ya Kanda ya ziwa ni vijiji.Kwamba vijiji
Kijiji kilichojitahidiNiko hapa nakitazama hiki Kijiji cha bukoba.
We mtu ya njombe unatumia Cha Arusha labdaView attachment 1877771View attachment 1877772View attachment 1877773
Hiki kijiji hata kwa Swax hakifikii japo kimejitahidi
Tatizo lako hizo sehemu zote hujawahi kufika, kwa taarifa yako Geita yenyewe haioni ndani kwa kahama. Na kwa taarifa yako ukitoa mbeya hakuna mji hata mmoja huko kusini unaofikia KAHAMASasa kuna nini cha maana kwenye hivyo vijiji? Hivi Kahama inaweza lingana kimiundombinu hata na Sumbawanga?
Afadhari Geita,Shinyanga walipata mradi wa ULGSP,Sasa vijiji vya Bukoba,Bariadi,Tarime,Katoro,Sirari na Sengerema haviwezi hata kusogelea Tunduma kwa kila kitu.
Swaxx ndo sumbawanga sio.Hiki kijiji hata kwa Swax hakifikii japo kimejitahidi
Huyo jamaa ni wa kupuuzwa.Tatizo lako hizo sehemu zote hujawahi kufika, kwa taarifa yako Geita yenyewe haioni ndani kwa kahama. Na kwa taarifa yako ukitoa mbeya hakuna mji hata mmoja huko kusini unaofikia KAHAMA