Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Majengo kama hayo Kahama + makambako huwezi kuyakuta,yaani Magorofa kwa Njombe ni kitu cha kawaidaView attachment 1699737
View attachment 1699738
View attachment 1699739
nje na CBD ya njombe zaidi kilomita 25 eti anasema njombe imekusanya vijiji ni kweli vilikua vijiji lakini hata jiji hua na vijiji na baadae kua jiji.
ππππView attachment 1699761
Njombe close to Glory hotel
Safi sana mkuu tuletee vitu vipya kama hivi,vitu kama hivi Kahama na mtoto wetu mtukutu aliyeasi Makambako wataishia kuviona kwenye tv au labda waje NjombeView attachment 1699769
Mexons Energy-Head Office Njombe
Toka huu uzi umeanza,hii ndio picha pekee ambayo washindia michembe huwa wana post,check vitu vipya hapo chini kw Munjombe.Njombe kule kumejaa vumbi tu na nyumba za vibati vya rangi nyekundu sababu ya vumbi , na pia no pisi kali kule, kuna mwanangu anaitwa Salehe Yani kumuona hata mchana mpak acheke.....
Huwez kuona matasha makubwa yanaenda jombe hakuna pesa kule , kahama ndo wilaya pekee nje ya makao makuu ya mkoa inayokula hzo shavu ..... Wanangu wa kahama twende together
View attachment 1699762
View attachment 1699763
View attachment 1699764
View attachment 1699765View attachment 1699766
View moja matata sana
Safi sana kwa kuendelea kuwaaibisha hao wachuuzi,lazima wawe na adabu kwa Njombe kwamba sio size yao
You have made my day,view kali tena imeonyesha nyumba za ghorofa nyingine tofauti na tulizo post awali.Kwa picha kama hizi huwezi kuwaona wachuuzi wa mitumba kutoka Kahama na Makambako,wanapita kama hawaoni vile.View attachment 1699847
mzee wa makambako nilipe picha kama hii kwa makambako.In short Njombe is well organised na advanced kuliko kahama.Tofauti itakua kwenye uwingi wa watu kwa kua hakuna kata,tarafa,wilaya na mkoa unao kariwa na wasukuma ukawa na watu wachache.Kama wilaya moja ya sengerema ina watu zaidi ya milioni moja japo 70% ya wilaya yote ni rural area sioni sababu kwa nini kahama iwe na watu wachache wakati ni generation moja na sengerema
Yaku edit Yan we ndo hujielewiView attachment 1699847
mzee wa makambako nilipe picha kama hii kwa makambako.In short Njombe is well organised na advanced kuliko kahama.Tofauti itakua kwenye uwingi wa watu kwa kua hakuna kata,tarafa,wilaya na mkoa unao kariwa na wasukuma ukawa na watu wachache.Kama wilaya moja ya sengerema ina watu zaidi ya milioni moja japo 70% ya wilaya yote ni rural area sioni sababu kwa nini kahama iwe na watu wachache wakati ni generation moja na sengerema
Na unakuja tu makambako kuleta viazi huna ujanja wwSafi sana mkuu tuletee vitu vipya kama hivi,vitu kama hivi Kahama na mtoto wetu mtukutu aliyeasi Makambako wataishia kuviona kwenye tv au labda waje Njombe
Leta za mitaan sio za kusimama ramadhan Ina piga sehemu mojaView attachment 1699847
mzee wa makambako nilipe picha kama hii kwa makambako.In short Njombe is well organised na advanced kuliko kahama.Tofauti itakua kwenye uwingi wa watu kwa kua hakuna kata,tarafa,wilaya na mkoa unao kariwa na wasukuma ukawa na watu wachache.Kama wilaya moja ya sengerema ina watu zaidi ya milioni moja japo 70% ya wilaya yote ni rural area sioni sababu kwa nini kahama iwe na watu wachache wakati ni generation moja na sengerema
lete na wewe za kusimamaLeta za mitaan sio za kusimama ramadhan Ina piga sehemu moja
Yan hapa utakuja tu ndo mji wa biashara ko heshima itawale pia hata michezo Ni makambakoSafi sana kwa kuendelea kuwaaibisha hao wachuuzi,lazima wawe na adabu kwa Njombe kwamba sio size yao
Nani aje huko polini kucheza ligi za mchangani wakati tuna timu yetu ligi daraja la kwanza Taifa,Njombe mjiYan hapa utakuja tu ndo mji wa biashara ko heshima itawale pia hata michezo Ni makambakoView attachment 1699891View attachment 1699893View attachment 1699893
Leta na wewe ya ku edit , π π π π ππππYaku edit Yan we ndo hujielewi
Na unakuja tu makambako kuleta viazi huna ujanja ww