Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ebu leta ya msimu wa mvua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kama hapajapauka kutu zinaonekana viziri πŸ˜‚
Ebu leta ya msimu wa mvua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kama hapajapauka kutu zinaonekana viziri πŸ˜‚πŸ˜‚
Shida yako tulisha kwambia tembea ujiifunze miji inaendaje unaamini et picha ndo kila kitu shituka mzee njombe ni mkoa wa kijan mwaka mzima miti ya kutosha sio Kama huko
 
Ebu leta ya msimu wa mvua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kama hapajapauka kutu zinaonekana viziri πŸ˜‚πŸ˜‚
Maneno mengi na Kijiji chako ambacho hakina hata mpangilio wacha kazi ziendelee makambako
FB_IMG_17559229939726239~2.jpg
 
Ebu leta ya msimu wa mvua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kama hapajapauka kutu zinaonekana viziri πŸ˜‚πŸ˜‚
HAYA angalia kutu za geita CBD yako tulisha kwambia miji ambayo ilishaanza maendeleo muda mrefu hivyo vitu NI kawaida huwezi linganisha na Kijiji chako hicho ambacho hata mpangilio sifuri
vlcsnap-2024-12-19-20h36m58s578.jpg
maxresdefault(1).jpg
hq720(4).jpg
 
Karibuni kwenye mada.

Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.

Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?

Njombe View attachment 2674915

Kahama View attachment 2674916
Kahama biashara ipo na mji unakua kulingana na rasilimali madini iliyopo uchumi wa lile eneo ni mkubwa kwa upande wa njombe mwingiliqno wa watu ni mkubwa kutokaa na soko la mazao hata wageni kutoka kenya wanakuja kununua mazao njombe hivyo fursa kubwa pale ni kilimo
 
Huna lolote leta CBD usituletee ofisi hapa hizo zipo kila mkoa
Wewe Katoro inakutosha tu siwezi kuhangaika na Geita kulinganisha na hivyo vijiji vyenu vikubwa vya ujamaa

Ndani ya CBD Katoro hakuna uchafu wa kutu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜˜
Screenshot_20250825-182712_1.jpg
 
Sasa

Sasa tabora inahusikaje unataka iwasaidie
Toa matongotongo πŸ˜‚πŸ˜‚ huwa mnapost Mbeya na Songea kwani huwa inahusikaje humu?

Ili ujue miji yenu ni vijiji vikubwa ndio maana nakuwekea miji ya kanda za kina Ngosha ili angalau upunguze ushamba wa kuvipatia sifa zisizo stahili hivyo vijiji vyenu 🀣🀣
 
Toa matongotongo πŸ˜‚πŸ˜‚ huwa mnapost Mbeya na Songea kwani huwa inahusikaje humu?

Ili ujue miji yenu ni vijiji vikubwa ndio maana nakuwekea miji ya kanda za kina Ngosha ili angalau upunguze ushamba wa kuvipatia sifa zisizo stahili hivyo vijiji vyenu 🀣🀣
Sasa tabora toka Lin ikawa Kanda ya ziwa we jamaa hata jiografia ya nchi hujui Basi miji mingi unaishia ku Google tu
 
Hebu angalia makambako kwa CBD hiyo walivyo IDRAFT na kwa Sasa wapo kwenye maboresho ya master plan lengo NI kuufanya mji mkubwa wa viwanda na biashara nyanda za juu kusini na nchi jilani za SADC kwa kuongeza maeneo ya kongani za viwanda nkView attachment 3455848View attachment 3455858View attachment 3455866View attachment 3455848
Punguza Ushamba, na ujaribu kuwa mfatiliaji wa miji mingine ushamba utapungua na utaacha kusifia hiki Kijiji chako ona uchafu hapo CBD πŸ‘‡
Screenshot_20250828-121617.jpg
 
Back
Top Bottom